12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Sura 42. Vita Imemalizika<br />

Kwa mwisho wa miaka 1000, Kristo anarudi duniani akisindikizwa na waliokombolewa<br />

na jamii <strong>ya</strong> malaika. Anaagiza wafu waovu watoke kupokea maangamizi <strong>ya</strong>o. Wanatoka,<br />

wengi sana kama mchanga wa bahari, wanapokuwa na alama za ugonjwa na mauti. Tofauti<br />

namna gani kwa wale waliofufuka katika ufufuko wa kwanza!<br />

Macho yote inageuka kutazama utukufu wa Mwana wa Mungu. Kwa sauti moja majeshi<br />

<strong>ya</strong> waovu wanapaza sauti: “Amebarikiwa anayekuja kwa jina la Bwana”! Matayo 23:39. Si<br />

mapendo <strong>ya</strong>nayoongoza maneno ha<strong>ya</strong>. Nguvu <strong>ya</strong> kweli inalazimisha maneno kutoka kwa<br />

midomo isiyotaka. Kama vile waovu walivyokwenda katika makaburi, ndivyo hivyo<br />

wanafufuka pamoja na uadui wa namna moja kwa Kristo na roho <strong>ya</strong> namna ileile <strong>ya</strong> uasi.<br />

Hawatapewa wakati wa rehema mp<strong>ya</strong> kwa kuponyesha maisha <strong>ya</strong>o <strong>ya</strong> wakati uliopita.<br />

Nabii anasema: “Na miguu <strong>ya</strong>ke itasimama siku ile juu <strong>ya</strong> mlima wa Mzeituni, ... na<br />

Mlima wa Mzeituni utapasuka katikati <strong>ya</strong>ke”. Zakaria 14:4. Wakati Yerusalema mp<strong>ya</strong><br />

unaposhuka toka mbinguni, utapumzika kwa pahali palipota<strong>ya</strong>rishwa, na Kristo, pamoja na<br />

watu wake na malaika, wanaingia kwa mji mtakatifu.<br />

Wakati alipokatwa kazi <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> kudangan<strong>ya</strong>, mtawala wa uovu alikuwa maskini na<br />

mwenye huzuni, lakini kwa namna wafu waovu wanapofufuka na anapoona makutano<br />

makubwa kwa upande wake, matumaini <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong>narudi. Anakusudia si kutokuacha vita<br />

kubwa. Atapanga wapotevu chini <strong>ya</strong> bendera <strong>ya</strong>ke. Kwa kukana Kristo wamekubali amri <strong>ya</strong><br />

mwongozi mwasi, ta<strong>ya</strong>ri kufan<strong>ya</strong> mapenzi <strong>ya</strong>ke. Lakini, kweli kwa werevu wake wa kwanza,<br />

hakubali yeye mwenyewe kuwa Shetani. Anadai kuwa mwenyewe wadunia wa haki ambaye<br />

alin<strong>ya</strong>nganywa uriti bila sheria.<br />

Anajionyesha mwenyewe kama mkombozi, kuhakikisha watu wake waliodanganyiwa <strong>ya</strong><br />

kwamba uwezo wake umewaleta kutoka kwa makaburi <strong>ya</strong>o. Shetani anawafan<strong>ya</strong> wazaifu<br />

kuwa wenye nguvu, na kuwasukuma wote kwa nguvu zake mwenyewe kuwaongoza<br />

kukamata makao <strong>ya</strong> mji wa Mungu. Akatazama kwa mamilioni <strong>ya</strong>siyohesabika <strong>ya</strong><br />

waliofufuliwa kutoka kwa wafu, na akatangaza <strong>ya</strong> kwamba kama muongozi wao anaweza<br />

kupata tena kiti chake chaenzi na ufalme.<br />

Katika makutano makubwa ha<strong>ya</strong> kunakuwa na taifa lenye maisha marefu lile lililoishi<br />

mbele <strong>ya</strong> garika, watu wa kimo kirefu sana na wa akili nyingi; watu ambao kazi zao za ajabu<br />

zikaongoza ulimwengu kuabudu akili zao, lakini mambo <strong>ya</strong> uvumbuzi wa ukali na uovu wao<br />

ikafan<strong>ya</strong> Mungu kuwaharibu kutoka kwa viumbe v<strong>ya</strong>ke. Pale kunakuwa wafalme na<br />

wajemadari wasioshindwa kamwe kwa vita. Katika mauti hawa hawakupata badiliko.<br />

Wanapotoka kwa kaburi, wanaendeshwa kwa tamaa <strong>ya</strong> namna ileile <strong>ya</strong> kushinda wale<br />

waliowatawala wakati walishindwa.<br />

Shambulio la Mwisho la Kumpinga Mungu<br />

271

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!