12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

ambayo waliimarisha kwa anasa katika zambi, wajumbe wa Mungu waliozarauliwa, maonyo<br />

<strong>ya</strong>liyokataliwa, mawimbi <strong>ya</strong> rehema <strong>ya</strong>liyorudishwa kwa ukaidi, moyo usiotubu--yote<br />

inaonekana kama <strong>ya</strong>meandikwa kwa maandiko <strong>ya</strong> moto.<br />

Juu <strong>ya</strong> kiti cha enzi kunafunuliwa msalaba. Kwa maoni kamili kukatokea mambo <strong>ya</strong><br />

kuanguka kwa Adamu na hatua za kufuatana katika shauri la wokovu. Kuzaliwa kwa<br />

unyenyekevu kwa Mwokozi; maisha <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> kawaida; ubatizo wake katika Yorodani;<br />

kufunga na majaribu katika jangwa; huduma <strong>ya</strong>ke kufunua kwa watu mibaraka <strong>ya</strong> mbinguni;<br />

siku zilizojaa na matendo <strong>ya</strong> rehema, usiku wa kukesha katika maombi kule milimani;<br />

mashauri <strong>ya</strong> hila <strong>ya</strong> tamaa na uovu ambayo <strong>ya</strong>lilipa faida zake; maumivu makali <strong>ya</strong> siri katika<br />

Getesemane chini <strong>ya</strong> uzito wa zambi za ulimwengu; usaliti wake kwa kundi la wauaji,<br />

matukio <strong>ya</strong> usiku ule wa kitisho kikuu-mfungwa asiyeshindana aliyeachwa na wanafunzi<br />

wake, aliyeshitakiwa katika jumba la kuhani mkuu, katika chumba kikubwa cha hukumu cha<br />

Pilato, mbele <strong>ya</strong> Herode mwenye hofu, aliyechekelewa, kutukanwa, kuteswa, na kuhukumiwa<br />

kufa--yote <strong>ya</strong>naelezwa kwa wazi.<br />

Na sasa mbele <strong>ya</strong> makutano <strong>ya</strong>liyowa<strong>ya</strong>wa<strong>ya</strong> maoni <strong>ya</strong> mwisho <strong>ya</strong>nafunuliwa; Mteswaji<br />

mvumulivu akakan<strong>ya</strong>nga njia <strong>ya</strong> Kalvari; Mfalme wa mbinguni kutundikwa msalabani;<br />

makuhani na walimu wakachekelea maumivu makali <strong>ya</strong> kukata roho <strong>ya</strong>ke; giza kubwa sana<br />

kuonyesha wakati wakati Mkombozi wa ulimwengu alipotoa maisha <strong>ya</strong>ke.<br />

Ajabu <strong>ya</strong> kutisha inaonekana kama tu ilivyokuwa. Shetani na watu wake hawana uwezo<br />

wa kugeuza na kutoka kwa picha. Yeyote aliyehusika kwa kufan<strong>ya</strong> tendo anakumbuka<br />

sehemu aliyoifan<strong>ya</strong>. Herode, aliyewaua watoto wasiokuwa na kosa wa Betelehemu; chanzo<br />

Herodias, ambaye juu <strong>ya</strong> nafsi <strong>ya</strong>ke kunadumu damu <strong>ya</strong> Yoane Mtabizaji; mzaifu, Pilato<br />

mwenye kulinda wakati; askari wenye kuchekelea; msongano wa watu wenye wazimu<br />

waliopaaza sauti, “damu <strong>ya</strong>ke na iwe juu yetu, na juu <strong>ya</strong> watoto wetu”! --kutafuta namna yote<br />

bila kuweza kujificha kutoka kwa utukufu wa uso wake Mungu, wakati waliokombolewa<br />

wanapotupa taji zao kwa miguu <strong>ya</strong> Mwokozi, kuapaaza sauti, “Alikufa kwa ajili <strong>ya</strong>ngu”!<br />

Hapo kuna Neno, mkatili mkali na muovu, kutazama utukufu wa wale aliowatesa na kwa<br />

maumuvu <strong>ya</strong>o akapata furaha <strong>ya</strong> kishetani. Mama <strong>ya</strong>ke anashuhudia kazi <strong>ya</strong>ke mwenyewe,<br />

namna gani tamaa alizoendelesha na mvuto wake na mfano zimezaa matunda katika mauaji<br />

<strong>ya</strong>liyoletea dunia kutetemeka.<br />

Hapo kunakuwa mapadri wa Papa na maaskofu waliojidai kuwa mabalozi wa Kristo, huku<br />

walipokuwa wakitumia mbao zenye v<strong>ya</strong>ngo v<strong>ya</strong> kutundikia watu, gereza, na kigingi kwa<br />

kutawala watu Wake. Hapo panakuwa maaskofu wenye kiburi waliojiinua wenyewe juu <strong>ya</strong><br />

Mungu na wakasubutu kugeuza sheria <strong>ya</strong> Mungu Aliye juu. Wale waliojidai kuwa wababa<br />

wanakuwa na hesabu <strong>ya</strong> kutoa kwa Mungu. Kwa mda kitambo unapopita wamefanywa kuona<br />

<strong>ya</strong> kwamba Mwenye Kujua yote anakuwa na wivu wa sheria <strong>ya</strong>ke. Wanajifunza sasa <strong>ya</strong><br />

kwamba Kristo anatambua faida zake pamoja na watu wake wanaoteseka.<br />

273

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!