12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Ni ajabu <strong>ya</strong> namna gani tofauti kati <strong>ya</strong> askofu mwenye kiburi na upole na utulivu wa Kristo<br />

anayejionyesha mwenyewe kama mwenye kuomba ruhusa kwa mlango wa moyo.<br />

Alifundisha wanafunzi wake: “Naye anayetaka kuwa wa kwanza katikati yenu atakuwa<br />

mtumwa wenu” Matayo 20:27.<br />

Namna Mafundisho <strong>ya</strong> Uongo Yaliingia<br />

Hata mbele <strong>ya</strong> kuanzishwa kwa cheo cha Papa mafundisho <strong>ya</strong> watu wapagani wenye<br />

maarifa wakapata usikizi na kutumia muvuto wao katika kanisa. Wengi waliendelea<br />

kujifungia kwa mafundisho <strong>ya</strong> maarifa zote <strong>ya</strong> kipagani na wakalazimisha wengine kujifunza<br />

elimu ile kama njia <strong>ya</strong> kueneza mvuto wao katikati <strong>ya</strong> wapagani. Ndipo makosa makubwa<br />

<strong>ya</strong>kaingizwa katika imani <strong>ya</strong> Kikristo.<br />

Mojawapo miongoni mwa makosa ha<strong>ya</strong> makubwa <strong>ya</strong> wazi ni imani <strong>ya</strong> kutokufa kwa roho<br />

<strong>ya</strong> mtu na ufahamu wa nafsi katika mauti. Mafundisho ha<strong>ya</strong> <strong>ya</strong>liweka msingi ambao Roma<br />

ikaanzisha sala kwa watakatifu na ibada <strong>ya</strong> Bikira Maria. Kutokana na hiyo, uzushi juu <strong>ya</strong><br />

mateso <strong>ya</strong> milele kwa ajili <strong>ya</strong> mtu asiyetubu, ambayo <strong>ya</strong>liingizwa mwanzoni katika imani <strong>ya</strong><br />

Papa.<br />

Ndipo njia ikatengenezwa kwa kuingiza uvumbuzi mwingine wa kipagani, ambao Roma<br />

iliita “toharani”, na iliotumiwa kwa kuogopesha makundi <strong>ya</strong> wajinga na <strong>ya</strong> kuamini mambo<br />

<strong>ya</strong> uchawi. Usishi huu uliamini kuwako kwa pahali pa mateso ambapo roho zisizostahili<br />

hukumu <strong>ya</strong> milele, zinapaswa kuteseka juu <strong>ya</strong> malipizi <strong>ya</strong> zambi zao, na kutoka pale, zikiisha<br />

takaswa, zinakubaliwa mbinguni (Tazama Nyongezo).<br />

Uvumbuzi mwingine ukahitajiwa, kuwezesha Roma kupata faida kwa njia <strong>ya</strong> woga na<br />

makosa <strong>ya</strong> wafuasi wake. Huu ulitolewa na mafundishojuu <strong>ya</strong> ununuzi wa huruma<br />

(indulgences). Ondoleo nzima la zambi za sasa, zilizopita na za wakati ujao liliahidiwa kwa<br />

wale waliojitoa kwa vita vilivyofanywa na Papa kwa ajili <strong>ya</strong> kupanua mamlaka <strong>ya</strong>ke, kwa<br />

kulipiza adui zake ao kuangamiza wale waliosubutu kukataa mamlaka <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> kiroho. Kwa<br />

njia <strong>ya</strong> kulipa mali katika kanisa wanaweza kujiokoa katika zambi zao, na pia kuokoa roho za<br />

rafiki zao zinazoteseka katika miako <strong>ya</strong> moto. Kwa njia hiyo Roma ikajaza masanduku<br />

makubwa <strong>ya</strong>ke na kusaidia fahari <strong>ya</strong>ke, anasa na uovu wa kujidai kuwa wajumbe wa Yule<br />

asiyekuwa na pahali pa kuweka kichwa chake (Tazama Nyongezo).<br />

Meza <strong>ya</strong> Bwana likapigwa na kafara <strong>ya</strong> ibada <strong>ya</strong> sanamu <strong>ya</strong> misa. Mapadri wa Papa<br />

wakajidai kufan<strong>ya</strong> mkate na divai v<strong>ya</strong> Meza <strong>ya</strong> Bwana kuwa mwili wa kweli na damu <strong>ya</strong><br />

kweli <strong>ya</strong> Bwana Yesu Kristo”. Kwa majivuno <strong>ya</strong> kutukana Mungu, kwa wazi wakadai uwezo<br />

wa kuumba Mungu, Muumba wa vitu vyote. Wakristo wakalazimishwa maumivu <strong>ya</strong> kifo,<br />

kuungama imani <strong>ya</strong>o katika uzushi wa machukizo <strong>ya</strong> kutukana mbingu.<br />

Katika karne <strong>ya</strong> kumi na tatu kile chombo kikali sana kati <strong>ya</strong> vyombo v<strong>ya</strong> Papa<br />

kikaanzishwa-Baraza kuu la kuhukumia wazushi wa dini (Inquisition). Katika mabaraza <strong>ya</strong>o<br />

<strong>ya</strong> siri Shetani na malaika zake walitawala roho za watu waovu. Bila kuonekana katikati<br />

20

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!