12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

nabii, “kidonda chake cha kufa kikapona: na dunia yote ikastaajabia n<strong>ya</strong>ma yule”. Paulo<br />

akataja <strong>ya</strong> kwamba “mwana wa uharibifu” ataendelea na kazi <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> madanganyo kwa<br />

mwisho kabisa wa wakati”. 2 Tesalonika 2:3-8. Na “watu wote wanaokaa juu <strong>ya</strong> dunia<br />

watamwabudu, wale, majina <strong>ya</strong>o ha<strong>ya</strong>kuandikwa katika kitabu cha uzima”. Ufunuo 13:8.<br />

Katika Ulimwengu wa Zamani na mp<strong>ya</strong>, kanisa la Papa litapokea heshima kwa heshima<br />

iliyotolewa kwa siku <strong>ya</strong> kwanza (dimanche).<br />

Tangu katikati <strong>ya</strong> karne <strong>ya</strong> kumi na tisa, wanafunzi wa unabii wameonyesha ushuhuda<br />

huu kwa ulimwengu. Sasa tunaona maendeleo <strong>ya</strong> upesi kwa utimilifu wa unabii. Kwa<br />

waalimu wa Waprotestanti kunakuwa na madai <strong>ya</strong> namna moja <strong>ya</strong> mamlaka <strong>ya</strong> Mungu kwa<br />

ajili <strong>ya</strong> kushika siku <strong>ya</strong> kwanza (dimanche), na ukosefu wa namna moja wa ushuhuda wa<br />

maandiko, kama kwa waongozi wa kanisa la Roma (Papa). Tangazo <strong>ya</strong> kwamba hukumu za<br />

Mungu zinafikia watu kwa ajili <strong>ya</strong> kuvunja sabato <strong>ya</strong> siku <strong>ya</strong> kwanza (di-manche) litarudiliwa:<br />

ta<strong>ya</strong>ri linaanza kulazimishwa.<br />

Ni ajabu kwa werevu, Kanisa la Roma. Linaweza kusoma kitu gani kinapaswa kuwa--<strong>ya</strong><br />

kwamba makanisa <strong>ya</strong> Waprotestanti <strong>ya</strong>natoa heshima <strong>ya</strong>ke kwa Roma wanapokubali sabato<br />

<strong>ya</strong> uwongo na <strong>ya</strong> kwamba wanajita<strong>ya</strong>risha kuikaza kwa namna kanisa lenyewe lilifan<strong>ya</strong> katika<br />

siku zilizopita. Kwa upesi gani litapata usaada wa Waprotestanti katika kazi hii si vigumu<br />

kuelewa.<br />

Kanisa la Wakatoliki wa Roma linafan<strong>ya</strong> muungano mkubwa chini <strong>ya</strong> mamlaka <strong>ya</strong> Papa,<br />

mamilioni <strong>ya</strong> washiriki wake katika kila inchi wanaagizwa utii kwa Papa, hata taifa lao liwe<br />

la namna gani wala serkali <strong>ya</strong>o. Ijapo wanaweza kuapa kiapo kuahidi uaminifu kwa serikali,<br />

lakini kinyume cha hii kunakuwa kiapo wala naziri <strong>ya</strong> uaminifu kwa Roma.<br />

Historia inashuhudia juu <strong>ya</strong> nguvu <strong>ya</strong> uerevu wa Roma kujiingiza mwenyewe katika<br />

mambo <strong>ya</strong> mataifa, kuweza kupata ustawi, kuendesha makusudi <strong>ya</strong>ke mwenyewe, hata kwa<br />

maangamizi <strong>ya</strong> watawala na watu.<br />

Ni majivuno <strong>ya</strong> Roma kwamba hawezi kubadili kamwe. Waprotestanti hawajui<br />

wanalolifan<strong>ya</strong> wanapokusudia kukubali usaada wa Roma kwa kazi <strong>ya</strong> kutukuza siku <strong>ya</strong><br />

kwanza (dimanche). Kwa namna wanavyoelekea kwa kusudi lao, Roma inakusudia<br />

kuimarisha mamlaka <strong>ya</strong>ke, kujipatia tena uwezo wake uliopotea. Acha kanuni kwanza<br />

liimarishwe na kanisa liweze kutawala uwezo wa serikali; na desturi za dini ziweze kukazwa<br />

na sheria za dunia; kwa kifupi, <strong>ya</strong> kwamba mamlaka <strong>ya</strong> kanisa na <strong>ya</strong> serikali itatawala<br />

zamirina ushindi wa Roma umehakikishwa.<br />

Jamii <strong>ya</strong> Waprotestanti itajifunza namna gani makusudi <strong>ya</strong> Roma inavyokuwa, ila tu<br />

wakati unapokwisha kupita kwa kuepuka mtego. Linasitawi kwa utulivu katika mamlaka.<br />

Mafundisho <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong>natumia mvuto katika vyumba v<strong>ya</strong> sheria, katika makanisa, na katika<br />

mioyo <strong>ya</strong> watu. Linaimarisha nguvu zake kuendesha maangamizo <strong>ya</strong>ke wakati mda<br />

235

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!