12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

sanamu hata mwanzoni hawakuona nguvu <strong>ya</strong> mawazo <strong>ya</strong> Luther, lakini kukariri<br />

kukawawezesha kuelewa wazi wazi mambo <strong>ya</strong>liyoonyeshwa.<br />

Wale waliofunga macho <strong>ya</strong>o kwa nuru juu <strong>ya</strong> ugumu wakakasirishwa na uwezo wa<br />

maneno <strong>ya</strong> Luther. Mnenaji mkuu wa baraza akasema kwa hasira: “Haujajibu swali<br />

lililotolewa kwako. ... Unatakiwa kutoa jibu la wazi na halisi. ... Utakana wala hutakana?”<br />

Mtengenezaji akajibu: “Hivi mtukufu mwema na mwenye uwezo sana unaniomba jibu wazi,<br />

raisi,aawa sawa, nitakutolea moja, na ni hili: Siwezi kutoa imani <strong>ya</strong>ngu kwa Papa ao kwa<br />

baraza, kwa sababu ni wazi kama siku ambayo walikosa na mara kwa mara kubishana<br />

wenyewe kwa wenyewe. Ila tu nikisadikishwa na ushuhuda wa Maandiko,... Siwezi na<br />

sitakana, kwani si salama kwa Mkristo kusema kinyume cha zamiri <strong>ya</strong>ke. Ni hapa<br />

ninasimamia, siwezi kufan<strong>ya</strong> namna ingine; basi Mungu anisaidie. Amen.”<br />

Ndivyo mtu huyu wa haki alivyosimama. Ukuu wake na usafi wa tabia, amani <strong>ya</strong>ke na<br />

furaha <strong>ya</strong> moyo, vilionekana kwa wote alipokuwa akishuhudia ukubwa wa imani hiyo<br />

inayoshinda ulimwengu. Kwa jibu lake la kwanza Luther alisema na adabu, kwa hali <strong>ya</strong> utii<br />

kabisa. Watu wa Papa walizania kwamba kuomba wakati ilikuwa tu mwanzo wa kukana.<br />

Charles mwenyewe, alipoona hali <strong>ya</strong> mateso <strong>ya</strong> mtawa, mavazi <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong>siyokuwa <strong>ya</strong> zamani,<br />

na urahisi wa hotuba <strong>ya</strong>ke, akatangaza: “Mtawa huyu hatanifan<strong>ya</strong> kamwe kuwa mpinga imani<br />

<strong>ya</strong> dini.” Lakini ushujaa na nguvu alioshuhudia sasa, uwezo wa akili <strong>ya</strong>ke, ukashangaza watu<br />

wote. Mfalme aliposhangaa sana, akapaza sauti: “Mtawa huyu anasema bila kuogopa na moyo<br />

usiotikisika.”<br />

Wafuasi wa Roma wakashindwa. Wakatafuta kushikilia mamlaka <strong>ya</strong>o, si kwa kukimbilia<br />

kwa Maandiko, bali kwa vitisho, inayokuwa kawaida la Roma. Musemaji wa baraza akasema:<br />

“Kama hutaki kukana, mfalme na wenye vyeo wa ufalme wataona jambo gani la kufan<strong>ya</strong> juu<br />

<strong>ya</strong> mpinga imani <strong>ya</strong> diniasiye sikia nashauri.” Luther akasema kwa utulivu: “Mungu<br />

anisaidie, kwani siwezi kukana kitu kamwe.”<br />

Wakamwomba atoke wakati watawala walipokuwa wakishauriana pamoja. Kukataa kutii<br />

kwa Luther kungeuza historia <strong>ya</strong> Kanisa kwa m<strong>ya</strong>ka nyingi. Wakakata shauri kwa kumpatia<br />

nafasi tena <strong>ya</strong> kukana. Tena swali likaulizwa. Je, angewezekana mafundisho <strong>ya</strong>ke? “Sina jibu<br />

lingine la kutoa,” akasema, “kuliko lile nililokwisha kutoa.”<br />

Waongozi wa Papa wakahuzunika kwamba uwezo wao ulizarauliwa na mtawa maskini.<br />

Luther alisema kwa wote kwa heshima inayomfaa Mkristo na utulivu, maneno <strong>ya</strong>ke ha<strong>ya</strong>kuwa<br />

na hasira wala masingizio. Akajisahau mwenyewe na kujiona kwamba alikuwa mbele tu <strong>ya</strong><br />

yeye aliye mkuu wa mwisho sana kuliko wapapa, wafalme, na wafalme (wakuu). Roho <strong>ya</strong><br />

Mungu ilikuwa pale, kuvuta mioyo <strong>ya</strong> wakubwa wa ufalme.<br />

Watawala wengi wakakubali wazi wazi haki <strong>ya</strong> maneno <strong>ya</strong> Luther. Kundi lingine kwa<br />

wakati ule halikuonyesha imani <strong>ya</strong>o, lakini kwa wakati uliokuja wakasaidia bila woga<br />

matengenezo. Mchaguzi Frederic, akasikiliza maneno <strong>ya</strong> Luther na kuchomwa moyo. Kwa<br />

62

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!