12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Luther akawaza juu <strong>ya</strong> jibu lake, akachunguza maneno katika maandiko <strong>ya</strong>ke, na akapata<br />

kwa Maandiko matakatifu mahakikisho <strong>ya</strong> kufaa kwa kusimamia maneno <strong>ya</strong>ke. Ndipo, akatia<br />

mkono wake wa kushoto kwa Kitabu Kitakatifu, akainua mkono wake wa kuume mbinguni<br />

na akaapa kwa kiapo “kukua mwaminifu kwa injili, na kwa uhuru kutangaza imani <strong>ya</strong>ke, hata<br />

ingeweza kutia mhuri kwa ushuhuda wake kwa kumtia damu <strong>ya</strong>ke.”<br />

Luther Mbele <strong>ya</strong> Baraza Tena<br />

Wakati alipoingizwa tena ndani <strong>ya</strong> Baraza, alikuwa mwenye ukim<strong>ya</strong> na amani, lakini<br />

shujaa mwenye tabia nzuri, kama mshuhuda wa Mungu miongoni mwa wakuu wa dunia.<br />

Ofisa wa mfalme akauliza uamuzi wake. Je, alitaka kukana? Luther akatoa jibu lake kwa sauti<br />

<strong>ya</strong> unyenyekevu, bila ugomvi wala hasira. Mwenendo wake ulikuwa wa wasiwasi na wa<br />

heshima; lakini akaonyesha tumaini na furaha ambayo ilishangaza makutano.<br />

“Mfalme mwema sana, watawala watukufu, mabwana wa neema,” akasema Luther,<br />

“naonekana mbele yenu leo, kufuatana na agizo nililopewa jana. Kama katika ujinga,<br />

ningevunja desturi utaratibu wa mahakama, ninaomba munirehemu; kwani sikukomalia<br />

katika ma nyumba <strong>ya</strong> wafalme, bali katika maficho <strong>ya</strong> nyumba <strong>ya</strong> watawa.”<br />

Ndipo akasema kwamba katika kazi zake zingine zilizochapwa alieleza habari <strong>ya</strong> imani<br />

na matendo mema; hata maadui zake walizitangaza kuwa za kufaa. Kuzikana ingehukumu<br />

kweli ambazo wote walikubali. Aina <strong>ya</strong> pili ni <strong>ya</strong> maandiko <strong>ya</strong> kufunua makosa na matumizi<br />

maba<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> cheo cha Papa. Kuharibu ha<strong>ya</strong> ni kuimarisha jeuri <strong>ya</strong> Roma na kufungua mlango<br />

kuwa wazi sana kwa ukosefu wa heshima kwa Mungu. Katika aina <strong>ya</strong> tatu alishambulia watu<br />

waliosimamia maovu <strong>ya</strong>nayokuwako. Kwa ajili <strong>ya</strong> mambo ha<strong>ya</strong> akakiri kwa uhuru kwamba<br />

alikuwa mkali zaidi kuliko ilivyofaa. Lakini hata vitabu hivi hataweza kuvikana kwani adui<br />

za ukweli wangepata nafasi kwa kulaani watu wa Mungu kwa ukali mwingi zaidi.<br />

Akaendelea, “Nitajitetea mwenyewe kama Kristo alivyofan<strong>ya</strong>: Kama nimesema viba<strong>ya</strong>,<br />

kushuhudia juu <strong>ya</strong> uovu’ ... Kwa huruma za Mungu, ninakusihi, mfalme asio na upendeleo,<br />

na ninyi, watawala bora, na watu wote wa kila aina, kushuhudia kutoka kwa maandiko <strong>ya</strong><br />

manabii na mitume kwamba nilidanganyika. Mara moja ninapokwisha kusadikishwa kwa<br />

jambo hili, nitakana makosa yote, na nitakuwa wa kwanza kushika vitabu v<strong>ya</strong>ngu na kuvitupa<br />

motoni. ...<br />

“Bila wasiwasi, ninafurahi kuona kwamba injili inakuwa sasa kama kwa n<strong>ya</strong>kati za<br />

zamani, ambayo ni chanzo cha taabu na fitina. Hii ni tabia, na mwisho wa neno la Mungu.<br />

`Sikuja kuleta salama duniani lakini upanga,’alisema Yesu Kristo. ... Mujihazali kwamba kwa<br />

kuzania munazuia ugomvi musitese Neno takatifu la Mungu na kuangusha juu yenu garika la<br />

kutisha la hatari kubwa za misiba <strong>ya</strong> sasa, na maangamizi <strong>ya</strong> milele.”<br />

Luther alisema kwa Kijeremani; Sasa aliombwa kukariri maneno <strong>ya</strong>le<strong>ya</strong>le kwa Kilatini.<br />

Akatoa tena maneno <strong>ya</strong>ke wazi wazi kama mara <strong>ya</strong> kwanza. Uongozi wa Mungu<br />

ulimusimamia katika jambo hili. Watawala wengi walipofushwa sana na makosa na ibada <strong>ya</strong><br />

61

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!