12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Sababu <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> Kweli<br />

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Sura 15. Mapinduzi <strong>ya</strong> Ufaransa<br />

Mataifa mengine <strong>ya</strong>likaribisha Matengenezo kuwa ujumbe wa mbinguni. Katika inchi<br />

zingine nuru <strong>ya</strong> maarifa <strong>ya</strong> Biblia ilikuwa karibu kufungwa kabisa. Katika inchi ingine kweli<br />

na uongo vikashindani<strong>ya</strong> uwezo kwa karne nyingi. Mwishowe ukweli wa mbinguni<br />

ukasongwa. Kiasi cha Roho <strong>ya</strong> Mungu kikaondolewa kwa watu wale waliozarau zawadi <strong>ya</strong><br />

neema <strong>ya</strong>ke. Na ulimwengu wote ukaona matunda <strong>ya</strong> kukataa nuru kwa makusudi.<br />

Vita <strong>ya</strong> kupinga Biblia katika Ufransa ikatimilika wakati wa mapinduzi, ambayo ni<br />

matokeo halali kwa Roma kutosoma Maandiko. (Tazama Nyongezo.) Ni onyesho la ajabu<br />

sana lililoshuhudia mwisho wa mafundisho <strong>ya</strong> kanisa la Roma. Ufunuo ulitangaza matokeo<br />

<strong>ya</strong> kutisha <strong>ya</strong>liyopaswa kuongezeka zaidi kwa Ufransa kutoka kwa utawala wa “mtu wa<br />

zambi”:<br />

“Na kiwanja kilicho inje <strong>ya</strong> hekalu la Mungu, uache inje, wala usipime kwa maana<br />

imetolewa kwa mataifa, nao watakan<strong>ya</strong>ga mji mutakatifu miezi makumi ine na miwili. Nami<br />

nitawapa washuhuda wangu wawili nguvu, nao watatoa unabii siku elfu moja mia mbili<br />

makumi sita, wamevikwa mavazi <strong>ya</strong> gunia. ... Hata watakapomaliza ushuhuda wao, yule<br />

n<strong>ya</strong>ma anayetoka katika shimo pasipo mwisho atafan<strong>ya</strong> vita nao; naye atawashinda na<br />

kuwaua. Na maiti <strong>ya</strong>o <strong>ya</strong>talala katika njia <strong>ya</strong> mji ule mkubwa, unaoitwa kwa kiroho Sodomo<br />

na Misri, ambapo tena Bwana wetu aliposulubiwa. ... Na wale wanaokaa juu <strong>ya</strong> dunia<br />

watafurahi juu <strong>ya</strong>o na kuchekelea, watapelekeana zawadi wao kwa wao, kwa sababu manabii<br />

hawa wawili waliwatesa wao wanaokaa juu <strong>ya</strong> dunia. Na kiisha siku tatu na nusu, Roho <strong>ya</strong><br />

uhai inayotoka kwa Mungu ikaingia ndani <strong>ya</strong>o, wakasimama kwa miguu <strong>ya</strong>o; na woga<br />

mkubwa ukawaangukia watu wote waliowaona.” Ufunuo 11:2-11.<br />

“Miezi makumi ine na miwili” na siku elfu moja mia mbili na makumi sita” ni sawa sawa,<br />

wakati ambao kanisa la Kristo lilipaswa kuteswa na magandamizo <strong>ya</strong> Roma. Miaka 1260<br />

ilianza katika mwaka 538 A.D. na ikamalizika kwa mwaka 1798 AD. (Tazama Nyongezo.)<br />

Kwa wakati ule majeshi <strong>ya</strong> Ufaransa likamfan<strong>ya</strong> Papa kuwa mfungwa, na akafa mbali na<br />

kwao. Mamlaka <strong>ya</strong> Papa ikakosa uwezo wa kuimarisha utawala wake wa zamani.<br />

Mateso ha<strong>ya</strong>kudumu hata mwisho katika miaka 1260 yote. Katika huruma zake kwa watu<br />

wake, Mungu akafupisha mda wa taabu <strong>ya</strong>o kali kwa mvuto wa Matengenezo. “Washahidi<br />

wawili” ni mfano wa Maandiko <strong>ya</strong> Agano la Kale na Agano Jip<strong>ya</strong>, washuhuda wakuu kwa<br />

mwanzo na umilele wa sheria za Mungu, na pia kwa mpango wa wokovu.<br />

“Nao watatoa unabii siku elfu moja mia mbili makumi sita, wamevikwa mavazi <strong>ya</strong> gunia.”<br />

Wakati Biblia ilipokatazwa, ushuhuda wake ukageuzwa viba<strong>ya</strong>; wakati wale walipojaribu<br />

kutangaza ukweli wake wakasalitiwa, kuteswa, kuuawa kama wafia dini kwa ajili <strong>ya</strong> imani<br />

<strong>ya</strong>o ao kulazimishwa kukimbia--ndipo “washuhuda” waaminifu wakatabiri “katika mavazi <strong>ya</strong><br />

105

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!