12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

yeye mwenyewe, ao mtume wake, zaidi <strong>ya</strong> yote kristo ameelezwa viba<strong>ya</strong> kabisa na<br />

kusulubiwa ndani <strong>ya</strong>o.”<br />

Roma ikazidi kukasirishwa na mashambulio <strong>ya</strong> Luther. Wapinzani washupavu, hata<br />

waalimu (docteurs) katika vyuo vikuu v<strong>ya</strong> Kikatoliki, wakatangaza kwamba yule angeweza<br />

kumua mtawa yule angekuwa bila zambi. Lakini Mungu alikuwa mlinzi wake. Mafundisho<br />

<strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong>kasikiwa po pote--“katika nyumba ndogo na nyumba za watawa (couvents), ... katika<br />

ngome za wenye cheo, katika vyuo vikubwa, katika majumba <strong>ya</strong> wafalme.”<br />

Kwa wakati huu Luther akaona <strong>ya</strong> kwamba ukweli mhimu juu <strong>ya</strong> kuhesabiwa haki kwa<br />

imani ilikuwa ikishikwa na Mtengenezaji, Huss, wa Bohemia. “Tumekuwa na vyote”<br />

akasema Luther, “Paul, Augustine, na mimi mwenyewe, Wafuasi wa Huss bila kujua!”<br />

“ukweli huu ulihubiriwa ... karne iliyopita na ikachomwa!”<br />

Luther akaandika basi mambo juu <strong>ya</strong> vyuo vikuu: “Ninaogopa sana kwamba vyuo vikuu<br />

vitaonekana kuwa milango mikubwa <strong>ya</strong> jehanumu, isipokuwa vikitumika kwa bidii kwa<br />

kueleza Maandiko matakatifu, na ku<strong>ya</strong>kaza ndani <strong>ya</strong> mioyo <strong>ya</strong> vijana. ... Kila chuo ambamo<br />

watu hawashunguliki daima na Neno la Mungu kinapaswa kuharibika.”<br />

Mwito huu ukaenea po pote katika Ujermani. Taifa lote likashituka. Wapinzani wa Luther<br />

wakamwomba Papa kuchukua mipango <strong>ya</strong> nguvu juu <strong>ya</strong>ke. Iliamriwa kwamba mafundisho<br />

<strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong>hukumiwe mara moja. Mtengenezaji na wafuasi wake, kama hawakutubu,<br />

wangepaswa wote kutengwa kwa Ushirika Mtakatifu.<br />

Shida <strong>ya</strong> Kutisha<br />

Hiyo ilikuwa shida <strong>ya</strong> kutisha sana kwa Matengenezo. Luther hakuwa kipofu kwa zoruba<br />

karibu kupasuka, lakini alitumaini Kristo kuwa egemeo lake na ngabo <strong>ya</strong>ke. “Kitu kinacho<br />

karibia kutokea sikijui, na sijali kujua. ... Hakuna hata sivile jani linawezakuanguka, bila<br />

mapenzi <strong>ya</strong> Baba yetu. Kiasi gani zaidi atatuchunga! Ni vyepesi kufa kwa ajili <strong>ya</strong> Neno, kwani<br />

Neno ambalo lilifanyika mwili lilikufa lenyewe.” Wakati barua <strong>ya</strong> Papa ilimufikia Luther,<br />

akasema: Ninaizarau, tena naishambulia, kwamba ni<strong>ya</strong> uovu, <strong>ya</strong> uongo.... Ni Kristo yeye<br />

mwenyewe anayelaumiwa ndani <strong>ya</strong>ke. Ta<strong>ya</strong>ri ninasikia uhuru kubwa moyoni mwangu; kwani<br />

mwishowe ninajua <strong>ya</strong> kwamba Papa ni mpinga kristo na kiti chake cha ufalme ni kile cha<br />

Shetani mwenyewe.”<br />

Lakini mjumbe wa Roma halikukosa kuwa na matokeo. Wazaifu na waabuduo ibada <strong>ya</strong><br />

sanamu wakatetemeka mbele <strong>ya</strong> amri <strong>ya</strong> Papa, na wengi wakaona kwamba maisha <strong>ya</strong>likuwa<br />

<strong>ya</strong> damani sana kuhatarisha. Je, kazi <strong>ya</strong> Mtengenezaji ilikuwa karibu kwisha? Luther angali<br />

bila woga. Kwa uwezo wa kutisha akarudisha juu <strong>ya</strong> Roma yenyewe maneno <strong>ya</strong> hukumu.<br />

Mbele <strong>ya</strong> makutano <strong>ya</strong> wanainchi wa vyeo vyote Luther akachoma barua <strong>ya</strong> Papa. Akasema,<br />

“Mapigano makali <strong>ya</strong>meanza sasa. Hata sasa nilikuwa nikicheza tu na Papa. Nilianza kazi hii<br />

kwa jina la Mungu; si mimi atakaye imaliza, na kwa uwezo wangu.... Nani anayejua kama<br />

54

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!