12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Wolff aliamini kuja kwa Bwana kuwa karibu. Maelezo <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> n<strong>ya</strong>kati za unabii<br />

<strong>ya</strong>kamfan<strong>ya</strong> kuzania kurudi huko kama tarehe iliyoonyeshwa na Miller. “Je, Bwana wetu ...<br />

hakututolea ishara za wakati, kusudi tupate kujua hata, kukaribia kwa kuja kwake, jinsi mmoja<br />

anavyojua kukaribia kwa wakati wa jua kali kwa mtini na kutoa majani <strong>ya</strong>ke? Inatosha ...<br />

itajulikana kwa ishara za wakati, kwa kutushawishi kujita<strong>ya</strong>risha kwa ajili <strong>ya</strong> kuja kwake,<br />

kama vile Noa alivyota<strong>ya</strong>risha safina.”<br />

<strong>Kupinga</strong> Maelezo <strong>ya</strong> Watu Wengi<br />

Kufuatana na namna watu wotewalivyo tafsiri ao kutambua Maandiko, Wolff akaandika:<br />

“Sehemu kubwa sana <strong>ya</strong> kanisa la Kikristo imepotoka kutoka kwa maana kamili <strong>ya</strong> Maandiko,<br />

na ... wanapofikiri kwamba wakati wanaposoma habari <strong>ya</strong> Wa<strong>ya</strong>hudi, wanapaswa kufahamu<br />

Mataifa,na wanaposoma Yerusalema, wanapaswa kufahamu kanisa; na kama inasemwa<br />

dunia, maana <strong>ya</strong>ke ni mbingu; na kwa kurudi kwa Bwana wanapaswa kufahamu maendeleo<br />

<strong>ya</strong> v<strong>ya</strong>ma v<strong>ya</strong> wajumbe: na kupanda juu <strong>ya</strong> mlima wa nyumba <strong>ya</strong> Bwana, maana <strong>ya</strong>ke ni<br />

mkutano wa kundi kubwa la wamethodistes.”<br />

Tangu miaka 1821 hata 1845, Wolff akasafiri katika Misri, Abisinia, Palestina, Syria,<br />

Persia, Bokhara, India, na Amerika.<br />

Uwezo katika Kitabu<br />

Dr. Wolff alisafiri katika inchi zilizokuwa za kishenzi kabisa bila ulinzi, kwa kuvumilia<br />

taabu na kuzunguukwa na hatari nyingi. Akateswa bila chakula, na baridi, kuuzwa kama<br />

mtumwa, mara tatu akakatiwa hukumu <strong>ya</strong> kifo, akaviziwa na wezi, na mara zingine karibu<br />

kufa kwa kiu cha maji. Mara moja akan<strong>ya</strong>nganywa vyote na akaachwa na kusafiri mwendo<br />

wa mamia <strong>ya</strong>kilometres kwa miguu katika milima, teluji zikipiga katika uso wake na n<strong>ya</strong>nyo<br />

zisizo naviatu zikagandamizwa na udongo wa baridi sana.<br />

Walipomshauria kwamba si vema kusafiri bila silaha katika makabila yenye ukaidi na<br />

uadui, akasema mwenyewe “kuwa na silaha “maombi, bidii kwa ajili <strong>ya</strong> Kristo, na tumaini<br />

katika usaada wake.” “Nimejazwa vilevile na upendo wa Mungu na jirani wangu katika moyo<br />

wangu, na Biblia inakuwa mikononi mwangu.” “Nilisikia nguvu zangu kuwa ndani <strong>ya</strong> Kitabu<br />

hiki, na kwamba uwezo wake utanilinda.”<br />

Akavumilia mpaka wakati ujumbe ungeweza kupelekwa katika sehemu kubwa <strong>ya</strong><br />

ulimwengu inayo katiwa na watu. Miongoni mwa Wa<strong>ya</strong>hudi, Turks, Parsis, Wahindi, na<br />

mataifa na makabila akagawan<strong>ya</strong> Neno la Mungu katika lugha mbalimbali, na mahali po pote<br />

akatangaza kukaribia kwa kuja kwa Masi<strong>ya</strong>. Katika safari <strong>ya</strong>ke huko Boukhari akakutana<br />

mafundisho <strong>ya</strong> kurudi kwa Bwana <strong>ya</strong>kifundishwa na watu waliokaa peke <strong>ya</strong>o. Waarabu wa<br />

Yemen, akasema, wanakuwa na kitabu kinachoitwa Seera, ambacho kina tangazo la kuja kwa<br />

Kristo mara <strong>ya</strong> pili na ufalme wake wa utukufu; na wanatazamia mambo makuu kutendeka<br />

katika mwaka 1840.” “Nikakuta wana wa Israeli, wa kabila la Dani, ... wanaotazamia, pamoja<br />

na wana wa Rekabu, kufika kwa upesi kwa Masi<strong>ya</strong> katika mawingu <strong>ya</strong> mbingu.”<br />

146

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!