12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Sura 19. Sababu gani Uchungu Mkubwa Ule?<br />

Kazi <strong>ya</strong> Mungu huonyesha mwaka kwa mwaka, mfano wa kutisha kila matengenezo<br />

makubwa ao mwenendo wa dini. Kanuni za matengenezo <strong>ya</strong> Mungu kuhusu watu <strong>ya</strong>nakuwa<br />

mamoja daima. Mabadiliko makubwa <strong>ya</strong> sasa <strong>ya</strong>nakuwa na uhusiano na <strong>ya</strong>le <strong>ya</strong> wakati<br />

uliopita, na maarifa <strong>ya</strong> kanisa katika vizazi v<strong>ya</strong> kwanza <strong>ya</strong>nakuwa na mafundisho kwa wakati<br />

wetu.<br />

Mungu kwa Roho Mtakatifu wake kwa upekee huongoza watumishi wake duniani katika<br />

kuepeleka mbele kazi <strong>ya</strong> wokovu. Watu ni vyombo katika mkono wa Mungu. Kwa kila<br />

chombo kulitolewa sehemu <strong>ya</strong> nuru <strong>ya</strong> kutosha kwa kumwezesha kufan<strong>ya</strong> kazi aliyopewa<br />

kufan<strong>ya</strong>. Lakini hakuna mtu kamwe aliyefikia ufahamu kamili wa kusudi la Mungu katika<br />

kazi kwa wakati wake mwenyewe. Watu hawafahamu kabisa katika uchukuzi wake wote<br />

ujumbe ambao wanaoutoa katika jina lake. Hata manabii hawakufahamu kabisa mambo <strong>ya</strong><br />

ufunuo <strong>ya</strong>liyotolewa kwao. Maana <strong>ya</strong> ufunuo ilikuwa <strong>ya</strong> kufunuliwa toka kizazi kwa kizazi.<br />

Petro anasema: “Katika habari za wokovu huu manabii walitafuta na kuchunguza, wao<br />

waliotabiri juu <strong>ya</strong> neema itakayowafikia ninyi; walichunguza nini ao wakati wa namna gani<br />

Roho <strong>ya</strong> Kristo aliyekuwa ndani <strong>ya</strong>o aliwaonyesha wakati aliposhuhudia mbele mateso<br />

<strong>ya</strong>takayompata Kristo, na utukufu utakao <strong>ya</strong>fuata. Wakafunuliwa <strong>ya</strong> kuwa si kwa ajili <strong>ya</strong>o<br />

wenyewe lakini ni kwa ajili yetu waliohudumiwa.” 1 Petro 1:10-12, Ni sisi herufi<br />

tofauti(italics). Fundisho la namna gani kwa watu wa Mungu katika kizazi cha ukristo! Watu<br />

hao “watakatifu wa Mungu” walitafuta na kuchunguza “kwa bidii” kwa ajili <strong>ya</strong> mafunuo<br />

zilizotolewa kwa vizazi ingawa vilikuwa havijazaliwa bado. Kemeo gani kwa ukavu wa<br />

macho wa wapenda dunia ambayo wanatosheka kutangaza kwamba mambo <strong>ya</strong> unabii<br />

ha<strong>ya</strong>wezi kufahamiwa.<br />

Si mara chache mafikara hata <strong>ya</strong> watumishi wa Mungu <strong>ya</strong>nakuwa <strong>ya</strong> kupofushwa sana<br />

kwa manebo <strong>ya</strong> asili na mafundisho <strong>ya</strong> uwongo ambayo wanashika kwa nusu tu mambo<br />

<strong>ya</strong>liyofunuliwa katika Neno la Mungu. Wanafunzi wa Kristo, hata wakati Mwokozi alikuwa<br />

pamoja nao, walikuwa na wazo la kupendwa na watu wote juu <strong>ya</strong> Masi<strong>ya</strong> kama mfalme wa<br />

mda aliyepashwa kuinua Israel; kwa mamlaka <strong>ya</strong> wakati wote. Hawakuweza kufahamu<br />

maneno <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong>liyotabiri mateso na mauti <strong>ya</strong>ke.<br />

“Wakati Umetimia”<br />

Kristo aliwatuma na ujumbe: “Wakati umetimia, ufalme wa Mungu ni karibu. Tubuni<br />

mukaamini Habari Njema.” Marko 1:15. Ujumbe ule ulikuwa na msingi katika unabii wa<br />

Danieli 9. ‘’Majuma makumi sita na tisa” <strong>ya</strong>lipashwa kufikia kwa Mfalme na wanafunzi<br />

walitazamia mbele kuimarishwa kwa ufalme wa Masi<strong>ya</strong> kule Yerusalema ili atawale juu <strong>ya</strong><br />

dunia yote nzima.<br />

139

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!