12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

wote wakumbuke <strong>ya</strong> kwamba siku <strong>ya</strong> saba ilitakaswa na Mungu, na ilikubaliwa na kushikwa,<br />

si kwa Wayuda tu, lakini na kwa wengine wote wanaodai kuabudu Mungu; ingawa sisi<br />

Wakristo tumebadilisha Sabato <strong>ya</strong>o kwa Siku <strong>ya</strong> Bwana.”4 Wale waliokuwa wakiharibu<br />

sheria <strong>ya</strong> Mungu walikuwa wanajua tabia <strong>ya</strong> kazi <strong>ya</strong>o.<br />

Mufano wa kushangaza wa mipango <strong>ya</strong> Roma ulitolewa katika mateso marefu <strong>ya</strong> mauaji<br />

juu <strong>ya</strong> Waldenses (Vaudois), wengine wao walikuwa washika Sabato. (Tazama Nyongezo.)<br />

Historia <strong>ya</strong> makanisa <strong>ya</strong> Ethiopia na Abyssinia ni <strong>ya</strong> maana <strong>ya</strong> kipekee. Katikati <strong>ya</strong> huzuni <strong>ya</strong><br />

Miaka <strong>ya</strong> Giza, Wakristo wa Afrika <strong>ya</strong> Kati walifichama kwa uso wa dunia na wakasahauliwa<br />

na ulimwengu na kwa karne nyingi wakafurahia uhuru katika imani <strong>ya</strong>o. Mwishoni Roma<br />

ikajifunza juu <strong>ya</strong> maisha <strong>ya</strong>o, na mfalme wa Abyssinia akadanganywa hata akakubali Papa<br />

kama mjumbe mkubwa wa Kristo. Amri ikatolewa kukataza kushikwa kwa Sabato chini <strong>ya</strong><br />

malipizi makaii1] Lakini uonevu wa Papa (kanisa la Roma) kwa upesi ukawa nira <strong>ya</strong> kutia<br />

uchungu sana ambayo watu wa Abyssinia wakakusudia kuivunja. Wakuu wa Roma<br />

wakafukuziwa mbali kwa mamlaka <strong>ya</strong>o na imani <strong>ya</strong> zamani ikarudishwa.<br />

Wakati makanisa <strong>ya</strong> Afrika <strong>ya</strong>lipokuwa <strong>ya</strong>kishika Sabato katika utii kwa amri za Mungu,<br />

wakaepuka na kufan<strong>ya</strong> kazi siku <strong>ya</strong> kwanza (dimanche) kwa kufuatana na desturi <strong>ya</strong> kanisa.<br />

Roma ikavunja Sabato <strong>ya</strong> Mungu kwa kujiinua mwenyewe, lakini makanisa <strong>ya</strong> Afrika,<br />

<strong>ya</strong>kajificha karibu miaka elfu moja, ha<strong>ya</strong>kushirikiana kwa uasi huu. Walipoletwa chini <strong>ya</strong><br />

Roma, wakalazimishwa kuweka pembeni kweli na kutukuza sabato <strong>ya</strong> uwongo. Lakini kwa<br />

upesi walipopata tena uhuru wao wakarudia kutii amri <strong>ya</strong> ine. (Tazama Nyongezo).<br />

Mambo ha<strong>ya</strong> <strong>ya</strong>naonyesha wazi uadui wa Roma kwa ajili <strong>ya</strong> Sabato <strong>ya</strong> kweli na<br />

wasimamizi wake. Neno la Mungu linafundisha <strong>ya</strong> kwamba mambo ha<strong>ya</strong> <strong>ya</strong>napashwa<br />

kutendeka tena kwa namna kukaririwa kama vile Wakatoliki na Waprotestanti wanajiunga<br />

kwa kutukuza siku <strong>ya</strong> kwanza (dimanche).<br />

Mn<strong>ya</strong>ma wa Pembe Mbili Mfano wa Mwana-Kondoo<br />

Unabii wa Ufunuo 13 unatangaza <strong>ya</strong> kwamba mn<strong>ya</strong>ma wa pembe mbili mfano wa mwanakondoo<br />

atafan<strong>ya</strong> “dunia na wanaokaa ndani <strong>ya</strong>ke” kuabudu kanisa la Rome--lililofananishwa<br />

na mn<strong>ya</strong>ma “alikuwa mfano wa chui. “Mn<strong>ya</strong>ma wa pembe mbili itasema vilevile “wale<br />

wanaokaa juu <strong>ya</strong> dunia, kufanyia sanamu yule mn<strong>ya</strong>ma”. Tena, naye anawafan<strong>ya</strong> wote,<br />

“wadogo na wakubwa, na matajiri na maskini na wahuru na wafungwa,” wapokee chapa cha<br />

mn<strong>ya</strong>ma. Ufunuo 13:11-16. Amerika ni uwezo uliofananishwa na n<strong>ya</strong>ma yule wa pembe<br />

mbili mfano wa mwana-kondoo. Unabii huu utatimilika wakati Mwungano wa mataifa <strong>ya</strong><br />

Amerika watakapokaza kushika siku <strong>ya</strong> kwanza (dimanche), ambayo Roma inadai kama<br />

hakikisho kwa mamlaka <strong>ya</strong>ke.<br />

“Nikaona kimoja cha vichwa v<strong>ya</strong>ke, kama kimetiwa kidonda cha kufa; kidonda chake cha<br />

kufa kikapona; dunia yote ikastaajabia mn<strong>ya</strong>ma yule”. Ufunio 13:3. Kidonda cha kufa<br />

kinaonyesha kuanguka kwa kanisa la Roma (Papa) katika mwaka 1798. Baada <strong>ya</strong> hii, asema<br />

234

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!