12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Ujumbe wa Wavaudois kwa uangalifu ukatoa sehemu zilizoandikwa kwa uangalifu za<br />

Maandiko matakatifu. Nuru <strong>ya</strong> ukweli ikaingia kwa akili nyingi za giza, hata Jua la Haki<br />

likaangaza katika moyo n<strong>ya</strong>li zake za kupen<strong>ya</strong>. Kila mara msikilizaji alihitaji sehemu <strong>ya</strong><br />

Maandiko ipate kukaririwa, kana kwamba apate kuhakikisha kwamba alisikia vizuri.<br />

Wengi waliona ni bure namna gani uombezi wa watu kwa ajili <strong>ya</strong> wenye zambi hauna<br />

faida. Wakapiga kelele kwa furaha, “Kristo ni kuhani wangu; damu <strong>ya</strong>ke ni kafara <strong>ya</strong>ngu;<br />

mazabahu <strong>ya</strong>ke ni mahali pangu pa kuungamia”. Ilikuwa mufuriko mkubwa wa nuru uliyo<br />

kuwa juu <strong>ya</strong>o, hata walionekana kwao kwamba walichukuliwa mbinguni. Hofu yote <strong>ya</strong> kifo<br />

ikafutika. Sasa waliweza kutamani gereza kama wangeweza kwa hiyo kutukuza Mkombozi<br />

wao.<br />

Katika mahali pa siri Neno la Mungu lililetwa na kusomwa, mara zingine kwa roho moja,<br />

wakati mwingine kwa kundi ndogo la watu lililotamani sana nuru. Mara nyingi usiku mzima<br />

ulitumiwa kwa namna hii. Mara kwa mara maneno kama ha<strong>ya</strong> <strong>ya</strong>kasemwa: “Je, Mungu<br />

atakubali sadaka <strong>ya</strong>ngu? Atanifurahia? Atanisamehe”? Jibu lilikuwa, soma, “Kujeni kwangu,<br />

ninyi wote munaosumbuka na wenye mizigo mizito, nami nitawapumzisha ninyi”. Matayo<br />

11:28.<br />

Roho zile zenye furaha zikarudia nyumbani mwao kutawan<strong>ya</strong> nuru, kukariri kwa wengine,<br />

kwa namna walivyoweza, maarifa map<strong>ya</strong> <strong>ya</strong>o. Walipata ukweli na njia <strong>ya</strong> uhai! Maandiko<br />

<strong>ya</strong>lisemwa kwa mioyo <strong>ya</strong> wale wanaotamani ukweli.<br />

Mjumbe wa ukweli alikwenda kwa njia <strong>ya</strong>ke. Kwa namna ninyi wasikilizaji wake<br />

hawakuuliza alitoka wapi ao alikwenda wapi. Walikuwa wamekwisha kupatwa na ushindi<br />

kwa hiyo hawakuwa na wazo kwa kumuuliza. Aliweza kuwa malaika kutoka mbinguni!<br />

Walitaka maelezo zaidi juu <strong>ya</strong> jambo hilo.<br />

Katika mambo mengi mjumbe wa ukweli alifan<strong>ya</strong> njia <strong>ya</strong>ke kwa inchi nyingine ao alikuwa<br />

akipunguza maisha <strong>ya</strong>ke katika gereza ao labda mifupa <strong>ya</strong>ke iligeuka nyeupe mahali<br />

aliposhuhudia ukweli. Lakini maneno aliyoacha nyuma <strong>ya</strong>likuwa <strong>ya</strong>kitenda kazi <strong>ya</strong>o.<br />

Waongozi wa Papa waliona hatari kutoka kwa kazi za hawa watu wanyenyekevu wa<br />

kuzunguka zunguka. Nuru <strong>ya</strong> ukweli ingefutia mbali mawingu mazito <strong>ya</strong> kosa lililofunika<br />

watu; ingeongoza akili kwa Mungu peke <strong>ya</strong>ke na mwisho kuharibu mamlaka <strong>ya</strong> Roma.<br />

Watu hawa, katika kushika imani <strong>ya</strong> kanisa la zamani, ilikuwa ni ushuhuda imara kwa<br />

uasi wa Roma na kwa hivyo ikaamsha chuki na mateso. Kukataa kwao kwa kuacha Maandiko<br />

ilikuwa ni kosa ambalo Roma haikuweza kuvumilia. Roma Inakusudia Kuangamiza<br />

Wavaudois (Waldenses)<br />

Sasa mapigano makali kuliko yote juu <strong>ya</strong> watu wa Mungu <strong>ya</strong>kaanza katika makao <strong>ya</strong>o<br />

milimani. Wapelelezi (quisiteurs) waliwekwa kwa n<strong>ya</strong>yo <strong>ya</strong>o. Tena na tena mashamba <strong>ya</strong>o<br />

<strong>ya</strong>liyokuwa na baraka <strong>ya</strong>kaharibiwa, makao <strong>ya</strong>o na makanisa madogo <strong>ya</strong>o <strong>ya</strong>kaondolewa.<br />

Hakuna mashitaka iliyoweza kuletwa juu <strong>ya</strong> tabia njema <strong>ya</strong> namna hii <strong>ya</strong> watu waliokatazwa.<br />

27

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!