12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

mioyo <strong>ya</strong> watoto kwa wazazi wao. Malaki 4:5, 6. Vizuizi v<strong>ya</strong> kiburi na matengano<br />

vikatupiliwa mbali. Maungamo <strong>ya</strong> kweli <strong>ya</strong>kafanywa. Mahali po pote roho zilikuwa<br />

zikiomboleza mbele <strong>ya</strong> Mungu. Wengi walitumia usiku wote mzima katika maombi kwa ajili<br />

<strong>ya</strong> hakika kwamba zambi zao zilisamehewa, ao kugeuka kwa jamaa zao wala jirani.<br />

Makundi yote, watajiri na maskini, watu wa juu wala wa chini, wakawa na hamu <strong>ya</strong><br />

kusikia mafundisho <strong>ya</strong> kuja kwa maraa <strong>ya</strong> pili. Roho <strong>ya</strong> Mungu ikatoa uwezo kwa ukweli<br />

wake. Kuwako kwa Malaika watakatifu kulisikiwa katika makutano ha<strong>ya</strong>, na wengi walikuwa<br />

wakiongezeka kila siku kwa waaminifu. Makutano makubwa wakasikiliza kwa utulivu kwa<br />

maneno <strong>ya</strong> heshima. Mbingu na dunia vilionekana kukaribiana. Watu wakarudi nyumbani na<br />

sifa kwa midomo <strong>ya</strong>o, na sauti <strong>ya</strong> furaha ikavuma kwa utulivu wa usiku. Hakuna aliyehuzuria<br />

mikutano hiyo angaliweza kamwe kusahau maono <strong>ya</strong> usikizi mwingi.<br />

Habari llipingwa<br />

Tangazo la wakati kamili wa kuja kwa Kristo kukaleta mabishano sana kwa wengi wa<br />

makundi yote, tokea kwa wachungaji katika mimbara hata kwa mkubwa miongoni mwa<br />

wenye zambi. Wengi walitangaza kwamba hawakuwa na kizuizi kwa mafundisho <strong>ya</strong> kurudi<br />

kwa Yesu; walikataa tu wakati kamili. Lakini jicho la Mungu linaloona vyote likasoma mioyo<br />

<strong>ya</strong>o. Hawakutamani kusikia habari <strong>ya</strong> kuja kwa Kristo ili aihukumu dunia kwa haki. Matendo<br />

<strong>ya</strong>o ha<strong>ya</strong>ngevumilia uchunguzi wa moyo unaomtafuta Mungu, na waliogopa kukutana na<br />

Bwana wao. Kama Ma<strong>ya</strong>hudi kwa wakati wa kuja kwa Kristo kwa mara <strong>ya</strong> kwanza<br />

hawakujita<strong>ya</strong>risha kumpokea Yesu. Hawakukataa tu kusikiliza mabishano <strong>ya</strong> wazi kutoka<br />

kwa Biblia lakini wakachekelea wale waliokuwa wakitazamia Bwana. Shetani akatupa laumu<br />

kwa uso wa Kristo kwamba wanaojidai kuwa watu wake walikuwa na upendo mdogo sana<br />

kwake hata hawakutaka kuonekana kwake.<br />

“Hakuna mtu anayejua habari za siku ile na saa ile,” ilikuwa ubishi mara kwa mara<br />

ulioendelea kuletwa na waliokataa imani <strong>ya</strong> kurudi kwa Yesu. Andiko ni: ‘’Habari za siku ile<br />

na saa ile hakuna mtu anayejua, hata malaika walio mbinguni, ... ila Baba peke <strong>ya</strong>ke.” Matayo<br />

24:36. Maelezo wazi <strong>ya</strong> maneno ha<strong>ya</strong> <strong>ya</strong>litolewa na wale waliokuwa wakitazamia Bwana, na<br />

matumizi maba<strong>ya</strong> <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> wapinzani wao <strong>ya</strong>lionyeshwa kwa wazi.<br />

Usemi moja la Mwokozi haupashwi kutumiwa kwa kuharibu lingine. Ingawa hakuna mtu<br />

anayejua siku wala saa <strong>ya</strong> kuja kwake, tunaagizwa kujua wakati unakuwa karibu. Kukataa<br />

wala kutojali kujua wakati wa kuja kwake kunapokuwa karibu kutakuwa kwetu kama hatari<br />

kwetu kama ilivyokuwa katika siku za Noa bila kujua wakati gani garika ilipashwa kuja.<br />

Kristo anasema, “Lakini, usipoangalia, nitakuja kwako kama mwizi, wala hutajua saa<br />

nitakapokuja kwako.” Ufunuo 3:3.<br />

Paulo anasema kwa habari za wale waliojali onyo la Mwokozi: “Lakini ninyi ndugu, si<br />

katika giza, hata siku ile iwapate ninyi kama mwizi: sababu ninyi wote ni wana wa nuru, na<br />

wana wa mchana.” 1 Watesalonika 5:2-5.<br />

150

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!