12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Kutukuza Mamlaka Ya Kibinadamu<br />

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Kristo alikuwa na maoni <strong>ya</strong> unabii kwa kazi <strong>ya</strong> kutukuza mamlaka <strong>ya</strong> kibinadamu<br />

kutawala zamiri, ambalo lilikuwa jambo la laana la kitisha katika vizazi vyote. Maonyo <strong>ya</strong>ke<br />

si kufuata viongozi vipofu waliowekwa kwa ukumbusho kama onyo la upole kwa vizazi<br />

wakati vijavyo.<br />

Kanisa la Roma linawekwa akiba <strong>ya</strong> haki <strong>ya</strong> kutafsiri Maandiko kwa mapadri. Ingawa<br />

matangenezo ilitoa Maandiko kwa wote, lakini kanuni <strong>ya</strong> namna moja iliyoshikwa kwa Roma<br />

inazuia wengi katika makanisa <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong> kutochunguza Biblia wao wenyewe.<br />

Wanafundishwa kukubali mafundusho <strong>ya</strong>ke kama ilivyofasiriwa na kanisa. Maelfu<br />

wanasubutu kutopata kitu, lakini ni wazi katika maandiko, ile inayokuwa kinyume kwa imani<br />

<strong>ya</strong>o.<br />

Wengi wanakuwa ta<strong>ya</strong>ri kutoa nafsi zao kwa mapadri. Wanapita mbali <strong>ya</strong> mafundusho <strong>ya</strong><br />

Mwokozi karibu bila kuonywa. Lakini je, wanakuwa wahudumu wasioweza kukosa? Namna<br />

gani tunaweza kutumaini uongozi wao isipokuwa tunajua kutoka kwa Neno la Mungu <strong>ya</strong><br />

kama wanakuwa wachukuaji wa nuru? Ukosefu wa uhodari wa mafundisho unasukuma wengi<br />

kufuata watu waliojifunza, na wanakuwa wenye kufungwa bila kuwa na matumaini katika<br />

kosa. Wanaona ukweli kwa wakati huu katika Biblia na wanasikia uwezo wa Roho Mtakatifu<br />

kufikia matangazo jake, huku wakiruhusu mapadri kuwarudisha kutoka kwa nuru. Shetani<br />

anafunga wengi kuwafunga na kamba za hariri za upendo kwa wale wanaokuwa adui za<br />

msalaba wa Kristo. Kifungo hiki kinaweza kuwa cha wazazi, cha jamii, cha ndoa ao ujamii<br />

wa jamaa nyingi kuwa pamoja. Nafsi chini <strong>ya</strong> mvuto wao hauna uhodari wa kutii nia zawajibu<br />

wao.<br />

Wengi hudai <strong>ya</strong> kama si kitu cho chote mtu anachoamini, kama tu maisha <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong>kiwa<br />

kamili. Lakini maisha <strong>ya</strong>nafanywa na imani. Kama ukweli unakuwa ndani unafikia kipimo<br />

na tunauzarau, tunaukataa kwa kweli, kuchagua giza badala nuru.<br />

Ujinga hauachiliwi kwa ajili <strong>ya</strong> kosa la zambi, kama pale kunakuwa na nafasi yo yote,<br />

kwa kujua mapenzi <strong>ya</strong> Mungu. Mtu mmoja anayesafiri anafika mahali ambapo panakuwa njia<br />

nyingi na mti wenye mkono wa kuonyesha njia mahali gani kila moja inaongoza. Kama<br />

akizarau alama na kukamata njia yo yote inayoonekana kuwa <strong>ya</strong> haki, angeweza kuwa <strong>ya</strong>kini,<br />

lakini katika kubahatisha kule kote atapatikana mwenyewe kwa njia mba<strong>ya</strong>.<br />

Shuguli <strong>ya</strong> Kwanza na <strong>ya</strong> Juu Sana<br />

Haitoshi kuwa na makusudi mema, kufan<strong>ya</strong> kitu mtu anachofikiri kuwa cha haki ao kite<br />

muhuduma anachowaambia kuwa cha haki. Anapashwa kuchunguza maandiko kwa ajili <strong>ya</strong>ke<br />

mwenyewe. Anakuwa na amani inayoonyesha kila alama <strong>ya</strong> njia <strong>ya</strong> safari <strong>ya</strong> kwenda<br />

mbinguni, na hapashwe kuamini kitu cho chote.<br />

243

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!