12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Lakini wale wanaokuwa na mashaka na kutotumaini hakikisho (assurance) la neema <strong>ya</strong>ke<br />

wanapatisha ha<strong>ya</strong> Kristo. Wanakuwa miti isiyozaa inayozuia nuru <strong>ya</strong> jua kwa mimea mingine,<br />

kuiletea kufifia na kufa chini <strong>ya</strong> baridi <strong>ya</strong> kivuli. Kazi <strong>ya</strong> maisha <strong>ya</strong> watu hawa itatokea kama<br />

ushuhuda usiokoma juu <strong>ya</strong>o.<br />

Kunakuwa lakini sababu moja tu <strong>ya</strong> kufuata kwa wale ambao kwa uaminifu wanatamani<br />

kuwa huru kwa kutokuwa na mashaka. Badala <strong>ya</strong> kuuliza <strong>ya</strong>le wasiyofahamu, waachwe watoe<br />

ukubali kwa nuru ambayo imekwisha kuangaza juu <strong>ya</strong>o, na watapata nuru kubwa zaidi.<br />

Shetani anaweza kuonyesha mfano karibu sana kufanana na kweli ule unaodangan<strong>ya</strong> wale<br />

wanaotaka kudanganyiwa, wanaotamani kuepuka kafara iliyohitajiwa katika kweli. Lakini ni<br />

kitu kisichowezekana kwake kushika chini <strong>ya</strong> uwezo wake nafsi moja inayotaka kwa<br />

uaminifu, kwa bei yo yote, kujua ukweli. Kristo ndiye kweli, “Nuru <strong>ya</strong> kweli inayotia nuru<br />

kila mtu anayekuja katika ulimwengu.” “Kila mtu akipenda kufan<strong>ya</strong> mapenzi <strong>ya</strong>ke, atajua<br />

habari za <strong>ya</strong>le mafundisho.” Yoane 1:9; 7:17.<br />

Bwana anaruhusu watu wake kupata kwa majaribu makali <strong>ya</strong> kutesa, si kwa sababu<br />

anapendezwa wala kufurahishwa katika taabu <strong>ya</strong>o, bali kwa sababu jambo hili ni la lazima<br />

kwa ushindi wao wa mwisho. Hakuweza, kwa uthabiti kwa utukufu wake mwenyewe,<br />

kuwalinda kutoka kwa jaribu, kwa sababu kusudi la jaribu ni kuwata<strong>ya</strong>risha kupinga mivuto<br />

yote <strong>ya</strong> uovu. Hata waovu wala mashetani hawawezi kufunga kuwako kwa Mungu kwa watu<br />

wake kama wataungama na kuacha zambi zao na kudai ahadi zake. Kila jaribu, la wazi wala<br />

la siri, linaweza kupingwa kwa kufanikiwa. “Si kwa uwezo, wala si kwa nguvu, lakini kwa<br />

Roho <strong>ya</strong>ngu, Bwana wa majeshi anasema.” Zekaria 4:6.<br />

“Naye ni nani atakayewaumiza ninyi, kama ninyi mkiwa wenye bidii katika maneno <strong>ya</strong>le<br />

<strong>ya</strong>liyo mema?” 1 Petro 3:13. Shetani anafahamu vizuri kwamba roho inayokuwa zaifu zaidi<br />

inayokaa ndani <strong>ya</strong> Kristo inakuwa na nguvu zaidi kuliko mshindani kwa majeshi <strong>ya</strong> giza. Kwa<br />

sababu hiyo anatafuta kufukuzia mbali waaskari wa msalaba kutoka kwa boma lao lenye<br />

nguvu, huku anapolala akijificha, ta<strong>ya</strong>ri kuangamiza wote wanaosubutu kwa udongo wake.<br />

Ila tu katika kutegemea Mungu na utii kwa amri zake tunaweza kulindwa.<br />

Hakuna mtu anayekuwa salama kwa siku moja ao saa moja pasipo kuomba. Omba Bwana<br />

kwa ajili <strong>ya</strong> hekima kwa kufahamu Neno lake. Shetani ni mbingwa katika kutumia Maandiko,<br />

kuweka mafasirio <strong>ya</strong>ke mwenyewe kwa mafungu ambayo anatumaini kutuletea kikwazo.<br />

Inatupasa kujifunza kwa unyenyekevu wa moyo. Huku tunapopashwa mara kwa mara<br />

kujilinda juu <strong>ya</strong> mashauri <strong>ya</strong> Shetani, inatupasa kuomba kwa imani siku zote; “Na usitulete<br />

katika majaribu.” Matayo 6:13.<br />

216

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!