12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Hivi ndivyo itakavyofanywa mwisho wa zambi. “Umeharibu waovu, Umefuta jina lao<br />

kwa milele na milele. Adui wamekoma, wameachwa ukiwa kwa milele.” Zaburi 9:5,6. Yoane<br />

katika Ufunuo anasikia wimbo wa furaha wa sifa usiochafuliwa na sauti hata moja <strong>ya</strong><br />

kutopatana. Hakuna nafsi za watu zinazotukana Mungu wakati wanapojinyonga katika<br />

maumivu maba<strong>ya</strong> isiyokuwa na mwisho kamwe. Hakuna viumbe v<strong>ya</strong> taabu katika jehanum<br />

watakaochanganyisha na <strong>ya</strong>we <strong>ya</strong>o <strong>ya</strong> nguvu pamoja na nyimbo za waliookolewa.<br />

Juu <strong>ya</strong> kosa kuhusu maisha <strong>ya</strong> milele <strong>ya</strong> asili kunabaki mafundisho <strong>ya</strong> ufahamu katika<br />

mauti. Kulingana na maumivu maba<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> milele, ni kinyume kwa Maandiko, kwa akili, na<br />

kwa mawazo yetu <strong>ya</strong> kibinadamu. Kufuatana na imani <strong>ya</strong> watu wengi, waliokombolewa<br />

katika mbingu wanafahamu yote <strong>ya</strong>nayofanyika duniani. Lakini namna gani ingekuwa na<br />

furaha kwa wafu kujua mateso <strong>ya</strong> walio hai, kuwaona wakiendelea na huzuni, uchungu, na<br />

maumivu makuu <strong>ya</strong> maisha? Na ni chukizo la namna gani kuamini <strong>ya</strong> kama mara pumzi<br />

inapotoka mwilini nafsi <strong>ya</strong> roho isiyotubu inawekwa kwa ndimi za jehanum!<br />

Maandiko <strong>ya</strong>nasema nini? Mtu hana ufahamu katika mauti: “Pumuzi <strong>ya</strong>ke inatoka,<br />

anarudia udongoni; siku ileile mafikiri <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong>napotea.” “Maana walio hai wanajua <strong>ya</strong><br />

kwamba watakufa: lakini wafu hawajui kitu, ... Mapendo <strong>ya</strong>o na kuchukia kwao na wivu wao<br />

umepotea; wala hawana sehemu tena milele katika neno lo lote linalofanyika chini <strong>ya</strong> jua.’‘<br />

“Kwa kuwa Hadeze haiwezi kukusifu, wala kufa hakuwezi kukutukuza; wale wenye kushuka<br />

kwa shimo hawawezi kutarajia kweli <strong>ya</strong>ko. Mwenye uhai, mwenye uhai, ndiye atakayekusifu,<br />

kama mimi leo.” “Maana katika mauti hapana ukumbusho juu <strong>ya</strong>ko, Katika Hadeze nani<br />

atakayekupa asante?” Zaburi 146:4; Muhubiri 9:5,6; Isa<strong>ya</strong> 38:18, 19 ; Zaburi 6:5.<br />

Petro siku <strong>ya</strong> Pentekote akatangaza <strong>ya</strong> kwamba Dawidi “alikufa, akazikwa, na kaburi lake<br />

ni kwetu hata leo.” “Maana Dawidi hakupanda katika mbingu.” Matendo 2:29,34. Neno <strong>ya</strong><br />

kwamba Dawidi akingali katika kaburi hata ufufuo linaonyesha kwamba wenye haki<br />

hawaende mbinguni wanapokufa.<br />

Akasema Paulo: “Maana kama wafu hawafufuliwi, basi Kristo hakufufuliwa: na kama<br />

Kristo hakufufuliwa, imani yenu ni bure; mungali katika zambi zenu. Basi wao waliolala<br />

katika Kristo wamepotea.” 1 Wakorinto 15:16-18. Kama kwa miaka 4000 wenye haki<br />

walikwenda mara moja katika mbingu wakati wa kifo, namna gani Paulo amesema <strong>ya</strong><br />

kwamba kama hakuna ufufuo, “na wao waliolala katika Kristo wamepotea”?<br />

Wakati alipokuwa karibu kuacha wanafunzi wake, Yesu hakuwambia <strong>ya</strong> kwamba<br />

wangekuja mara moja kwake: “Ninakwenda kuwatengenezea ninyi pahali,” Akasema “Na<br />

kama ninakwenda kuwatengenezea ninyi pahali, nitakuja tena, na nitawakaribisha ninyi<br />

kwangu.” Yoane 14:2,3. Paulo anatwambia zaidi <strong>ya</strong> kwamba “Bwana mwenyewe atashuka<br />

toka mbinguni, na sauti kubwa, na sauti <strong>ya</strong> malaika mukubwa, na pamoja na baragumu <strong>ya</strong><br />

Mungu: Nao waliokufa katika Kristo watafufuliwa kwanza; kisha sisi tulio hai, tuliobaki,<br />

tutan<strong>ya</strong>kuliwa pamoja nao katika mawingu, kukutana na Bwana katika hewa, na hivi tutakuwa<br />

pamoja na Bwana milele. Na anaongeza: “Basi mufarijiane kwa maneno ha<strong>ya</strong>.” 1 Tesalonika<br />

222

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!