12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Shetani anashauriana pamoja na watu kuwa wakubwa. Wanatangaza <strong>ya</strong> kwamba jeshi<br />

ndani <strong>ya</strong> mji ni ndogo kwa kulinganisha na la kwao na linaweza kushindwa. Wafundi wa ujuzi<br />

wanafan<strong>ya</strong> vyombo v<strong>ya</strong> vita. Waongozi wa askari wanapanga watu wa vita katika makundi<br />

na sehemu.<br />

Mwishoni agizo la kuendelea mbele linatolewa, na jeshi lisilohesabika likaendelea, jeshi<br />

ambalo nguvu zenye kuunganika za vizazi vyote hazikuweza kamwe kuwa sawa. Shetani<br />

anakuwa mbele, wafalme na waaskari nao wanafuata. Kwa utaratibu wa kiaskari makundi<br />

katika mistari <strong>ya</strong>kaendelea mbele <strong>ya</strong> uso wa dunia iliyovunjika hata kwa Mji wa Mungu. Kwa<br />

agizo la Yesu, milango <strong>ya</strong> Yerusalema Mp<strong>ya</strong> ikafungwa, na majeshi <strong>ya</strong> Shetani<br />

<strong>ya</strong>najita<strong>ya</strong>risha kwa kushambulia.<br />

Sasa Kristo anatokea kutazama adui zake. Mbali juu <strong>ya</strong> mji, juu <strong>ya</strong> msingi wa zahabu<br />

yenye kungaa, ni kiti cha enzi. Juu <strong>ya</strong> kiti hiki cha enzi Mwana wa Mungu anakaa, na pembeni<br />

<strong>ya</strong>ke ni raia <strong>ya</strong> ufalme wake. Utukufu wa Baba wa Milele unamuzunguka Mwana wake.<br />

Kungaa kwa kuwako kwake kunatoka juu <strong>ya</strong> milango, kujaza dunia na mwangaza.<br />

Karibu sana na kiti cha enzi kunakuwa wale waliokuwa zamani na bidii katika kazi <strong>ya</strong><br />

Shetani, lakini walipo ondoshwa kama vinga kutoka motoni, wakafuata Mwokozi wao kwa<br />

bidii sana. Wanaofuata ni wale waliokamilisha tabia katikati <strong>ya</strong> uwongo na uasi,<br />

walioheshimu sheria <strong>ya</strong> Mungu wakati walimwengu walipoitangaza kuwa iliondolewa, na<br />

mamilioni, wa vizazi vyote, waliouawa kama wafia dini kwa ajili <strong>ya</strong> imani <strong>ya</strong>o. Mbali zaidi<br />

kunakuwa “makutano makubwa sana <strong>ya</strong>siyoweza mtu ku<strong>ya</strong>hesabu, watu wa kila taifa, na<br />

kabila, na jamaa, na lugha, ... wamevikwa mavazi myeupe, na matawi <strong>ya</strong> mitende katika<br />

mikono <strong>ya</strong>o”. Ufunuo 7:9 . Vita <strong>ya</strong>o imemalizika, ushindi wao umepatikana. Tawi la ngazi<br />

linafananisha shangwe, nguo yeupe ni alama <strong>ya</strong> haki <strong>ya</strong> Kristo ambayo saa imekuwa <strong>ya</strong>o.<br />

Katika msongano wote ule pale hakuna watu wa kuhesabia wokovu kwao wenyewe kwa<br />

wema wao wenyewe. Hakuna kitu kinachosemwa cha kile walichoteseka nacho; sauti <strong>ya</strong><br />

msingi <strong>ya</strong> kila wimbo wa sifa ni, Wokovu kwa Mungu wetu na kwa Mwana-Kondoo.<br />

Hukumu Inatangazwa Juu <strong>ya</strong> Waasi<br />

Mbele <strong>ya</strong> wakaaji waliokusanyika wa dunia na wa mbinguni kwa mkutano na kuviikwa<br />

taji kwa Mwana wa Mungu. Na sasa, kuvikwa mamlaka makubwa na uwezo, Mfalme wa<br />

wafalme anatangaza hukumu juu <strong>ya</strong> waasi waliovunja sheria <strong>ya</strong>ke na kutesa watu wake.<br />

“Nikaona kiti cha enzi, kikubwa, cheupe, naye anayeketi juu <strong>ya</strong>ke, dunia na mbingu<br />

zikakimbia uso wake; na pahali pao hapakuonekana. Nikaona wafu, wakubwa na wadogo,<br />

wamesimama mbele <strong>ya</strong> Mungu, na vitabu vikafunuliwa; na kitabu kingine kikafunguliwa,<br />

kilicho cha uzima; na wafu wakahukumiwa katika mambo ha<strong>ya</strong> <strong>ya</strong>liyoandikwa katika vile<br />

vitabu, sawasawa na matendo <strong>ya</strong>o”. Ufunuo 20:11, 12.<br />

Wakati jicho la Yesu linapoangalia juu <strong>ya</strong> waovu, wanakuwa na ufahamu wa kila zambi<br />

waliyoitenda. Wanaona pahali miguu <strong>ya</strong>o ilipoacha njia <strong>ya</strong> utakatifu. Majaribu <strong>ya</strong> kuvuta<br />

272

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!