12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Adui huyu mwangalifu yuko anajiingiza katika kila jamaa, katika kila njia, katika<br />

makanisa, katika ma Baraza <strong>ya</strong> mataifa, katika manyumba <strong>ya</strong> sheria, katika baraza za hukumu,<br />

Kuleta matatizo, kudangan<strong>ya</strong>, kukosesha, po pote kuharibu nafsi na miili <strong>ya</strong> wanaume na<br />

wanawake, na watoto. Anaharibu jamaa, kupanda uchuki, vita, fitina, na uuaji wa mtu kwa<br />

kusudi. Na ulimwengu unaonekana kuzania mambo ha<strong>ya</strong> kama kwamba ni Mungu<br />

aliye<strong>ya</strong>weka na <strong>ya</strong>napashwa kuwako. Wote wasiokusudia kuwa wafuasi wa Kristo wanakuwa<br />

watumishi wa Shetani. Wakati Wakristo wanapochagua jamii <strong>ya</strong> wasiomwogopa Mungu,<br />

wanajihatarisha wao wenyewe kwa majaribu. Shetani anajificha mwenyewe kwa macho na<br />

anafunika kifuniko chake cha udanganyi kwa macho <strong>ya</strong>o.<br />

Kufuatana na desturi za dunia anageuza kanisa kwa dunia, hageuzi kamwe dunia kwa<br />

Kristo. Kujizoeza zambi kutaifan<strong>ya</strong> isionekane kuwa mba<strong>ya</strong> sana. Wakati katika njia <strong>ya</strong> kazi<br />

tunaletwa katika kujaribiwa, tunaweza kuwa na hakika kwamba Mungu atatulinda; lakini<br />

tukijiweka sisi wenyewe chini <strong>ya</strong> jaribu tutaanguka upesi ao baadaye.<br />

Mjaribu mara kwa mara anatumika kwa mafanikio zaidi katika wale bila shaka<br />

wasiojizania kuwa chini <strong>ya</strong> mamlaka <strong>ya</strong>ke. Kipawa na elimu ni kimtu ni zawadi za Mungu;<br />

lakini wakati hizi zinapoongoza mbali kutoka kwake, zinakuwa mtego. Mara nyingi mtu<br />

mwenye elimu <strong>ya</strong> akili na wa tabia <strong>ya</strong> kupendeza ni chombo kizuri katika mikono <strong>ya</strong> Shetani.<br />

Musisahau kamwe onyo la maongozi <strong>ya</strong> Mungu la kutangaza tangu karne nyingi hata<br />

wakati wetu. “Muwe na kiasi na kuangalia; mpinzanii wenu Shetani, kama simba<br />

anayenguruma anayezungukazunguka akitafuta mtu amumeze.” “Vaeni silaha zote za<br />

Mungu, mupate kuweza kusimama juu <strong>ya</strong> hila za Shetani.” 1 Petro 5:8; Waefeso 6:11. Adui<br />

wetu mkubwa anajita<strong>ya</strong>risha kwa mashambulio <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> mwisho. Wote wanaomfuata Yesu<br />

watakuwa katika vita pamoja na adui huyu. Zaidi sana Mkristo anapoiga Mfano wa Mungu,<br />

na zaidi hakuna shaka atajiweka mwenyewe alama kwa mashambulio <strong>ya</strong> Shetani.<br />

Shetani alishambulia Kristo kwa majaribu makali na hila; lakini alikomeshwa katika kila<br />

vita. Kushinda kule kote kunatuwezesha sisi kishinda. Kristo atatoa nguvu kwa wale wote<br />

wanaoitafuta. Hakuna mtu asipokubali yeye mwenyewe anaweza kushindwa na Shetani.<br />

Mjaribu hana uwezo wa kutawala mapenzi ao kulazimisha mtu kufan<strong>ya</strong> zambi. Anaweza kutia<br />

ao kuanzisha taabu, lakini hapana uchafu. Jambo la hakika kwamba Kristo alishinda linapasa<br />

kutia moyo wafuasi wake kwa nguvu kupigana vita juu <strong>ya</strong> zambi na Shetani.<br />

208

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!