12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Sura 5. Nuru Inangaa Katika Uingereza<br />

Mungu hakukubali Neno lake liharibiwe kabisa. Katika inchi mbalimbali za Ula<strong>ya</strong> watu<br />

waliosukumwa na Roho <strong>ya</strong> Mungu kwa kutafuta ukweli kama vile hazina zilizofichwa. Kwa<br />

bahati njema waliongozwa na Maandiko matakatifu, wakipendezwa kukubali nuru kwa bei<br />

yo yote itakayohitajiwa kwao wenyewe. Ingawa hawakuona vitu vyote wazi, walikuwa<br />

wakiwezeshwa kutambua mambo mengi <strong>ya</strong> ukweli <strong>ya</strong>liyozikwa ao fichwa tangu zamani.<br />

Wakati ulifika kwa Maandiko kupewa kwa watu katika lugha <strong>ya</strong>o wenyewe. Dunia<br />

ilikwisha kupitisha usiku wake wa manane. Katika inchi nyingi kukaonekana dalili za<br />

mapambazuko.<br />

Katika karne <strong>ya</strong> kumi na ine “nyota <strong>ya</strong> asubuhi <strong>ya</strong> Matengenezo (Reformation)” ikatokea<br />

katika Uingereza. John Wycliffe alijulikana huko college kuwa mtu wa utawa wa elimu sana.<br />

Alielemishwa na hekima <strong>ya</strong> elimu, kanuni za kanisa, na sheria <strong>ya</strong> serkali, alita<strong>ya</strong>rishwa<br />

kuingia katika kazi ngumu kubwa kwa ajili <strong>ya</strong> raia na uhuru wa dini. Alipata malezi <strong>ya</strong> elimu<br />

<strong>ya</strong> vyuo, na akafahamu maarifa <strong>ya</strong> watu wa mashule. Cheo na ukamilifu wa ufahamu wake<br />

viliamuru heshima za rafiki na maadui. Adui zake walizuiwa kutupa zarau juu <strong>ya</strong> chazo cha<br />

Matengenezo kwa kuonyesha ujinga ao uzaifu wa wale walioikubali.<br />

Wakati Wycliffe alipokuwa akingaliki huko college, akaingia majifunzo <strong>ya</strong> Maandiko<br />

matakatifu. Hata sasa Wicliffe alijifahamu kuwa mwenye hitaji kubwa, ambao hata<br />

mafundisho <strong>ya</strong> elimu <strong>ya</strong>ke wala mafundisho <strong>ya</strong> kanisa ha<strong>ya</strong>taweza kumtoshelea. Katika Neno<br />

la Mungu aliona kile ambacho alikuwa anatafuta bila mafanikio. Hapa akamuona Kristo<br />

akitangazwa kama mteteaji pekee wa mtu. Akakusudia kutangaza ukweli aliyovumbua.<br />

Kwa mwanzo wa kazi <strong>ya</strong>ke, Wycliffe hakujitia mwenyewe katika upinzani na Roma.<br />

Lakini kwa namna alivyotambua wazi zaidi, makosa <strong>ya</strong> kanisa la Roma, akazidi kwa bidii<br />

kufundisha mafundisho <strong>ya</strong> Biblia. Aliona kwamba Roma iliacha Neno la Mungu kwa ajili <strong>ya</strong><br />

desturi za asili za watu. Akashitaki bila oga upadri kwa kuweza kuondoshea mbali Maandiko,<br />

na akataka kwa lazima kwamba Biblia irudishwe kwa watu na kwamba uwezo <strong>ya</strong>ke uwekwe<br />

tena ndani <strong>ya</strong> kanisa. Alikuwa mhubiri hodari na mwenye maneno <strong>ya</strong> kuamsha moyo, na<br />

maisha <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> kila siku <strong>ya</strong>lionyesha ukweli aliyohubiri. Ufahamu wake wa Maandiko, usafi<br />

wa maisha <strong>ya</strong>ke, na bidii <strong>ya</strong>ke na ukamilifu aliouhubiri <strong>ya</strong>kampa heshima kwa wote. Wengi<br />

wakaona uovu katika Kanisa la Roma. Wakapokea kwa shangwe isiyofichwa kweli ambazo<br />

zililetwa waziwazi na Wycliffe. Lakini waongozi wa kiPapa wakajazwa na hasira:<br />

Mtengenezaji huyu alikuwa akipata mvuto mkubwa kuliko wao.<br />

Mvumbuzi Hodari wa Kosa<br />

Wycliffe alikuwa mvumbuzi hodari wa kosa na akapambana bila woga juu <strong>ya</strong> matumizi<br />

maba<strong>ya</strong> <strong>ya</strong>liyoruhusiwa na Roma. Alipokuwa padri wa mfalme, akawa shujaa kwa kukataa<br />

malipo <strong>ya</strong> kodi <strong>ya</strong>liyodaiwa na Papa kutoka kwa mfalme wa Uingereza. Majivuno <strong>ya</strong> Papa <strong>ya</strong><br />

29

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!