12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Kwa namna Shetani alivyomshitaki Yakobo, ataendelea na masitaka <strong>ya</strong>ke juu <strong>ya</strong> watu wa<br />

Mungu. Anakuwa na taarifa sahihi <strong>ya</strong> zambi alizokuwa wakiwajaribu nazo kutenda na<br />

anatangaza <strong>ya</strong> kwamba kwa haki hawezi kuwasamehe zambi zao kwani kumwangamiza na<br />

malaika zake. Anadai <strong>ya</strong> kwamba watolewe mikononi mwake kuangamizwa.<br />

Bwana anamruhusu kuwajaribu iwezekanavyo. Tumaini lao kwa Mungu, imani <strong>ya</strong>o,<br />

itajaribiwa kwa ukali. Wanapo jikumbusha <strong>ya</strong>lipopita, imani <strong>ya</strong>o inazama, kwani kwa maisha<br />

<strong>ya</strong>o yote wanaweza uzuri ndogo. Shetani anajaribu kuwatisha kwa mafikara kuwa kezi zao<br />

hakuna matumaini. Anatumaini pia kuharibu imani <strong>ya</strong>o ili wajitoe kwa majaribu na kugeuza<br />

utii wao kutoka kwa Mungu.<br />

Maumivu Makuu ambao Mungu Atalaumiwa<br />

Kwani maumivu ambayo watu wa Mungu wanateseka nayo si hofu <strong>ya</strong> mateso. Wanaogopa<br />

<strong>ya</strong> kwamba katika kosa fulani ndani <strong>ya</strong>o wenyewe watashindwa kupata utimilifu wa ahadi <strong>ya</strong><br />

Mwokozi: “Mimi nitakulinda, utoke katika saa <strong>ya</strong> kujaribiwa iliyo ta<strong>ya</strong>ri kufikia dunia yote”.<br />

Ufunuo 3:10. Je, wangeonekana kuthibitishwa kuwa wasiostahili kwa sababu <strong>ya</strong> makosa <strong>ya</strong>o<br />

wenyewe <strong>ya</strong> tabia, ndipo jina takatifu la Mungu lingelaumiwa.<br />

Wanaonyesha kwa toba <strong>ya</strong>o <strong>ya</strong> wakati uliopita wa zambi zao nyingi na kuomba ahadi <strong>ya</strong><br />

mwokozi: “Ao ashike nguvu zangu, afanye salama nami; Ndiyo afanye salama nami”. Ysa<strong>ya</strong><br />

27:5. Ijapo kuteseka kwa mashaka na msiba, hawaachi maombezi <strong>ya</strong>o. Wanaweka mshiko wa<br />

Mungu kama Yakobo alivyoweka mshiko wa Malaika; na msemo wa roho zao ni “Sitakuacha<br />

kwenda, kama haunibariki.”<br />

Zambi Zilifutiliwa Mbali<br />

Katika wakati wa taabu, kama watu wa Mungu walikuwa na zambi zisizoungamwa<br />

kuonekana mbele <strong>ya</strong>o wanapoteseka na hofu na maumivu makali, wangezamishwa. Kukata<br />

tamaa kungaliondoa imani <strong>ya</strong>o, na hawangeweza kumuomba Mungu kwa ajili <strong>ya</strong> wokovu.<br />

Lakini hawakuficha maovu kwa ku<strong>ya</strong>funua. Zambi zao zimetangulia kwa hukumu na<br />

zimefutiliwa mbali, na hawataweza kuzikumbuka.<br />

Bwana anaonyesha katika matendo <strong>ya</strong>ke pamoja na <strong>ya</strong>le <strong>ya</strong> Yakobo <strong>ya</strong> kwamba kwa ginsi<br />

yo yote hawezi kuvumilia uovu. Wote wanaoachilia ao kuficha zambi zao na kuziruhusu<br />

kudumu katika vitabu v<strong>ya</strong> mbinguni bila kuziungama na bila kusamehewa watashindwa na<br />

Shetani. Zaidi wanapoheshimu nia wanapoishikilia, ni uhakikisho wa ushindi adui waoa.<br />

Wale wanaochelewesha mata<strong>ya</strong>risho hawataweza ku<strong>ya</strong>pata wakati wa hatari, wala wakati wo<br />

wote unaofuata. Kesi za wote kama wale ni bila tumaini.<br />

Historia <strong>ya</strong> Yakobo pia ni matumaini <strong>ya</strong> kwamba Mungu hatatupa wale ambao,<br />

waliodanganywa katika zambi, na wamerudi kwake na toba <strong>ya</strong> kweli. Mungu atatuma malaika<br />

kuwafariji wale wanaokuwa katika hatari. Jicho la Bwana ni juu <strong>ya</strong> watu wake. Ndimi za moto<br />

253

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!