12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Shetani basi, ili aweze kushinda Mungu alikata shauri <strong>ya</strong> kusimamisha mwenge wake<br />

ndani <strong>ya</strong> kanisa la Kristo, ili apate ujanja kile alichoshindwa kupata kwa nguvu. Mateso<br />

<strong>ya</strong>kakoma. Kwa mahali pake kukawekwa mvuto wa mafanyikio <strong>ya</strong> kidunia heshima za muda.<br />

Waabudu sanamu wakaongozwa kupokea sehemu <strong>ya</strong> imani <strong>ya</strong> kikristo, wakikataa mambo <strong>ya</strong><br />

ukweli <strong>ya</strong>liyo <strong>ya</strong> maana . Wakatangaza kumkubali Yesu kama Mwana wa Mungu na kuamini<br />

kufa na kufufuka kwake, lakini bila kukubali hali <strong>ya</strong>o <strong>ya</strong> zambi, na hawakusikia lazima <strong>ya</strong><br />

kuungama au badiliko la moyo waweze kuungana katika mafikara <strong>ya</strong> imani katika Kristo.<br />

Sasa kanisa lilikuwa katika hofu <strong>ya</strong> maangamizo. Kifungo, mateso, moto, na upanga<br />

vilikuwa ni mibaraka kwa kulinganisha pamoja na jambo hili. Baadhi <strong>ya</strong> Wakristo<br />

walisimama imara, kutangaza kwamba haikupasa kufan<strong>ya</strong> mapatano. Wengine walikubali<br />

kugeuza imani <strong>ya</strong>o. Chini <strong>ya</strong> vazi <strong>ya</strong> kondoo <strong>ya</strong> ukristo unaodaiwa, Shetani alikuwa akijificha<br />

yeye mwenyewe ndani <strong>ya</strong> kanisa, kwa kuchafua au kuharibu imani <strong>ya</strong>o.<br />

Wakristo wengi mwishowe walikubali kushusha kanuni <strong>ya</strong> imani <strong>ya</strong>o. Na umoja<br />

ukafanyika kati <strong>ya</strong> ukristo na upagani. Ingawa waabudu sanamu walijifan<strong>ya</strong> kuwa washiriki<br />

wa makanisa walizidi kujiunga kwa ibada <strong>ya</strong> sanamu zao, ila tu wakageuza vyombo v<strong>ya</strong> ibada<br />

<strong>ya</strong>o kwa sanamu za Yesu, na hata za Maria na watakatifu. Mafundisho maba<strong>ya</strong>, kawaida za<br />

kuabudu mambo <strong>ya</strong> uchawi, na sherehe za ibada <strong>ya</strong> sanamu zikaunganishwa katika imani <strong>ya</strong><br />

kanisa na ibada. Dini <strong>ya</strong> Kikristo ikaharibika, na kanisa likapoteza utakatifu (usafi) na uwezo<br />

wake. Wengine lakini, hawakudanganyika. Waliendelea kushika uaminifu wao kwa Muumba<br />

wa ukweli.<br />

Makundi Mawili ndani <strong>ya</strong> Kanisa<br />

Kulikuwa makundi mawili miongoni mwa wale waliojidai kuwa wafuasi wa Kristo.<br />

Wakati kundi moja lilijifunza maisha <strong>ya</strong> Mwokozi na kwa uangalifu wakatafuta kuhakikisha<br />

makosa <strong>ya</strong>o na kufuata Mfano, kundi lingine likaepuka mambo <strong>ya</strong> kweli wazi wazi<br />

<strong>ya</strong>liyofunua makosa <strong>ya</strong>o. Hata katika hali <strong>ya</strong>ke bora, washiriki wa kanisa wote hawakuwa wa<br />

kweli, safi, na amini. Yuda aliunganishwa na wanafunzi, ili kwa njia <strong>ya</strong> mafundisho na mifano<br />

<strong>ya</strong> Yesu angeweza kugeuka kwa kuona makosa <strong>ya</strong>ke. Lakini kwa upendeleo katika zambi<br />

akaalika majaribu <strong>ya</strong> Shetani. Akakasirika wakati makosa <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong>lihakikishwa na ndipo<br />

akaongozwa kusaliti Bwana wake. Tazama Marko 14:10,11.<br />

Anania na Safira wakajidai kutoa kafara kamili kwa Mungu wakati walizuia kwa tamaa<br />

sehemu kwa ajili <strong>ya</strong>o wenyewe. Roho wa ukweli akafunua kwa mitume tabia <strong>ya</strong> kweli <strong>ya</strong><br />

wajanja hawa, na hukumu za Mungu zikaokoa kanisa kwa laumu mba<strong>ya</strong> kwa usafi wake.<br />

Tazama Matendo 5:1-11. Mateso <strong>ya</strong>lipokuja juu <strong>ya</strong> wafuasi wa Kristo, wale tu waliotaka<br />

kuacha vyote kwa ajili <strong>ya</strong> ukweli walitamani kuwa wanafunzi wake. Lakini kwa vile mateso<br />

<strong>ya</strong>lipokoma, waongofu waliongezeka wasiokuwa wa kweli, na njia ikafunguliwa kwa ajili <strong>ya</strong><br />

Shetani kupata pa kuwekea mguu.<br />

13

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!