12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Sura 23. Siri <strong>ya</strong> Wazi <strong>ya</strong> Pahali Patakatifu<br />

Maandiko ambayo ni <strong>ya</strong> juu <strong>ya</strong> mengine <strong>ya</strong>likuwa vyote viwili, msingi na nguzo <strong>ya</strong><br />

katikati <strong>ya</strong> imani <strong>ya</strong> kuja kwa Yesu ilikuwa tangazo, “Hata mangaribi na asubui <strong>ya</strong> siku elfu<br />

mbili mia tatu; halafu Pahali patakatifu patatakaswa.” Danieli 8:14. Ha<strong>ya</strong> <strong>ya</strong>likuwa maneno<br />

<strong>ya</strong> mazoezi kwa waamini wote juu <strong>ya</strong> kuja upesi kwa Bwana. Lakini Bwana hakutokea.<br />

Waamini walijua kwamba Neno la Mungu halitaweza kushindwa; maelezo <strong>ya</strong>o <strong>ya</strong> unabii<br />

<strong>ya</strong>likuwa na kosa. Lakini kosa lilikuwa wapi?<br />

Mungu aliongoza watu wake katika mwendo mkubwa wa kuja kwa Yesu. Hangeuruhusu<br />

mwisho wake uwe wa giza na uchungu, kulaumiwa kama wa uwongo na wa ushupavu. Ijapo<br />

wengi wakaacha kuhesabia n<strong>ya</strong>kati zao za unabii na wakakana msingi ulioimarishwa<br />

mwendo, wengine hawakutaka kukataa mambo <strong>ya</strong> imani na maisha <strong>ya</strong>liyokubaliwa na<br />

Maandiko na Roho wa Mungu. Ilikuwa wajibu wao kushikilia kwa nguvu ukweli<br />

waliyokwisha kupata. Kwa maombi <strong>ya</strong> juhudi wakajifunza Maandiko kwa kuvumbua kosa<br />

lao. Kwa namna hawakuweza kuona kosa kwa hesabu zao za n<strong>ya</strong>kati za unabii,<br />

wakachunguza zaidi sana fundisho la Pahali patakatifu.<br />

Wakajifunza kwamba hakuna ushahidi wa Maandiko unaokubali maoni <strong>ya</strong> watu wengi<br />

kwamba dunia ni Pahali patakatifu; lakini wakapata maelezo kamili <strong>ya</strong> Pahali patakatifu; asili<br />

<strong>ya</strong>ke, pahali, na matumizi:<br />

“Basi hata agano la kwanza lilikuwa na amri <strong>ya</strong> kuabudu Mungu, na Pahali patakatifu pake<br />

pa dunia. Maana hema ilitengenezwa ile <strong>ya</strong> kwanza iliyokuwa na taa, na meza na mikate <strong>ya</strong><br />

onyesho kwa Mungu, palipoitwa Pahali patakatifu. Na nyuma <strong>ya</strong> pazia la pili, ilikuwa hema<br />

iliyoitwa Pahali patakatifu pa patakatifu, yenye kifukizo cha zahabu na sanduku <strong>ya</strong> agano<br />

iliyofunikwa na zahabu pande zote, na ndani <strong>ya</strong>ke kulikuwa kopo la zabahu yenye mana, na<br />

fimbo <strong>ya</strong> Haruni iliyochipuka, na vibao v<strong>ya</strong> agano; na juu <strong>ya</strong>ke makerubi <strong>ya</strong> zahabu, <strong>ya</strong>kitia<br />

kivuli juu <strong>ya</strong> kiti cha rehema:” Waebrania 9:1-5.<br />

“Pahali patakatifu” ilikuwa ni hema iliyojengwa na Musa kwa agizo la Mungu kama pahali<br />

pa kukaa pa kidunia pa Mwenyezi Mungu. “Na wanifanyie Pahali patakatifu; nipate kukaa<br />

katikati <strong>ya</strong>o” (Kutoka 25:8), ilikuwa ni agizo lililotolewa kwa Musa. Hema wala maskani<br />

ilikuwa ni umbo kubwa la fahari. Zaidi <strong>ya</strong> uwanja wa inje, hema yenyewe ilikuwa na vyumba<br />

viwili vilivyoitwa Pahali patakatifu na Pahali patakatifu pa patakatifu, vilivyogawanywa na<br />

pazia nzuri sana, Kifuniko cha namna moja kilifunga mlango kwa chumba cha kwanza.<br />

Pahali Patakatifu na Patakatifu pa Patakatifu<br />

Katika Pahali patakatifu kulikuwa na kinara upande wa kusini pamoja na taa zake saba<br />

kutoa nuru mchana na usiku; upande wa kaskazini kulikuwa na meza <strong>ya</strong> mikate <strong>ya</strong> onyesho.<br />

Mbele <strong>ya</strong> pazia inayotenga Pahali patakatifu na patakatifu pa patakatifu kulikuwa na<br />

167

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!