12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Majeshi <strong>ya</strong> Wa<strong>ya</strong>hudi, <strong>ya</strong>lipokuwa <strong>ya</strong>kifuata Cestius na jeshi lake wakaangukia upande<br />

wao wa nyuma. Ni kwa shida sana Waroma walifaulu katika kukimbia kwao. Wa<strong>ya</strong>hudi<br />

pamoja na mateka <strong>ya</strong>o wakarudia na ushindi Yerusalema. Lakini kufaulu kwa namna hii<br />

kuliwaletea uba<strong>ya</strong> tu. Jambo hilo liliwasukuma kwa ile roho <strong>ya</strong> ukaidi wa kupinga kwa<br />

Waroma ambao kwa upesi wakaleta msiba muba<strong>ya</strong> sana juu <strong>ya</strong> muji uliohukumiwa.<br />

Hasara zilikuwa za ajabu zile zilianguka juu <strong>ya</strong> Yerusalema wakati mji ulizungukwa tena<br />

na Titus. Mji ulizungukwa wakati wa Pasaka, wakati mamilioni <strong>ya</strong> Wa<strong>ya</strong>hudi<br />

walipokusanyika ndani <strong>ya</strong> kuta zake. Duka za akiba zikaharibiwa kwanza kwa ajili <strong>ya</strong> kisasi<br />

cha makundi <strong>ya</strong> mabishano. sasa matisho yote <strong>ya</strong> njaa <strong>ya</strong>kawafikia. Wanaume wakatafuna<br />

ngozi <strong>ya</strong> mikaba <strong>ya</strong>o na viatu na kifuniko cha ngao zao. Hesabu kubwa <strong>ya</strong> watu wakaenda<br />

kwa uficho usiku inje kwa kukusan<strong>ya</strong> mimea fulani <strong>ya</strong> pori <strong>ya</strong>liyokuwa <strong>ya</strong>kiota inje <strong>ya</strong> kuta<br />

za mji, ingawa wengi walikuwa wakizunguukwa na kuuawa na mateso makali, na mara kwa<br />

mara wale waliokuwa wakirudia katika usalama ndani <strong>ya</strong> mji walin<strong>ya</strong>nganywa akiba<br />

walizopata kwa shida sana. Waume wakaiba wake wao, na wake waume wao. Watoto<br />

wakan<strong>ya</strong>ngan<strong>ya</strong> chakula kinywani mwa wazazi wazee wao.<br />

Waongozi wa Roma kuogopesha sana Wayuda iliwakubali wameshindwa. Wafungwa<br />

waliazibiwa, kuteswa, na kusulubiwa mbele <strong>ya</strong> ukuta wa mji. Kwa bonde la Yosafati na<br />

Kalvari, misalaba ikasimamishwa kwa wingi sana. Ilikuwa vigumu kupitia katikati <strong>ya</strong><br />

misalaba hiyo. Ndivyo lilivyo timilika agizo la kutisha lililotajwa na Wa<strong>ya</strong>hudi mbele <strong>ya</strong> kiti<br />

cha hukumu cha Pilato: “Damu <strong>ya</strong>ke iwe juu yetu na juu <strong>ya</strong> watoto wetu”. Matayo 27:25.<br />

Tito alijazwa na hofu kuu alipoona miili <strong>ya</strong> wafu kulala kwa malundo katika mabonde.<br />

Kama mtu aliye katika maonyo, akatazama hekalu nzuri na akatoa agizo kwamba kusiwe hata<br />

jiwe moja lake linalopaswa kuguswa.. Akatoa mwito wa nguvu kwa waongozi wa Wa<strong>ya</strong>hudi<br />

wasimulazimishe kuchafua mahali patakatifu kwa damu. Kama wakiweza kupigania mahali<br />

po pote pengine, hapana Muroma atapashwa kutendea jeuri utakatifu wa hekalu! Yosefu<br />

mwenyewe, aliwasihi, akawaomba kujitoa, kwa kujiokoa wenyewe, mji wao na mahali pao<br />

pa ibada. Lakini maneno <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong>kajibiwa kwa laana chungu. Mishale <strong>ya</strong> makelele ikatupwa<br />

kwake, mwombezi wao wa mwisho wa kibinadamu. Juhudi za Tito ili kuokoa hekalu zilikuwa<br />

bure. Mmoja aliyekuwa mkuu kuliko yeye alitangaza kwamba halitabaki jiwe juu <strong>ya</strong> jiwe<br />

pasipo kubomolewa.<br />

Mwishowe Tito akaamua kukamata hekalu kwa gafula, akakusudia kwamba ikiwezekana<br />

ilipaswa kuokolewa kwa maangamizi. Lakini maagizo <strong>ya</strong>ke ha<strong>ya</strong>kujaliwa. Kinga cha moto<br />

kikatupwa upesi na askari mmoja kwa tundu ndani <strong>ya</strong> ukumbi, na mara moja vyumba<br />

vilivyokuwa na miti <strong>ya</strong> mierezi kuzunguuka hekalu takatifu vikawaka moto. Tito akaenda<br />

kwa haraka mahali pale, na akaagiza waaskari kuzima ndimi za moto. Maneno <strong>ya</strong>ke<br />

ha<strong>ya</strong>kufuatwa. Katika hasira <strong>ya</strong>o waaskari wakatupa vinga v<strong>ya</strong> moto ndani <strong>ya</strong> vyumba v<strong>ya</strong><br />

karibu na hekalu, na tena pamoja na panga zao wakaua hesabu kubwa <strong>ya</strong> wale waliokimbilia<br />

ndani <strong>ya</strong> Pahali patakatifu. Damu ikatiririka kama maji juu <strong>ya</strong> vipandio v<strong>ya</strong> hekalu.<br />

9

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!