12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

kuhani, Kristo anakaa sasa pamoja na Baba katika kiti chake cha enzi. Juu <strong>ya</strong> kiti kile cha<br />

ufalme kunakuwa yeye “aliyechukua taabu zetu; na kubeba huzuni zetu”, ambaye alikuwa<br />

“katika mambo yote alijaribiwa sawa sawa na sisi, lakini pasipo kufan<strong>ya</strong> zambi”, kusudi<br />

aweze kusaidia wale wanaojaribiwa”. Isa<strong>ya</strong> 53:4; Waebrania 4:15; 2:18. Mikono<br />

iliyojeruhiwa, upande uliochomwa mukuki,n<strong>ya</strong> yo ilioharibiwa, vinamtetea mwanadamu<br />

aliye anguka ambaye wokovu wake ulipatikana kwa bei sawa ile.<br />

“Na shauri la salama litakuwa katikati <strong>ya</strong> wale wawili”. Upendo wa Baba ni chemchemi<br />

<strong>ya</strong> wokovu kwa ukoo uliopotea. Yesu aliwaambia wafuasi wake, “Baba yeye mwenyewe<br />

anawapenda”. Mungu alikuwa “ndani <strong>ya</strong> Kristo akipatanisha ulimwengu naye mwenyewe”.<br />

“Mungu alipenda ulimwengu hata kutoa Mwana wake wa pekee”. Yoane 16:27; 2 Wakorinto<br />

5:19; Yoane 3:16.<br />

Siri <strong>ya</strong> Mahali Patakatifu Inaelezwa<br />

“Hema <strong>ya</strong> kweli” mbinguni ni Pahali patakatifu pa agano jip<strong>ya</strong>. Wakati wa kifo cha Kristo,<br />

huduma <strong>ya</strong> kufananisha ilimalizika. Kwa sababu Danieli 8: 14 ilitimilika katika mgawo huu,<br />

Pahali patakatifu ambapo maneno ha<strong>ya</strong> <strong>ya</strong>naelekea ni Pahali patakatifu pa agano jip<strong>ya</strong>. Hivyo,<br />

unabii, huu “Hata mangaribi na asubui <strong>ya</strong> siku elfu mbili mia tatu, halafu Pahali patakatifu<br />

patasafishwa” unaelekea Pahali patakatifu mbinguni. Lakini kusafishwa kwa pahali patakatifu<br />

maana <strong>ya</strong>ke ni nini? Mbinguni kunaweza kuwa kitu cha kusafishwa? Katika Waebrania 9<br />

kusafishwa kwa Pahali patakatifu pa duniani na Pahali patakatifu pa mbinguni vinafundishwa<br />

wazi :<br />

Karibu vitu vyote vinasafishwa kwa damu, na pasipo kumwanga damu hakuna ondoleo.<br />

Basi, mifano <strong>ya</strong> mambo <strong>ya</strong>liyo mbinguni ilipashwa kusafishwa hivyo lakini vitu v<strong>ya</strong><br />

mbinguni yenyewe kwa zabihu nzuri zaidi kuliko hizi” (Waebrania 9:22,33), kwa damu <strong>ya</strong><br />

zamani <strong>ya</strong> Kristo.<br />

Kutakaswa kwa Pahali Patakatifu<br />

Kusafishwa katika huduma <strong>ya</strong> kweli kunapaswa kufanyika kwa damu <strong>ya</strong> Kristo. “Pasipo<br />

kumwanga damu hakuna ondoleo. Ondoleo, ao kuondoa Zambi, ndiyo kazi yenye<br />

kutimizwa.”<br />

Lakini inawezekana je, zambi kuambatana na Pahali patakatifu mbinguni? Hii inaweza<br />

kujifunzwa kwa kuangalia huduma <strong>ya</strong> mfano, kwa maana makuhani duniani walitumika “kwa<br />

mufano na kivuli cha mambo <strong>ya</strong> mbinguni.” Waebrania 8:5.<br />

Huduma <strong>ya</strong> patakatifu pa kidunia ilikuwa na sehemu mbili. Makuhani walikuwa<br />

wakihudumia kila siku katika Pahali patakatifu, lakini mara moja kwa mwaka kuhani mkuu<br />

alifan<strong>ya</strong> kazi maalumu <strong>ya</strong> upatanisho katika Pahali patakatifu pa patakatifu, kwa ajili <strong>ya</strong><br />

kusafishwa kwa Pahali patakatifu. Siku kwa siku mwenye zambi anayetubu alileta sadaka<br />

<strong>ya</strong>ke na, kuweka mukono wake juu <strong>ya</strong> kichwa cha kafara, akaungama zambi zake, katika<br />

170

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!