12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

kuu wakimusifu Mungu. “Mtu huyu,” wakasema, “ni mhubiri wa ukweli. Atakuwa Musa<br />

wetu, kutuongoza kutoka katika giza hii <strong>ya</strong> Misri.” Baada <strong>ya</strong> wakati upinzani ukaanza.<br />

Watawa wakamushambulia kwa zarau na matusi; wengine wakatumia ukali na matisho.<br />

Lakini Zwingli akachukua yote kwa uvumilivu.<br />

Wakati Mungu anapojita<strong>ya</strong>risha kuvunja viungo v<strong>ya</strong> pingu v<strong>ya</strong> ujinga na ibada <strong>ya</strong> sanamu<br />

Shetani anatumika na uwezo mkubwa sana kwa kufunika watu katika giza na kufunga<br />

minyororo <strong>ya</strong>o kwa nguvu zaidi. Roma ikaendelea kutia nguvu mp<strong>ya</strong> kwa kufungua soko<br />

<strong>ya</strong>ke katika mahali pote pa Ukristo, ukitoa msamaha kwa mali. Kila zambi ilikuwa na bei<br />

<strong>ya</strong>ke, na watu walipewa chetibila malipo kwa ajili <strong>ya</strong> zambi kama hazina <strong>ya</strong> kanisa ililindwa<br />

yenyekujaa vizuri. ... Hivi mashauri mawili ha<strong>ya</strong> <strong>ya</strong>kaendelea--Roma kuruhusu zambi na<br />

kuifan<strong>ya</strong> kuwa chemchemi <strong>ya</strong> mapato <strong>ya</strong>ke, Watengenezaji kulaumu zambi na kuonyesha<br />

Kristo kama kipatanisho na mkombozi.<br />

Uchuuzi wa cheti cha Kuachiwa Zambi katika Usuisi<br />

Katika Ujermani biashara <strong>ya</strong> kuachiwa (zambi) iliongozwa na mwovu sana Tetzel. Katika<br />

Usuisi biashara hii ilikuwa chini <strong>ya</strong> uongozi wa Samson, mtawa wa Italia. Samson alikuwa<br />

amekwisha kujipatia pesa nyingi kutoka Ujeremani na Usuisi kwa kujaza hazina <strong>ya</strong> Papa.<br />

Sasa akapitia Usuisi, kun<strong>ya</strong>ngan<strong>ya</strong> wakulima masikini mapato <strong>ya</strong>o machache na kulipisha<br />

zawadi nyingi kutoka kwa watajiri. Mtengenezaji kwa upesi akaanza kumpinga. Kufanikiwa<br />

kwa Zwingli kulikuwa namna hiyo kufunua kujidai kwa mtawa huyu hata akashurutisha<br />

kutoka kwenda sehemu zingine. Huko Zurich, Zwingli akahubiri kwa bidii juu <strong>ya</strong> wafan<strong>ya</strong><br />

biashara <strong>ya</strong> msamaha. Wakati Samson alipokaribia mahali pale akakutana na mjumbe<br />

aliyemtetea neno kutoka kwa baraza kwa kumwaambia aanze kazi, akatumia mwingilio wa<br />

hila, lakini, akarudishwa bila kuuzisha hata barua moja <strong>ya</strong> msamaha, kwa upesi akatoka<br />

Usuisi.<br />

Tauni, au Kifo Kikubwa, kikapitia kwa Usuisi kwa nguvu sana katika mwaka 1519. Wengi<br />

wakaongozwa kuona namna ilikuwa bure na bila damani masamaha <strong>ya</strong>liokuwa wakinunua;<br />

wakatamani sana msingi wa kweli wa imani <strong>ya</strong>o. Huko Zurich, Zwingli akagonjwa sana, na<br />

habari ikatangazwa sana kwamba alikufa. Kwa saa ile <strong>ya</strong> kujaribiwa akatazama kwa imani<br />

msalaba wa Kalvari, akatumaini kwamba kafara <strong>ya</strong> Kristo ilikuwa <strong>ya</strong> kutosha kwa ajili <strong>ya</strong><br />

zambi. Aliporudi kutoka kwa milango <strong>ya</strong> mauti, ilikuwa kwa ajili <strong>ya</strong> kuhubiri injili kwa bidii<br />

kubwa sana kuliko mbele. Watu wao wenyewe walitoka kuangalia mgonjwa karibu <strong>ya</strong> kifo,<br />

wakafahamu vizuri kuliko mbele, damani <strong>ya</strong> injili.<br />

Zwingli alifikia hali <strong>ya</strong> kuelewa wazi juu <strong>ya</strong> ukweli na kupata ujuzi ndani <strong>ya</strong>ke uwezo<br />

wake unaogeuza. “Kristo,” akasema, “... alitupatia ukombozi wa milele ... mateso <strong>ya</strong>ke ni ...<br />

kafara <strong>ya</strong> milele, na huleta kupona kwa milele; huridisha haki <strong>ya</strong> Mungu kwa milele kwa ajili<br />

<strong>ya</strong> wale wote wanaotegemea juu <strong>ya</strong> kafara <strong>ya</strong>ke kwa imani <strong>ya</strong> nguvu na <strong>ya</strong> imara. ...<br />

Panapokuwa imani katika Mungu, kunakuwa na juhudi inayoendesha na kusukuma watu kwa<br />

kazi njema.”<br />

69

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!