12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

walioinama mbele <strong>ya</strong>ke kwa kutoa heshima <strong>ya</strong> kumzihaki, waliomtemea mate Mfalme wa<br />

uzima. Wanatafuta kukimbia mbele <strong>ya</strong> uso wake. Wale waliopigilia misumari kwa mikono<br />

<strong>ya</strong>ke na miguu wanatazama alama hizi kwa hofu na majuto.<br />

Kwa hofu <strong>ya</strong> wazi wazi makuhani na watawala wanakumbuka matukio <strong>ya</strong> Kalvari, namna<br />

gani, walipotikisa vichwa v<strong>ya</strong>o katika shangwe <strong>ya</strong> uovu wa Shetani, wakapaaza sauti,<br />

“Aliokoa wengine; hawezi kujiokoa yeye mwenyewe”. Matayo 27:42. Kwa sauti kubwa<br />

kuliko kelele, “Asulibiwe, asulibiwe”! ambayo ikavuma katika Yerusalema, inaongeza<br />

maombolezo <strong>ya</strong> kukata tamaa, ‘’Yeye ni Mwana wa Mungu”! Wanatafuta kukimbia mbele<br />

<strong>ya</strong> uso wa Mfalme wa wafalme.<br />

Katika maisha <strong>ya</strong> wote wanaokataa kweli kunakuwa na n<strong>ya</strong>kati ambapo zamiri inaamka,<br />

wakati nafsi inaposumbuliwa na masikitiko <strong>ya</strong> bure. Lakini mambo ha<strong>ya</strong> ni nini kulinganisha<br />

na majuto <strong>ya</strong> siku ile! Katikati <strong>ya</strong> hofu kuu <strong>ya</strong>o wanasikia watakatifu kupaaza sauti: “Tazama,<br />

huyu ndiye Mungu wetu, Tuliyemungoja, naye atatuokoa”. Isa<strong>ya</strong> 25:9.<br />

Sauti <strong>ya</strong> Mwana wa Mungu inaita kwa kuamsha watakatifu wanaolala. Po pote duniani<br />

wafu watasikia sauti ile, na wale wanaoisikia wataishi, jeshi kubwa la kila taifa, na kabila na<br />

lugha na jamaa. Kutoka kwa nyumba <strong>ya</strong> gereza <strong>ya</strong> wafu wanakuja, wanapovikwa utukufu wa<br />

milele, kupaaza sauti: “Ee mauti, kushinda kwako ni wapi? Ee mauti, uchungu wako ni wapi”?<br />

1 Wakorinto 15:55.<br />

Wote wanaamka kutoka makaburini wakiwa kwa hali ileile waliyopoingia nayo kaburini.<br />

Lakini wote wanafufuka pamoja na up<strong>ya</strong> na nguvu za ujana wa milele. Kristo alikuja<br />

kurudisha na kupon<strong>ya</strong> kile kilichopotea. Atabadilisha miili yetu <strong>ya</strong> unyonge na kuzifan<strong>ya</strong><br />

kama wake mwili mtukufu. Mwili wa mauti na wa kuharibika, mara moja unaoharibika na<br />

zambi, unakuwa sasa kamilifu, mzuri na wa kuishi milele. Madoo na ulema vimebaki ndani<br />

<strong>ya</strong> kaburi. Waliokombolewa “watakua” (Malaki 4:2) kwa kimo kamili cha uzao katika<br />

utukufu wake wa kizazi cha kwanza, alama za mwisho za laana za zambi zimeondolewa.<br />

Waaminifu wa Kristo wataonyesha mfano kamili wa Bwana wao katika roho na nafsi na<br />

mwili.<br />

Wenye haki walio hai wamebadilika “kwa dakika moja, kwa kufunga na kufungua kwa<br />

jicho”. Kwa sauti <strong>ya</strong> Mungu wamefanywa watu wa maisha <strong>ya</strong> milele na pamoja na watakatifu<br />

waliofufuka watachukuliwa juu kumlaki Bwana wao katika mawingu. Malaika “watakusan<strong>ya</strong><br />

wachaguliwa wake toka pepo ine, toka mwisho huu wa mbingu mpaka mwisho mwingine”.<br />

Matayo 24:31. Watoto wadogo wamechukuliwa kwa mikono <strong>ya</strong> mama zao. Rafiki<br />

walioachana wakati mrefu kwa ajili <strong>ya</strong> mauti wameunganika, hakuna kuachana tena kamwe,<br />

na pamoja na nyimbo za furaha wanapanda pamoja kwa mji wa Mungu.<br />

Katika Mji Mtakatifu<br />

Po pote kwa jeshi lisilohesabika la waliokombolewa kila jicho limekazwa kwa Yesu. Kila<br />

jicho linatazama utukufu wake ambaye “uso wake ulikuwa umeharibiwa sana zaidi <strong>ya</strong> mtu ye<br />

262

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!