12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Hapawezi kuwa kujiinua mwenyewe, hapana madai <strong>ya</strong> kujisifu kwa uhuru wa zambi kwa<br />

upande wa wale wanaotembea katika kivuli cha msalaba wa Kalvari. Waliona kwamba<br />

ilikuwa ni zambi <strong>ya</strong>o ambayo ilianzisha maumivu makuu <strong>ya</strong>liyovunja moyo wa Mwana wa<br />

Mungu, na wazo hili litaongoza kwa kujinyenyekeza. Wale wanaoishi karibu sana na Yesu<br />

wanatambua wazi zaidi uzaifu na hali <strong>ya</strong> zambi <strong>ya</strong> wanadamu, na tumaini lao moja tu<br />

linakuwa katika tabia nzuri <strong>ya</strong> Mwokozi aliyesulibiwa na kufufuka.<br />

Utakaso sasa unaoendelea mbele kwa sifa katika watu wa dini unaeneza roho <strong>ya</strong> kujiinua<br />

na kutojali kwa sheria <strong>ya</strong> Mungu ambayo inauonyesha kama jambo la kigeni kwa Biblia.<br />

Watetezi wake hufundisha kwamba utakaso ni kazi <strong>ya</strong> dakika moja, ambayo, katika “imani<br />

tu,” wanafikia utakatifu kamili. “Uamini tu,” wanavyosema, “na mibaraka ni <strong>ya</strong>ko.” Hapana<br />

juhudi <strong>ya</strong> zaidi kwa upande wa mwenye kupokea inayopashwa kufanywa. Kwa wakati ule ule<br />

wakakataa mamlaka <strong>ya</strong> sheria <strong>ya</strong> Mungu, kushurutisha kwamba wamewekwa huru kwa<br />

kanuni <strong>ya</strong> kushika amri. Lakini inawezekana kuwa mutakatifu pasipo kuja katika umoja na<br />

kanuni ambazo zinaonyesha tabia <strong>ya</strong> Mungu na mapenzi <strong>ya</strong>ke?<br />

Ushuhuda wa Neno la Mungu unakuwa kinyume cha mafun-disho ha<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> mtego <strong>ya</strong> imani<br />

pasipo matendo. Si imani inayotafuta kibali cha Mungu bila kushika tabia inayohitajiwa kwa<br />

ajili <strong>ya</strong> rehema <strong>ya</strong> kutolewa. Ni kiburi. Tazama Yakobo 2:14-24.<br />

Hebu watu wasijidanganye wenyewe kwamba wanaweza kuwa watakatifu wanapovunja<br />

kwa makusudi mojawapo <strong>ya</strong> matakwa <strong>ya</strong> Mungu. Zambi inayojulikana inan<strong>ya</strong>mazisha<br />

ushuhuda wa sauti <strong>ya</strong> Roho na inatenga nafsi toka kwa Mungu. Ingawa Yoane alidumu kabisa<br />

juu <strong>ya</strong> mapendo, hakusita kufunua tabia <strong>ya</strong> kweli <strong>ya</strong> kundi linalojidai kuwa takatifu wakati<br />

wanapoishi katika kuvunja sheria <strong>ya</strong> Mungu. “Yeye anayesema; Nimemujua, wala hashiki<br />

amri zake, ni mwongo, wala kweli si ndani <strong>ya</strong>ke. Lakini yeye anayeshika neno lake, katika<br />

huyu mapendo <strong>ya</strong> Mungu <strong>ya</strong>mekamilishwa kweli kweli.” 1 Yoane 2:4,5. Hapa kuna jaribio<br />

<strong>ya</strong> ushuhuda wa kila mtu. Kama watu wanapungua na kuzarau amri za Mungu, kama<br />

“wakivunja amri moja katika hizi zilizo ndogo, na kufundisha watu hivyo” (Matayo 5:18,19),<br />

tunaweza kujua kwamba madai <strong>ya</strong>o ha<strong>ya</strong>na msingi.<br />

Kusema hana zambi ni ushuhuda kwamba yeye anatangaza ha<strong>ya</strong> anakuwa mbali kwa<br />

utakatifu. Hana wazo la kweli la usafi usiokuwa na mwisho na utakatifu wa Mungu, na uovu<br />

na uba<strong>ya</strong> wa zambi. Zaidi anajitenga mbali kwa Kristo,zaidi anajiona yeye mwenyewe kuwa<br />

mwema.<br />

Utakaso wa Biblia<br />

Utakaso unahusu hali kamili <strong>ya</strong> mtu--roho, nafsi, na mwili. Tazama 1 Watesalonika 5:23.<br />

Wakristo wanaalikwa kutoa miili <strong>ya</strong>o, “iwe zabihu iliyo hai, takatifu, <strong>ya</strong> kupendeza Mungu.”<br />

Waroma 12:1. Kila desturi yo yote inayozoofisha nguvu za mwili ao akili inaondolea mtu<br />

uwezo kwa kazi <strong>ya</strong> Muumba. Wale wanaompenda Mungu kwa moyo wao wote watatafuta<br />

daima kuleta nguvu zote za maisha <strong>ya</strong>o kwa umoja pamoja na sheria zinazoendeleza nguvu<br />

193

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!