12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Matengenezo. Mara tatu Berquin akafungwa na mamlaka <strong>ya</strong> Papa, na akafunguliwa na<br />

mfalme, aliyekataa kumtoa kafara kwa ukorofi wa serkali <strong>ya</strong> kanisa. Berquin akazidi kuonywa<br />

juu <strong>ya</strong> hatari iliyotaka kumpata katika Ufransa na akalazimishwa kufuata hatua za wale<br />

waliokwenda kutafuta usalama katika kuhamishwa kwa mapenzi mbali na kwao.<br />

Berquin Shujaa<br />

Lakini juhudi <strong>ya</strong> Berquin ikazidi kuwa na nguvu. Akakusudia mpango wa nguvu zaidi.<br />

Hakusimama tu kwa kutetea ukweli, lakini akashambulia kosa. Adui zake waliokuwa na<br />

juhudi na ukaidi zaidi walikuwa watawa wenye elimu kutoka kwa idara <strong>ya</strong> elimu <strong>ya</strong> tabia na<br />

sifa za Mungu na dini (theologie) katika chuo kikubwa (universite) cha Paris, mojawapo <strong>ya</strong><br />

mamlaka <strong>ya</strong> kanisa <strong>ya</strong> juu sana katika taifa. Kwa maandiko <strong>ya</strong> waalimu hawa, Berquin<br />

akapata makusudi kumi na mbili ambayo akaitangaza wazi wazi kuwa kinyume cha Biblia,”<br />

na akauliza mfalme kujifan<strong>ya</strong> muamzi katika shindano.<br />

Mfalme, kwa kuwa na furaha <strong>ya</strong> nafasi <strong>ya</strong> kushusha majivuno <strong>ya</strong> hawa watawa wenye<br />

kiburi, akaalika wakatoliki kutetea jambo lao kwa kufuata Biblia. Silaha hii haingewasaidia<br />

zaidi; mateso na kifo cha mtu wa kuchoma ilikuwa ndizo silaha ambazo walizifahamu zaidi<br />

namna <strong>ya</strong> kutawala. Sasa wakajiona wenyewe kuanguka katika shimo walilotumaini<br />

kumtumbukiza Berquin. Wakatafuta wenyewe namna gani <strong>ya</strong> kujiepusha.<br />

“Kwa wakati ule wakaona kando <strong>ya</strong> mojawapo <strong>ya</strong> njia sanamu <strong>ya</strong> bikira iliyovunjwa.”<br />

Makundi <strong>ya</strong>kakusanyika mahali pale, wakilia na hasira. Mfalme akachomwa moyo sana .<br />

“Ha<strong>ya</strong> ndiyo matunda <strong>ya</strong> mafundisho <strong>ya</strong> Berquin,” watawa wakapaza sauti. “Kila kitu ni<br />

karibu kugeuzwa--dini, sheria, kiti cha ufalme chenyewe kwa mapatano hii <strong>ya</strong> Luther.”<br />

Mfalme akatoka Paris, na watawa wakaachiwa huru kufan<strong>ya</strong> mapenzi <strong>ya</strong>o. Berquin<br />

akahukumiwa na kuhukumiwa kifo. Kwa hofu kwamba Francis angetetea tena kwa<br />

kumwokoa, hukumu ikafanyika kwa siku ile ile ilio tamkwa. Kwa sasa sita za mchana<br />

msongano wengi ukakusanyika kwa kushuhudia jambo hili, na wengi wakaona kwa<br />

mshangao kwamba mtu aliyeteswa alichaguliwa miongoni mwa watu bora na wahodari zaidi<br />

wa jamaa bora za Ufransa. Mshangao, hasira, zarau, na uchuki wa uchungu <strong>ya</strong>kahuzunisha<br />

nyuso za kundi lile, lakini kwa uso mmoja haukuwa na kivuli. Mfia dini alikuwa na zamiri tu<br />

<strong>ya</strong> kuwako kwa Bwana wake.<br />

Uso wa Berquin ulikuwa ukingaa na nuru <strong>ya</strong> mbinguni. Alivaa vazi kama joho laini la<br />

kungaa, chuma puani na soksi <strong>ya</strong> zahabu.” Alikuwa karibu kushuhudia imani <strong>ya</strong>ke mbele <strong>ya</strong><br />

Mfalme wa wafalme, na hakuna dalili iliyopasa kusingizia furaha <strong>ya</strong>ke. Wakati mwandamano<br />

ulipokuwa ukisogea polepole katika njia zilizosongana, watu wakapatwa na mshangazo wa<br />

ushindi wa furaha wa uvumilivu wake. “Yeye anakuwa,” wakasema, “kama mmoja anayekaa<br />

katika hekalu, na akifikiri vitu vitakatifu.”<br />

Berquin kwa Mti Wakufungia Watu wa Kochomwa Moto<br />

84

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!