12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

yote, na sura <strong>ya</strong>ke zaidi <strong>ya</strong> watoto wa watu”. Isa<strong>ya</strong> 52:14. Juu <strong>ya</strong> vichwa v<strong>ya</strong> washindaji Yesu<br />

anaweka taji <strong>ya</strong> utukufu. Kwani kila mmoja kule kunataji ambalo lina “jina jip<strong>ya</strong>” lake<br />

mwenyewe (Ufunuo 2:17) na mwandiko “Utakatifu kwa Bwana”. Katika kila mkono<br />

kumewekwa tawi la ngazi la ushindi na kinubi chenye kungaa. Ndipo, wakati malaika wenye<br />

kuamrisha wanapopiga sauti, kila mkono unapiga juu <strong>ya</strong> nyuzi na mguso wa ufundi mzuri<br />

sana, mkazo wa masauti. Kila sauti inainuliwa kwa sifa za shukrani: “Kwa yeye aliyetupenda<br />

na kutuosha zambi zetu kwa damu <strong>ya</strong>ke, na kutufan<strong>ya</strong> kuwa wafalme wa makuhani kwa<br />

Mungu na Baba <strong>ya</strong>ke; kwa yeye ni utukufu na uwezo hata milele na milele”. Ufunuo 1:5,6.<br />

Mbele <strong>ya</strong> makutano <strong>ya</strong> waliokombolewa ni Mji Mtakatifu. Yesu anafungua milango, na<br />

mataifa <strong>ya</strong>liyolinda ukweli wanaingia ndani. Ndipo sauti <strong>ya</strong>ke imesikiwa, “Kujeni, ninyi<br />

muliobarikiwa na Baba <strong>ya</strong>ngu, mriti ufalme muliotengenezewa tangu kuumbwa kwa<br />

ulimwengu”. Matayo 25:34. Kristo anaonyesha kwa Baba <strong>ya</strong>ke ununuzi wa damu <strong>ya</strong>ke,<br />

kusema; ‘’Tazama, mimi ni hapa pamoja na watoto ulionipa “Wale ulionipa niliwachunga”.<br />

Waebrania 2:13; Yoane 17:12. Ee, furaha <strong>ya</strong> saa ile wakati Baba wa milele, kutazama kwa<br />

waliokombolewa, watatazama mfano wake, uharibifu wa zambi ukisha ondolewa, na<br />

binadamu mara ingine tena katika umoja na Mungu!<br />

Furaha <strong>ya</strong> Mwokozi ni kwa kuona, katika ufalme wa utukufu, mioyo iliyookolewa kwa<br />

maumivu <strong>ya</strong>ke makali na unyenyekevu. Mtu aliyeokolewa atashiriki katika furaha <strong>ya</strong>ke;<br />

wanatazama wale waliopatikana kwa njia <strong>ya</strong> maombi <strong>ya</strong>o, kazi, na kafara <strong>ya</strong> upendo.<br />

Shangwe itajaa katika mioyo <strong>ya</strong>o wakati wanapoona yule aliyeokoa wengine, na hawa zaidi<br />

na wengine.<br />

Wanadamu Wawili Wanakutana<br />

Wakati waliookolewa wanapokaribishwa kwa mji wa Mungu, hapo kunakuwa kilio cha<br />

shangwe nyingi. Wanadamu wawili ni karibu kukutana. Mwana wa Mungu anapashwa<br />

kupokea baba wa taifa letu--aliyeumbwa, aliyefan<strong>ya</strong> zambi, na kwa ajili <strong>ya</strong> zambi <strong>ya</strong>ke alama<br />

za msalaba zinakuwa kwa sura <strong>ya</strong> Mwokozi. Wakati Adamu alipotambua alama za misumari,<br />

kwa unyenyekevu anaanguka yeye mwenyewe kwa miguu <strong>ya</strong> Kristo. Mwokozi anamwinua<br />

na kumwalika kutazama tena kwa makao <strong>ya</strong> Edeni ambapo amehamishwa kwa wakati mrefu.<br />

Maisha <strong>ya</strong> Adamu <strong>ya</strong>lijazwa na huzuni. Kila jani lililokufa, kila n<strong>ya</strong>ma wa kafara, kila doa<br />

juu <strong>ya</strong> utakatifu wa mtu, ilikuwa ukumbusho wa zambi <strong>ya</strong>ke. Maumivu <strong>ya</strong> majuto <strong>ya</strong>likuwa<br />

<strong>ya</strong> kutisha sana wakati alipokutana na laumu zilizotupwa juu <strong>ya</strong>ke mwenyewe kama sababu<br />

<strong>ya</strong> zambi. Kwa uaminifu akatubu zambi <strong>ya</strong>ke, na alikufa katika tumaini la ufufuko. Sasa, kwa<br />

njia <strong>ya</strong> upatanisho, Adamu amerudishiwa hali <strong>ya</strong> kwanza.<br />

Alipojazwa na furaha, anatazama miti ambayo ilikuwa mara <strong>ya</strong> kwanza furaha <strong>ya</strong>ke,<br />

matunda <strong>ya</strong>ke yeye mwenyewe alikuwa akikusan<strong>ya</strong> mbele <strong>ya</strong> kuwa na hatia. Ameona<br />

mizabibu ambayo mikono <strong>ya</strong>ke mwenyewe ilikomalisha, maua aliyo<strong>ya</strong>penda zamani kulinda.<br />

Hii ni Edeni iliyorudishwa kweli!<br />

263

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!