12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

aliyebaki ndani <strong>ya</strong> Yerusalema, ataitwa mtakatifu, kila mmoja aliyeandikwa katika wale walio<br />

hai ndani <strong>ya</strong> Yerusalema.” Yeremia 31:34; 50:20; Isa<strong>ya</strong> 4:3.<br />

Kufutia Mbali kwa Zambi<br />

Kazi <strong>ya</strong> hukumu <strong>ya</strong> uchunguzi na kufutia mbali zambi inapashwa kutimizwa mbele <strong>ya</strong><br />

kuja kwa Bwana mara <strong>ya</strong> pili. Katika huduma <strong>ya</strong> mfano kuhani mkuu alitoka inje na kubariki<br />

makutano. Vivyo hivyo Kristo, kwa mwisho wa kazi <strong>ya</strong>ke kama mpatanishi, ataonekana” si<br />

tena kwa zambi, lakini kwa wokovu.” Waebrania 9:28.<br />

Kuhani, katika kuondoa zambi kutoka Pahali patakatifu, aliziungama juu <strong>ya</strong> kichwa mbuzi<br />

wa Azazeli. Kristo ataweka zambi hizi zote juu <strong>ya</strong> Shetani, mshawishi wa zambi. Mbuzi wa<br />

Azazeli akapelekwa mbali “katika inchi isiyo na watu.” Walawi 16:22. Shetani, katika<br />

kuchukua hatia za zambi alizolazimisha watu wa Mungu kuzifan<strong>ya</strong>, atafungwa miaka elfu<br />

katika inchi isiyokaliwa kama jangwa na mwishoni atateswa kwa azabu <strong>ya</strong> moto<br />

utakaoangamiza waovu. Kwa hivi mpango wa wokovu utafikia utimilifu wake katika kungoa<br />

kwa mwisho kwa zambi.<br />

Kwa Wakati Uliotajwa<br />

Kwa wakati uliotajwa--mwisho wa siku 2300 katika 1844--kazi <strong>ya</strong> uchunguzi ikaanza na<br />

kufutiwa mbali kwa zambi. Zambi zisizoungamwa na kuachwa hazitafutwa kutoka vitabu v<strong>ya</strong><br />

ukumbusho. Malaika wa Mungu wakashuhudia kila zambi na kuiandika. Zambi inaweza<br />

kukanwa, kufichwa kwa Baba, mama, bibi, watoto, na kwa rafiki; lakini inawekwa wazi<br />

mbele <strong>ya</strong> mbingu. Mungu hadanganywe kwa matendo <strong>ya</strong>nayoonekana. Hafanyi makosa.<br />

Watu wanaweza kudanganywa kwa wale wanaochafuka ndani <strong>ya</strong> moyo, lakini Mungu<br />

anasoma maisha <strong>ya</strong> ndani.<br />

Ni wazo la kutisha namna gani! Mshindi mkubwa kupita duniani hawezi kurudisha<br />

ukumbusho wa matendo <strong>ya</strong> siku hata moja. Matendo yetu, maneno yetu, hata makusudi yetu<br />

<strong>ya</strong> siri, ijapo tuki<strong>ya</strong>sahau, <strong>ya</strong>tatoa ushuhuda wake kwa kuhesabiwa haki wala kuhukumiwa.<br />

Katika hukumu matumizi <strong>ya</strong> kila kipaji <strong>ya</strong>tachunguzwa. Namna gani tumetumia wakati<br />

wetu, kalamu yetu <strong>ya</strong> wino, sauti yetu, mali yetu, mvuto wetu? Tumefan<strong>ya</strong> nini kwa Kristo<br />

katika nafsi <strong>ya</strong> maskini, wenye kuteswa, <strong>ya</strong>tima, ao mjane? Tumefan<strong>ya</strong> nini na nuru pia na<br />

kweli tuliyopewa? Ila tu upendo ulioonyeshwa kwa matendo unaohesabiwa kuwa wa kweli.<br />

Upendo peke <strong>ya</strong>ke mbele <strong>ya</strong> Mungu wa mbinguni haufanye tendo lo lote la damani.<br />

Choyo lliyofichwa Imefunuliwa<br />

Mambo yote <strong>ya</strong> ukaidi wa choyo iliyofichwa <strong>ya</strong>mefunuliwa katika vitabu v<strong>ya</strong> mbinguni.<br />

Mara ngapi wakati, mawazo, na nguvu zinazokuwa za Kristo zilitolewa kwa Shetani. Wafuasi<br />

wa Kristo wanashughulika katika upataji wa mali <strong>ya</strong> kidunia ao furaha <strong>ya</strong> anasa <strong>ya</strong><br />

ulimwengu. Mali, wakati, na nguvu zinatumiwa kwa maonyesho na anasa; n<strong>ya</strong>kati za bidii<br />

kwa kuomba ni chache, kwa kutafuta Maandiko, kuungama zambi.<br />

199

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!