12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Akashangazwa na namna unabii ulitimilika kwa uaminifu. Hapa palikuwa na ushuhuda kwa<br />

maongozi <strong>ya</strong> Maandiko. Hakuweza kudumu kutoshelewa na akili za kibinadamu, na katika<br />

kujifunza Biblia akaongozwa kwa imani <strong>ya</strong> hakika.<br />

Akafikia kwa imani kwamba kuja kwa Bwana kulikuwa karibu. Alipovutwa na umuhimu<br />

wa ukweli huu, akakusudia kuupeleka mbele <strong>ya</strong> watu. Lakini imani <strong>ya</strong> watu wengi kwamba<br />

mambo <strong>ya</strong> unabii wa Danieli ha<strong>ya</strong>wezi kufahamika ilikuwa kizuizi kikubwa. Mwishowe<br />

akakusudia--kama vile Farel alivyofan<strong>ya</strong> mbele <strong>ya</strong>ke katika kuhubiri Genève--kwa kuanza na<br />

watoto, kwa njia <strong>ya</strong>o akatumainia kuwa wazazi watavutwa. Akasema, “Nikusan<strong>ya</strong><br />

wasikilizaji watoto; kama kundi linaongezeka kuwa, kubwa, kama likionekana kwamba<br />

wanasikiliza, wanapendezwa, wanakuwa na usikizi, kwamba wanafahamu na kueleza<br />

fundisho, nina hakika kuwa na kundi la pili karibu, na wao, watu wakubwa wataona kwamba<br />

ni faida <strong>ya</strong>o kukaa na kujifunza. Wakati jambo hili linapotendeka, ushindi utapatikana.”<br />

Alipokuwa akisema na watoto, watu wakubwa wakaja kusikiliza. Vyumba v<strong>ya</strong> kanisa lake<br />

vikajaa na wasikilizaji, watu wa heshima na wenye elimu, na wageni wa inchi zingine<br />

wakazuru Geneve. Kwa hivyo ujumbe ukapelekwa kwa sehemu zingine.<br />

Alipotiwa moyo, Gaussen akatangaza mafundisho <strong>ya</strong>ke na matumaini <strong>ya</strong> kuanzisha<br />

mafundisho <strong>ya</strong> vitabu v<strong>ya</strong> unabii. Baadaye akawa mwalimu katika chuo cha elimu <strong>ya</strong> tabia na<br />

sifa za Mungu na dini, akiendelea kwa siku <strong>ya</strong> juma pili na kazi <strong>ya</strong>ke kama mwalimu wa<br />

katikisimu, kusema kwa watoto na kuwafundisha katika Maandiko. Kwa kiti cha mwalimu,<br />

kwa njia <strong>ya</strong> vitabu (chapa) na kama mwalimu wa watoto, yeye kwa miaka mingi alikuwa<br />

chombo katika kuita uangalifu wa wengi kwa mambo <strong>ya</strong> unabii ambayo <strong>ya</strong>lionyesha kwamba<br />

kuja kwa Bwana kulikuwa karibu.<br />

Wahubiri Watoto wa Skandinavie<br />

Katika Skandinavie vilevile ujumbe wa kurudi kwa Yesu alitangazwa. Wengi<br />

wakasimama kutubu na kuacha zambi zao na kutafuta rehema katika jina la Kristo. Lakini<br />

padri wa kanisa la mahali pale akapinga mabadiliko, na wengine waliohubiri ujumbe<br />

wakatupwa gerezani. Mahali pengi ambapo wahubiri wa kuja kwa Bwana kwa karibu<br />

walin<strong>ya</strong>mazishwa, Mungu akapendezwa kutuma ujumbe kwa njia <strong>ya</strong> watoto wadogo. Kama<br />

vile walikuwa chini <strong>ya</strong> umri wa maisha <strong>ya</strong> mtu mzima, serkali haikuweza kuwafunga, na<br />

wakaruhusiwa kusema bila kusumbuliwa.<br />

Katika makao <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> umasikini watu wakakusanyika kusikia maonyo. Wahubiri wengine<br />

watoto hawakuwa zaidi <strong>ya</strong> umri wa miaka sita ao mnane; ijapo maisha <strong>ya</strong>o <strong>ya</strong>lishuhudia<br />

kwamba walimpenda Mwokozi, wakaonyesha tu kwa kawaida akili na uwezo<br />

vinavyoonekana katika watoto wa umri ule. Wakati waliposimama mbele <strong>ya</strong> watu, lakini,<br />

walibadilishwa na mvuto mbali <strong>ya</strong> zawadi zao za kawaida. Sauti na tabia vikageuka, na<br />

pamoja na uwezo mkubwa wakatoa maonyo <strong>ya</strong> hukumu, “Ogopeni Mungu, na kumutukuza<br />

kwa maana saa <strong>ya</strong> hukumu <strong>ya</strong>ke imekuja.”<br />

148

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!