12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Watu wachache wakajizania wenyewe kupokea mafumbulio <strong>ya</strong> kipekee kutoka Mbinguni<br />

na kuchaguliwa na Mungu kwa kutimiza kazi <strong>ya</strong> Matengenezo ambayo ilianzishwa kwa<br />

uzaifu na Luther. Kwa kweli, walibomoa kile Mtengenezaji alichofan<strong>ya</strong>. Walikataa kanuni <strong>ya</strong><br />

Matengenezo kwamba Neno la Mungu ni amri moja tu, <strong>ya</strong> kutosha <strong>ya</strong> imani na maisha. Kwa<br />

kiongozi kile kisichokosa wakaweka maagizo <strong>ya</strong>o <strong>ya</strong>siyokuwa <strong>ya</strong> hakika, <strong>ya</strong> mawazo <strong>ya</strong>o<br />

wenyewe na maono.<br />

Wengine kwa urahisi wakaelekea kwa ushupavu na kujiunga pamoja nao. Mambo <strong>ya</strong><br />

wenye bidii hawa <strong>ya</strong>kaleta mwamsho mkubwa. Luther alikuwa ameamsha watu kuona haja<br />

<strong>ya</strong> Matengenezo, na sasa watu wengine waaminifu wa kweli wakaongozwa viba<strong>ya</strong> na madai<br />

<strong>ya</strong> “manabii” wap<strong>ya</strong>. Waongozi wa kazi wakaendelea pale Wittenberg na wakalazimisha<br />

madai <strong>ya</strong>o juu <strong>ya</strong> Melanchton: “Tumetumwa na Mungu kwa kufundisha watu. Tulikuwa na<br />

mazungumzo <strong>ya</strong> kawaida pamoja na Mungu; tunajua jambo litakalotokea; kwa neno moja,<br />

tunakuwa mitume na manabii, na tunatoa mwito kwa Mwalimu Luther.”<br />

Watengenezaji wakafazaika. Akasema Melanchton; hapa panakuwa kweli roho za ajabu<br />

katika watu hawa; lakini roho gani? ... Kwa upande mwengine tujihazari kuzima Roho wa<br />

Mungu, na kwa upande mwengine, kwa kudanganywa na roho <strong>ya</strong> Shetani.”<br />

Tunda la Mafundisho Map<strong>ya</strong> Limeonekana (limetambulika)<br />

Watu wakaongozwa kuzarau Biblia ao kuikataa yote kabisa. Wanafunzi wakaacha<br />

mafundisho <strong>ya</strong>o na kutoka kwa chuo kikubwa. Watu waliojizania kwamba ni wenye uwezo<br />

kwa kurudisha nafsi na kuongoza kazi <strong>ya</strong> Matengenezo wakafaulu tu kuileta katika uharibifu.<br />

Sasa Wakatoliki wakapata tumaini lao, nakulalamika kwa furaha. “Juhudi <strong>ya</strong> mwisho tena, na<br />

wote watakuwa wetu.”<br />

Luther huko Wartburg, aliposikia mambo <strong>ya</strong>liyotendeka, akasema na masikitiko sana:<br />

“Nilifikiri wakati wowote kwamba Shetani angetumia mateso ha<strong>ya</strong>.” Akatambua tabia <strong>ya</strong><br />

kweli <strong>ya</strong> wale waliojidai kuwa “manabii.” Upinzani wa Papa na mfalme haukumletea<br />

mashaka makubwa sana na shida kama sasa. Miongoni mwa waliojidai kuwa “rafiki” za<br />

Matengenezo, kukatokea adui zake waba<strong>ya</strong> kuliko kwa kuamsha vita na kuleta fujo.<br />

Luther aliongozwa na Roho wa Mungu na kupelekwa mbali <strong>ya</strong> kujisikia binafsi. Huku kila<br />

mara alikuwa akitetemeka kwa matokeo <strong>ya</strong> kazi <strong>ya</strong>ke: “Kama ningelijua kwamba mafundisho<br />

<strong>ya</strong>ngu <strong>ya</strong>liumiza mtu mmoja, mtu mmoja tu, ingawa mnyenyekevu na mnyonge-lisipoweza<br />

kuwa, kwani linakuwa ni injili yenyewe--ningekufa mara kumi kuliko mimi kuikana.”<br />

Wittenberg yenyewe ilikuwa ikianguka chini <strong>ya</strong> mamlaka <strong>ya</strong> ushupavu wa dini isiyo <strong>ya</strong><br />

akili na machafuko. Katika Ujeremani pote adui za Luther wakatwika mzigo huo juu <strong>ya</strong>ke.<br />

Katika uchungu wa roho akajiuliza, “Je, ni hapo basi kazi hii kubwa <strong>ya</strong> Matengenezo ilipaswa<br />

kumalizikia?” Tena, kama vile alikuwa akishindana na Mungu katika sala, amani ikaingia<br />

moyoni mwake. “Kazi si <strong>ya</strong>ngu, bali ni <strong>ya</strong>ko mwenyewe,” akasema. Lakini akakusudia kurudi<br />

Wittenberg.<br />

72

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!