12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Miaka mitatu baada <strong>ya</strong> Miller kufikia kwa maelezo <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> mambo <strong>ya</strong> unabii. Dr. Joseph<br />

Wolff, “Mjumbe kwa ulimwengu,” akaanza kutangaza kukaribia kwa kuja kwa Bwana.<br />

Alizaliwa katika Ujeremani, wazazi wake Wa<strong>ya</strong>hudi. Alikuwa Kijana sana wakati ule,<br />

akasadikishwa kwa habari <strong>ya</strong> kweli <strong>ya</strong> dini <strong>ya</strong> kikristo. Alikuwa msikizi mwenye bidii sana<br />

kwa mazungumzo katika nyumba <strong>ya</strong> baba <strong>ya</strong>ke mahali Wa<strong>ya</strong>hudi waaminifu walikuwa<br />

wakikusanyika kila siku kwa kuzungumzia matumaini <strong>ya</strong> watu wao, utukufu wa kuja kwa<br />

Masi<strong>ya</strong>, na kuimarishwa tena kwa Israeli. Siku moja, kusikia Yesu wa Nazareti kutajwa,<br />

kijana akauliza kujua alikuwa nani. “Mu<strong>ya</strong>hudi wa talanta kubwa mno” wakajibu” Lakini<br />

alipojidai kuwa Masi<strong>ya</strong>, baraza la hukumu la Wa<strong>ya</strong>hudi likamkatia hukumu <strong>ya</strong> kifo.”<br />

“Sababu gani,” akafuatisha mwenye kuuliza, “je, Yerusalema iliharibiwa, na sababu gani<br />

tunakuwa katika utumwa?”<br />

“Ole, ole,” akajibu baba <strong>ya</strong>ke, “kwa sababu Wa<strong>ya</strong>hudi waliua manabii.” Mara moja wazo<br />

likaja moyoni mwa mtoto: “Pengine Yesu pia alikuwa vilevile nabii, na Wa<strong>ya</strong>hudi wakamuua<br />

wakati alikuwa bila kosa.” Ingawa alikatazwa kuingia katika kanisa la Kikristo, akakawia<br />

mara kwa mara inje kusikiliza mahubiri. Alipokuwa na miaka saba tu <strong>ya</strong> kuzaliwa, alikuwa<br />

akijisifu kwa jirani wake mkristo juu <strong>ya</strong> kushinda kwa Israel wakati ujao wa kuja kwa Masi<strong>ya</strong>.<br />

Mzee akasema kwa upole: “Kijana mpenzi, nitakwambia nani aliyekuwa Masi<strong>ya</strong> wa kweli:<br />

alikuwa Yesu wa Nazareti,... ambaye wababu wako walimsulubisha... Wende nyumbani na<br />

usome sura <strong>ya</strong> makumi tano na tatu <strong>ya</strong> Isa<strong>ya</strong>, na utasadikishwa kwamba Kristo ni Mwana wa<br />

Mungu.”<br />

Akaenda nyumbani na akasoma Maandiko. Kwa ukamilifu wa namna gani ilitimilika kwa<br />

Yesu wa Nazareti. Je, maneno <strong>ya</strong> mkristo yule ni <strong>ya</strong> haki? Kijana akauliza baba <strong>ya</strong>ke maelezo<br />

<strong>ya</strong> unabii lakini akakutana na ukim<strong>ya</strong> bila huruma na hakusubutu tena kamwe kusema<br />

inayoelekea fundisho lile pamoja naye.<br />

Wakati alipokuwa na miaka kumi na moja tu <strong>ya</strong> kuzaliwa, akaenda duniani kupata elimu,<br />

kuchagua dini <strong>ya</strong>ke na kazi <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> maisha. Peke <strong>ya</strong>ke na bila senti hata moja, alipashwa<br />

kutafuta njia yeye mwenyewe. Akajifunza kwa bidii, na kujisaidia mwenyewe kwa mahitaji<br />

<strong>ya</strong>ke kwa kufundisha Kiebrania. Akaongozwa kukubali imani <strong>ya</strong> dini <strong>ya</strong> Roma na akaenda<br />

kufuata mafundisho <strong>ya</strong>ke katika College <strong>ya</strong> “Propagande de la Foi” (kutangaza imani). Hapo<br />

akashambulia kwa wazi matumizi maba<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> kanisa na akalazimisha matengenezo. Baada <strong>ya</strong><br />

mda, akatoshwa. Ikawa wazi kwamba hakuweza kamwe kuletwa kwa kutii utumwa wa dini<br />

<strong>ya</strong> Roma. Akatangazwa kuwa mtu asiyeweza kusahihshwa na kuachwa kwenda mahali<br />

palipompendeza. Akaenda Uingereza na akajiunga na kanisa la Uingereza. Baada <strong>ya</strong> miaka<br />

miwili <strong>ya</strong> majifunzo akaanza kazi <strong>ya</strong>ke mwaka 1821.<br />

Wolff aliona kwamba mambo <strong>ya</strong> unabii hutangaza kuja kwa Kristo mara <strong>ya</strong> pili kwa nguvu<br />

na utukufu. Alipotafuta kuongoza watu wake kwa Yesu wa Nazareti kama Ni yule<br />

aliyeahidiwa, kuwaonyesha kuja kwake kwa mara <strong>ya</strong> kwanza kama kafara kwa ajili <strong>ya</strong> zambi,<br />

akawafundisha pia juu <strong>ya</strong> kuja kwake kwa mara <strong>ya</strong> pili.<br />

145

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!