12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

<strong>ya</strong>meenea po pote ulimwenguni kutoka kwa mafundisho <strong>ya</strong> mimbara <strong>ya</strong>mefan<strong>ya</strong> mamilioni<br />

<strong>ya</strong> watu wenye mashaka na wasiokuwa waaminifu.<br />

Maumivu maba<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> milele ni mojawapo <strong>ya</strong> mafundisho <strong>ya</strong> uwongo, mvinyo wa gazabu<br />

<strong>ya</strong>ke (Ufunuo 14:8; 17:21), ambayo Babeli inafan<strong>ya</strong> wote kunywa. Wahuduma wa Kristo<br />

walipokea ujushi huu kwa Roma kama walivyokubali sabato <strong>ya</strong> uwongo. Kama tukiacha<br />

Neno la Mungu na kukubali mafundisho <strong>ya</strong> uwongo kwa sababu wababa zetu wali<strong>ya</strong>fundisha,<br />

tunaanguka chini <strong>ya</strong> hukumu iliyotangazwa kwa Babeli; tunakunywa mvinyo wa gazabu<br />

<strong>ya</strong>ke.<br />

Kundi kubwa linaongozwa kwa kosa la upande mwingine. Wanaona Maandiko<br />

<strong>ya</strong>nayoonyesha Mungu kama mwenye upendo na huruma na hawawezi kuamini kwamba<br />

atatupa viumbe kwa jehanum inayowaka milele. Kushikilia kwamba nafsi kwa kawaida ni <strong>ya</strong><br />

milele, wakaishia kwamba watu wote wataokolewa. Kwa hivyo mwenye zambi anaweza<br />

kuishi katika anasa <strong>ya</strong> kupendeza nafsi, kutojali matakwa <strong>ya</strong> Mungu, na kukubaliwa na<br />

Mungu. Mafundisho <strong>ya</strong> namna hiyo, <strong>ya</strong>nategemea kwa rehema <strong>ya</strong> Mungu lakini bila kujali<br />

haki <strong>ya</strong>ke, <strong>ya</strong>nafurahisha moyo wa tamaa za mwili.<br />

Wokovu wa Watu Wote Si Fundisho la Biblia<br />

Wanaoamini katika wokovu wa watu wote wanageuza Maandiko. Mhubiri anayejulikana<br />

wa Kristo anakariri uwongo ulioenezwa na nyoka katika Edeni, “Hakika hamutakufa.” “Siku<br />

mutakayokula matunda <strong>ya</strong>ke, macho yenu <strong>ya</strong>tafunguliwa, na mutakuwa kama miungu. ”<br />

Anatangaza <strong>ya</strong> kama mwovu zaidi katika wenye zambi--muuaji, mwizi, mzinzi--baada <strong>ya</strong> kifo<br />

ataingia katika hali <strong>ya</strong> furaha <strong>ya</strong> milele. Hadizi za kweli za kupendeza, zinazofaa kwa<br />

kupendeza moyo wa tamaa za mwili!<br />

Kama ingekuwa kweli kwamba watu wote wangepita mara moja mbinguni kwa saa <strong>ya</strong><br />

mwisho <strong>ya</strong> mauti, tungeweza vema kutamani mauti kuliko uzima. Wengi wameongozwa<br />

katika imani hii kumaliza wala kukomesha maisha <strong>ya</strong>o. Kulemezwa na hatari na uchungu,<br />

inaonekana rahisi kuvunja mwendo wa maisha na kupanda upesi katika hali <strong>ya</strong> raha <strong>ya</strong> makao<br />

<strong>ya</strong> milele.<br />

Mungu ametoa katika Neno lake ushuhuda wazi <strong>ya</strong> kama ataazibu wavunjaji wa sheria<br />

<strong>ya</strong>ke. Je, yeye anakuwa mwenye rehema vilevile hata asitimize haki juu <strong>ya</strong> mwenye zambi?<br />

Tazama kwa msalaba wa Kalvari. Mauti <strong>ya</strong> Mwana wa Mungu inashuhudia kwamba<br />

“mushahara wa zambi ni mauti” (Waroma 6:23), kwamba kila uvunjaji wa sheria <strong>ya</strong> Mungu<br />

unapashwa kupata malipizi. Kristo asiyekuwa na zambi akawa mwenye zambi kwa ajili <strong>ya</strong><br />

mtu. Akavumulia hatia za zambi na maficho <strong>ya</strong> uso wa Baba <strong>ya</strong>ke hata moyo wake ukapasuka<br />

na maisha <strong>ya</strong>ke kuangamizwa--yote ha<strong>ya</strong> ili wenye zambi waweze kukombolewa. Na kila<br />

nafsi ambayo inakataa kushirikiana na upatanisho uliotolewa kwa bei <strong>ya</strong> namna ile anapaswa<br />

kuchukua kwa nafsi <strong>ya</strong>ke mwenyewe hatia na azabu <strong>ya</strong> zambi.<br />

Masharti Yameelezwa<br />

219

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!