12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

wanamlio wa huzuni makundi <strong>ya</strong> mifungo <strong>ya</strong>nafzaika, sababu nawana malisho.... Maji <strong>ya</strong><br />

mito <strong>ya</strong>mekauka, na moto umekula malisho <strong>ya</strong> jangwa”. Joel 1:11,12, 18-20.<br />

Mapigo ha<strong>ya</strong> si <strong>ya</strong> mahali pote, lakini <strong>ya</strong>takuwa mapigo <strong>ya</strong> kutisha zaidi isiyofahamika<br />

kamwe. Hukumu zote zilizotangulia kufungwa kwa rehema zilikuwa zikichanganyika na<br />

rehema. Damu <strong>ya</strong> Kristo imelinda mwenye zambi kwa kiasi kamili cha kosa lake; lakini kwa<br />

hukumu <strong>ya</strong> mwisho, hasira si <strong>ya</strong> kuchanganywa na rehema. Wengi watatamani ulinzi wa<br />

rehema <strong>ya</strong> Mungu ambayo walikuwa wakiizarau.<br />

Wakati wanapoteseka na kusumbuliwa, wakati wanapoteseka na njaa, watu wa Mungu<br />

hawataachwa kuangamizwa. Malaika watawatolea mahitaji <strong>ya</strong>o. “Atapewa chakula chake;<br />

maji <strong>ya</strong>ke ha<strong>ya</strong>takosekana”. “Mimi, Bwana, nitawasikia, mimi, Mungu wa Israeli,<br />

sitawaacha”. Isa<strong>ya</strong> 33:16; 41:17.<br />

Lakini kwa maonyo <strong>ya</strong> kibinadamu itaonekana <strong>ya</strong> kwamba watu wa Mungu wangepashwa<br />

upesi kutia muhuri kwa ushuhuda wao kwa damu <strong>ya</strong>o, kama walivyofan<strong>ya</strong> wafia dini mbele<br />

<strong>ya</strong>o. Ni wakati wa maumivu makuu <strong>ya</strong> kutisha. Waovu wameshangilia. “Imani yenu inakuwa<br />

wapi sasa? Sababu gani Mungu hawaokoi kwa mikono yetu kama munakuwa kweli watu<br />

wake”? Lakini wanaongojea wanakumbuka Kristo alipokufa juu <strong>ya</strong> msalaba wa Kalvari.<br />

Kama Yakobo, wote wanashindana na Mungu.<br />

Makundi <strong>ya</strong> Malaika Wanalinda<br />

Malaika wanatua kwa wale waliolinda neno la uvumilivu la Kristo. Wameshuhudia shida<br />

<strong>ya</strong>o na wamesikia maombi <strong>ya</strong>o. Wanangojea neno la Mkuu wao kuwan<strong>ya</strong>kua kwa hatari <strong>ya</strong>o.<br />

Lakini wanapashwa kungojea wakati mrefu kidogo. Watu wa Mungu wanapashwa kunywa<br />

kikombe na kubatizwa kwa ubatizo. Matayo 20:20-23. Lakini kwa ajili <strong>ya</strong> wateule wakati wa<br />

taabu utafupishwa. Mwisho utakuja upesi kuliko watu wanavyotazamia.<br />

Ingawa amri <strong>ya</strong> kawaida imeweka wakati washika amri wanapoweza kuuawa, adui zao<br />

kwa sababu zingine wataharakisha amri na kujaribu kuondoa maisha <strong>ya</strong>o. Lakini hakuna mtu<br />

anayeweza kupita walinzi waliotua kuzunguka kila nafsi aminifu. Wengine walishambuliwa<br />

wakati wa kukimbia kwao kutoka mijini, lakini panga zilizoinuliwa juu <strong>ya</strong>o zikavunjika kama<br />

majani makavu. Wengine wakalindwa na malaika katika hali <strong>ya</strong> watu wa vita.<br />

Katika vizazi vyote viumbe v<strong>ya</strong> mbinguni wamekamata sehemu <strong>ya</strong> juhudi katika mambo<br />

<strong>ya</strong> watu. Wamekubali kukaribisha na wanadamu, kutenda kama viongozi kwa wasafiri<br />

wajinga, wakafungua milango <strong>ya</strong> gereza na kuweka huru watumishi wa Bwana. Wakaja<br />

kusukuma jiwe kwa kaburi la Mwokozi.<br />

Malaika wanazuru mikutano <strong>ya</strong> waovu, kama walivyokwenda Sodomo, kuhakikisha kama<br />

wamepitisha mpaka wa uvumilivu wa Mungu. Bwana, kwa ajili <strong>ya</strong> wachache wanamtumikia<br />

kwa kweli, anazuia misiba na anazidisha utulivu wa makutano. Wenye zambi wanafahamu<br />

257

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!