12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Mafundisho juu <strong>ya</strong> kugeuka kwa ulimwengu na utawala wa Kristo wa kiroho<br />

ha<strong>ya</strong>kushikwa na kanisa la mitume. Kwa kawaida ha<strong>ya</strong>kukubaliwa na Wakristo hata karibu<br />

<strong>ya</strong> mwanzo wa karne <strong>ya</strong> kumi na mnane. Ilifundisha watu kutazamia mbali kwa wakati ujao<br />

kuja kwa Bwana na kuwakataza kwangalia ishara za kurudi kwake. Iliongoza watu kutojali<br />

kujita<strong>ya</strong>risha kwa kumlaki Bwana wao.<br />

Miller akaona kuja kwa Kristo halisi kulikofundishwa wazi katika Maandiko. “Kwa<br />

sababu Bwana mwenyewe atashuka toka mbinguni, na sauti kubwa, na sauti <strong>ya</strong> malaika<br />

mkubwa, na pamoja na baragumu <strong>ya</strong> Mungu.” “Nao wataona Mwana wa watu akija katika<br />

mawingu <strong>ya</strong> mbingu pamoja na uwezo na utukufu mkubwa.” “Kwa maana kama umeme<br />

unavyokuja toka mashariki na unaonekana hata mangaribi; ni hivi kuja kwa Mwana wa watu<br />

kutakavyokuwa.” “Mwana wa watu atakapokuja katika utukufu wake, na malaika yote<br />

pamoja naye.” “Naye atatuma malaika zake na sauti kubwa <strong>ya</strong> baragumu, nao watakusan<strong>ya</strong><br />

wachaguliwa wake.” 1 Watesalonika 4:16, 17; Matayo 24:30, 27; 25:31; 24:31.<br />

Kwa kuja kwake wafu wenye haki watafufuka na wenye haki waliohai watabadilika. “Sisi<br />

sote hatutalala, lakini sisi sote tutabadilika, kwa dakika moja, kwa kufunga na kufungua jicho,<br />

kwa baragumu <strong>ya</strong> mwisho: sababu baragumu italia, na wafu watafufuliwa wasiwe na kuoza,<br />

na tutabadilika. Maana sharti ule mwili wenye kuoza uvae kutokuoza, na huu wa mauti uvae<br />

kutokufa.” “Nao waliokufa katika Kristo watafufuliwa kwanza; kisha sisi tulio hai, tuliobaki,<br />

tutan<strong>ya</strong>nyuliwa pamoja nao katika mawingu, kukutana na Bwana katika hewa, na hivi<br />

tutakuwa pamoja na Bwana milele.” 1 Wakorinto 15:51-53; 1 Watesalonika 4:16, 17.<br />

Mtu katika hali <strong>ya</strong> sasa ni wa kufa, wakuoza; lakini ufalme wa Mungu utakuwa<br />

wakutokuoza. Kwa hivyo mtu kwa hali <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> sasa hawezi kuingia katika ufalme wa Mungu.<br />

Wakati Yesu atakuja, atatoa kutokufa kwa watu wake, na kuwaita kuriti ufalme ambao<br />

hawakuuriti hata sasa.<br />

Maandiko matakatifu na Taratibu <strong>ya</strong> Miaka<br />

Ha<strong>ya</strong> pamoja na maandiko mengine kwa wazi <strong>ya</strong>kamshuhudia Miller kwamba utawala wa<br />

amani wa watu wote na kuimarishwa kwa ufalme wa Mungu duniani ungekuwa baada <strong>ya</strong> kuja<br />

kwa mara <strong>ya</strong> pili. Tena, hali <strong>ya</strong> ulimwengu ililingana na maelezo <strong>ya</strong> unabii wa siku za mwisho.<br />

Alilazimishwa kwa mwisho kwamba mda uliogawanywa kwa dunia katika hali <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> sasa<br />

ulikuwa karibu kuisha.<br />

Namna ingine <strong>ya</strong> ushuhuda ambao kwa nguvu ulichoma moyo wangu.” Akasema,<br />

“ulikuwa utaratibu wa Maandiko... Niliona kwamba mambo <strong>ya</strong>liyotabiriwa, <strong>ya</strong>litimilika<br />

katika wakati uliopita, mara kwa mara <strong>ya</strong>litukia karibu <strong>ya</strong> wakati uliotolewa... Matokeo ...<br />

<strong>ya</strong>napokuwa tu mambo <strong>ya</strong> unabii, ... <strong>ya</strong>litimia katika upatano wa <strong>ya</strong>le <strong>ya</strong>liotabiriwa.”<br />

Wakati alipoona n<strong>ya</strong>kati za taratibu <strong>ya</strong> miaka ambayo ilifikia kwa kuja kwa mara <strong>ya</strong> pili<br />

kwa Kristo, hangaliweza lakini kuzitazama kama “n<strong>ya</strong>kati zilizoonyeshwa mbele”, ambazo<br />

Mungu alifunulia watumishi wake. “Vitu vile vilivyofunuliwa ni vyetu, na v<strong>ya</strong> wana wetu<br />

128

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!