12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

gunia.” Katika n<strong>ya</strong>kati za giza kabisa watu waaminifu wakapewa hekima na mamlaka kwa<br />

kutangaza kweli wa Mungu. (Tazama Nyongezo.)<br />

“Na kama mtu yeyote akitaka kuwaumiza, moto utatoka katika vinywa v<strong>ya</strong>o na kumeza<br />

adui zao. Na kama mtu yeyote akitaka kuwaumiza, anapashwa kuuawa namna hii.” Ufunuo<br />

11:5. Watu hawawezi bila kuwa na hofu <strong>ya</strong> kupata malipizi kwa kuzarau Neno la Mungu!<br />

“Hata watakapomaliza ushuhuda wao.” Wakati washuhuda hawa wawili walipokaribia<br />

mwisho wa kazi <strong>ya</strong>o katika giza, vita ilipaswa kufanywa juu <strong>ya</strong>o na “yule n<strong>ya</strong>ma anayetoka<br />

katika shimo pasipo mwisho.” Hapa kunaonekana onyesho mp<strong>ya</strong> la uwezo wa Shetani.<br />

Ilikuwa busara <strong>ya</strong> Roma, kushuhudia heshima kwa ajili <strong>ya</strong> Biblia, kwa kuifungisha kwa<br />

lugha isiyojulikana, ikafichwa kwa watu. Chini <strong>ya</strong> amri <strong>ya</strong>ke washahidi wakatabiri “katika<br />

mavazi <strong>ya</strong> gunia. ” Lakini ” yule n<strong>ya</strong>ma anayetoka katika shimo pasipo mwisho” alipashwa<br />

kufunguliwa na kufan<strong>ya</strong> vita wazi wazi kwa Neno la Mungu.<br />

“Mji mkubwa” katika njia zake ambazo washahidi hawa wawili waliuawa, na mahali maiti<br />

<strong>ya</strong>o ililala ni “kwa kiroho” ni Misri. Kwa mataifa yote katika historia <strong>ya</strong> Biblia, Misri ndiyo<br />

iliyozidi kukana kuwako kwa Mungu na ikapinga amri zake. Hakuna mfalme aliyeasi kwa<br />

ujasiri sana juu <strong>ya</strong> mamlaka <strong>ya</strong> mbingu kama mfalme wa Misri alivyofan<strong>ya</strong>, Farao: “Simjui<br />

Bwana, na vilevile sitaruhusu Israeli kwenda.” Kutoka 5:2. Hii ni kusema hakuna Mungu<br />

(atheisme), na taifa linalowakilisha Misri lingetaja mfano wa namna moja wa Mungu na<br />

kuonyesha roho <strong>ya</strong> namna moja <strong>ya</strong> uasi.<br />

“Mji mkubwa” unafananishwa vile vile, “kwa kiroho,” na Sodomo. Maovu <strong>ya</strong> Sodomo<br />

<strong>ya</strong>lionekana zaidi katika uasherati. Zambi hizi zilipaswa kuwa vile vile tabia <strong>ya</strong> taifa lililopasa<br />

kutimiza andiko hili.<br />

Kwa kupatana na nabii, ndipo, mbele kidogo <strong>ya</strong> mwaka 1798 uwezo moja wa tabia <strong>ya</strong><br />

uovu ukainuka kwa kufan<strong>ya</strong> vita na Biblia. Na katika inchi ambapo “washuhuda wawili wa<br />

Mungu walipashwa kun<strong>ya</strong>mazishwa, hapo pangekuwa onyesho la kutokujali kuwako kwa<br />

Mungu kwa Farao na usherati wa Sodomo.<br />

Utimilizo wa Ajabu wa Unabii<br />

Unabii huu ulipata utimilizo wa ajabu katika historia <strong>ya</strong> Ufransa wakati wa Mapinduzi<br />

(Revolution), katika mwaka 1793. “Ufransa ulikuwa ni taifa pekee katika historia <strong>ya</strong> dunia,<br />

ambayo kwa amri <strong>ya</strong> baraza la sheria, likatangaza kwamba hakuna Mungu, na ambaye<br />

wenyeji wote wa mji mkuu, na sehemu kubwa <strong>ya</strong> watu popote, wanawake na wanaume pia,<br />

wakacheza na kuimba kwa furaha kwa kukubali tangazo hili.”<br />

Ufransa ukaonyesha pia tabia ambazo zilipambanua Sodomo. Mwandishi wa historia<br />

anaonyesha pamoja kukana Mungu na uasherati wa Ufransa: “Kwa uhusiano na sheria hizi<br />

juu <strong>ya</strong> dini, ilikuwa ile ambayo ilivunja muungano wa ndoa--maagano takatifu kuliko ambayo<br />

watu wanaweza kufan<strong>ya</strong>, na kudumu ni wa lazima kwa ulinzi wa jamaa--ukageuzwa kuwa<br />

106

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!