12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

na ugomvi; lakini kwa namna matisho <strong>ya</strong>o <strong>ya</strong>lizidi, ndipo furaha <strong>ya</strong>ngu iliongezeka...<br />

Wamekwisha kuharibu heshima (sifa) <strong>ya</strong>ngu na mwenendo wangu. ... Kuhusu roho <strong>ya</strong>ngu,<br />

hawawezi kuikamata. Yeye anayetaka kutangaza neno la Kristo ulimwenguni, inampasa<br />

kutazamia kifo wakati wowote.”<br />

Akari <strong>ya</strong> kufika kwa Luther huko Augsburg kukaleta kushelewa kukubwa kwa mjumbe<br />

wa Papa. Mpinga mafundisho <strong>ya</strong> dini anayeamsha ulimwengu akaonekana sasa kuwa chini<br />

<strong>ya</strong> uwezo wa Roma; hakupaswa kuponyoka. Mjumbe alikusudia kulazimisha Luther kukana,<br />

ao isipowezekana alazimishe kwenda Roma kufuata n<strong>ya</strong>yo <strong>ya</strong> Huss na Jerome. Mjumbe wa<br />

Papa akatuma watu wake kumwambia Lutter afike bila ahadi <strong>ya</strong> ulinzi salama wa mfalme na<br />

matumaini <strong>ya</strong>ke mwenyewe wema wake. Kwa hiyo mtengenezaji akakataa. Hata wakati<br />

alipopata ahadi <strong>ya</strong> ulinzi wa mfalme mkuu ndipo akakubali kuonekana mbele <strong>ya</strong> mjumbe wa<br />

Papa. Kama mpango wa busara, watu wa Roma wakakusudia kumpata Luther kwa njia <strong>ya</strong><br />

kujioyesha kama wapole.<br />

Mjumbe akajionyesha kawa rafiki mkubwaa, lakini akaomba kwamba Luther ajitoe kabisa<br />

kwa kanisa na kukubali kila kitu bila mabishano wala swali. Luther, kwa kujibu, akaonyesha<br />

heshima <strong>ya</strong>ke kwa ajili <strong>ya</strong> kanisa, mapenzi <strong>ya</strong>ke kwa ajili <strong>ya</strong> ukweli, kuwa ta<strong>ya</strong>ri kwa kujibu<br />

makatazo yote kuhusu <strong>ya</strong>le aliyo<strong>ya</strong>fundishwa, na kuweka mafundisho <strong>ya</strong>ke chini <strong>ya</strong> uamuzi<br />

wa vyuo vikubwa (universites). Lakini alikataa juu <strong>ya</strong> mwendo wa askofu katika<br />

kummulazimisha kukana bila kuonyesha na kuhakikisha kosa lake.<br />

Jibu moja tu lilikuwa, “uKane, ukane”! Mtengenezaji akaonyesha kwamba msiimamo<br />

wake unakubaliwa na Maandiko. Hakuweza kukana ukweli. Mjumbe, aliposhindwa kujibu<br />

kwa mabishano <strong>ya</strong> Luther, akamulemeza na zoruba <strong>ya</strong> laumu, zarau, sifa <strong>ya</strong> uongo maneno<br />

kutoka kwa kiasili (traditions), na mezali (maneno) <strong>ya</strong> Wababa, akikatalia Mtengenezaji<br />

nafasi <strong>ya</strong> kusema. Luther mwishowe, bila kupenda, akamupa ruhusa <strong>ya</strong> kutoa jibu lake kwa<br />

maandiko.<br />

Akasema,akiandika kwa rafiki, “Mambo <strong>ya</strong>liyoandikwa ingeweza kutolewa kwa mawazo<br />

<strong>ya</strong> wengine; na jambo la pili, mtu anakuwa na bahati nzuri sana <strong>ya</strong> kutumika kwa hofu nyingi,<br />

kama si kwa zamiri, <strong>ya</strong> bwana wa kiburi na wa kusema ovyo ovyo ambaye njia ingine<br />

angeshinda kwa kutumia maneno <strong>ya</strong>ke makali.” Kwa mkutano uliofuata, Luther akaonyesha<br />

maelezo mafupi na <strong>ya</strong> nguvu <strong>ya</strong> mawazo <strong>ya</strong>ke, <strong>ya</strong>nayoshuhudiwa na Maandiko. Kartasi hii,<br />

baada <strong>ya</strong> kusoma kwa sauti nguvu, akaitoa kwa askofu, naye akaitupa kando kwa zarau,<br />

kuitangaza kuwa mchanganyiko wa maneno <strong>ya</strong> bure na mateuzi <strong>ya</strong>siyofaa. Sasa Luther<br />

akakutana na askofu wa kiburi kwa uwanja wake mwenyewe--mambo <strong>ya</strong> asili na mafundisho<br />

<strong>ya</strong> kanisa--na kuangusha kabisa majivuno <strong>ya</strong>ke.<br />

Askofu akapoteza kujitawala kote na katika hasira akapandisha sauti, “ukane! ao<br />

nitakutuma Roma”. Na mwishowe akatangaza, katika sauti <strong>ya</strong> kiburi na hasira, “uKane, ao<br />

usirudi tena.” Mtengenezaji kwa upesi akaondoka pamoja na rafiki zake, hivyo kutangaza<br />

wazi kwamba asingoje kwake kwamba atakana. Hili si jambo ambalo askofu alilokusudia.<br />

52

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!