12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Injili ilisahauliwa na watu wakalemewa na azabu kali. Walifundishwa kutumainia kazi zao<br />

wenyewe kwa malipo <strong>ya</strong> zambi zao. Safari ndefu za kwenda kuzuru patakatifu, matendo <strong>ya</strong><br />

kitubio, ibada <strong>ya</strong> masalio <strong>ya</strong> mambo <strong>ya</strong> watakatifu wa kale, majengo <strong>ya</strong> makanisa, na<br />

mazabahu, malipo <strong>ya</strong> mali mingi kwa kanisa-ha<strong>ya</strong> <strong>ya</strong>lilazimishwa kwa kutuliza hasira <strong>ya</strong><br />

Mungu ao kujipatia upendeleo wake.<br />

Karibu <strong>ya</strong> mwisho wa karne <strong>ya</strong> mnane, wafuasi wa Papa wa Roma wakaendelea<br />

kulazimisha kwamba katika siku za kwanza za kanisa maaskofu wa Roma walikuwa na uwezo<br />

wa kiroho sawa sawa na ule ambao wanachukuwa sasa. Maandiko <strong>ya</strong> uwongo <strong>ya</strong>kaandikwa<br />

na watawa wakidangan<strong>ya</strong> kwamba ni <strong>ya</strong> zamani sana. Maagizo <strong>ya</strong> baraza ambayo<br />

ha<strong>ya</strong>kusikiwa mbele <strong>ya</strong> kuimarisha ukubwa wa Papa tangu n<strong>ya</strong>kati za kwanza,<br />

<strong>ya</strong>kavumbuliwa (Tazama Nyonge 20).<br />

Waaminifu wachache waliojenga juu <strong>ya</strong> msingi wa kweli. (1 Wakorinto 3:10,11)<br />

wakafazaika. Kuchoka kwa ajili <strong>ya</strong> kupigana na mateso, udanagnyifu, kila kizuizi kingine<br />

ambacho Shetani angevumbua, watu fulani ambao walikuwa waaminifu wakakata tamaa.<br />

Kwa ajili <strong>ya</strong> upendo wa amani na salama kwa mali <strong>ya</strong>o na maisha <strong>ya</strong>o, wakaacha msingi wa<br />

kweli. Wengine hawakuongopeshwa na upinzani wa adui zao.<br />

Ibada <strong>ya</strong> sanamu ikawa kawaida. Mishumaa (bougies) iliwashwa mbele <strong>ya</strong> masanamu, na<br />

maombi <strong>ya</strong>katolewa kwao. Desturi zisizo za maana na kuabudu uchawi zikawa na uwezo.<br />

Hata hakili yenyewe ikaonekana kupoteza nguvu zake. Kwa sababu mapadri na maaskofu<br />

wao wenyewe walikuwa wenye kupenda anasa, na rushwa, watu waliotazamia uongozi kwao<br />

wakatazamia katika ujinga na makosa.<br />

Katika karne <strong>ya</strong> kumi na moja, Papa Gregoire VII akatangaza kwamba kanisa halijakosa<br />

kamwe, na halitakosa kamwe, kwa kutokana na Maandiko. Lakini hakika za Maandiko<br />

hazikufuatana na maneno <strong>ya</strong>le. Askofu mwenye kiburi alidai pia uwezo wa kuondoa wafalme.<br />

Mfano moja wa tabia <strong>ya</strong> uonevu huyu anaotetea madai <strong>ya</strong> kutoweza kukosa ni jambo<br />

alilotendea mfalme wa Ujeremani, Henry IV. Kwa sababu alijaribu kuzarau mamlaka <strong>ya</strong> Papa,<br />

mfalme huyu akatengwa kwa kanisa na akatoshwa kwa kiti chake cha ufalme. Watoto wake<br />

wenyewe wa kifalme wakashawishiwa na mamlaka <strong>ya</strong> Papa katika uasi juu <strong>ya</strong> baba <strong>ya</strong>ke.<br />

Henry akaona lazima <strong>ya</strong> kufan<strong>ya</strong> amani pamoja na Roma. Pamoja na mke wake na<br />

mtumishi wake mwaminifu akavuka milima mirefu (Alpes) katika siku za baridi kali, ili apate<br />

kujinyenyekea mbele <strong>ya</strong> Papa. Alipofikia ngome <strong>ya</strong> Gregoire, akapelekwa katika uwanja wa<br />

inje. Kule, katika baridi kali <strong>ya</strong> wakati wa majira <strong>ya</strong> baridi, na kichwa wazi na vikan<strong>ya</strong>gio,<br />

alingoja ruhusa <strong>ya</strong> Papa kuja mbele <strong>ya</strong>ke. Ni baada <strong>ya</strong> siku tatu za kufunga na kuungama,<br />

ndipo askofu akamtolea rehema. Na hivyo ni katika hali <strong>ya</strong> kwamba mfalme alipaswa kungoja<br />

ruhusa <strong>ya</strong> Papa kwa kupata tena alama za cheo ao kutumia uwezo wa kifalme. Gregoire,<br />

alipofurahia ushindi wake, akatangaza <strong>ya</strong> kwamba kazi <strong>ya</strong>ke ilikuwa ni kuangusha kiburi cha<br />

wafalme.<br />

19

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!