12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

mufano kuzihamisha kutoka kwake mwenyewe hata kwa kafara isiyokuwa na kosa. N<strong>ya</strong>ma<br />

basi alichinjwa. “Kwa kuwa uhai wa mwili ni katika damu.” Walawi 17:11. Sheria <strong>ya</strong> Mungu<br />

iliyovunjwa ilidai uhai wa mkosaji. Damu, inayokuwa mufano wa uhai wa mwenye zambi<br />

ambaye kosa lake huchukuliwa kwa kafara (mn<strong>ya</strong>ma), ilibebwa na kuhani katika Pahali<br />

patakatifu na kunyunyizwa mbele <strong>ya</strong> pazia, nyuma ambapo palikuwa na sheria ambayo<br />

mwenye zambi aliyovunja. Kwa ibada hii zambi ikahamishwa katika mfano hata Pahali<br />

patakatifu. Mara zingine damu haikupelekwa katika Pahali patakatifu, lakini n<strong>ya</strong>ma ikaliwa<br />

na makuhani. Ibada mbili hizo zilikuwa mufano wa uhamisho wa zambi kutoka kwa mwenye<br />

kutubu hata kwa Pahali patakatifu.<br />

Kwa namna hiyo kazi iliendelea kufanyika muda wa mwaka wote mzima. Zambi za Israeli<br />

zilikuwa zikihamishwa kwa Pahali patakatifu, na kazi <strong>ya</strong> kipekee ikawa <strong>ya</strong> lazima kwa ajili<br />

<strong>ya</strong> ondoleo lao la zambi.<br />

Siku Kuu <strong>ya</strong> Upatanisho<br />

Mara moja kwa mwaka, kwa Siku Kuu <strong>ya</strong> upatanisho, kuhani akaingia katika Pahali<br />

patakatifu pa patakatifu kwa ajili <strong>ya</strong> kutakaswa kwa Pahali patakatifu. Wana wawili wa mbuzi<br />

wakaletwa na kura ikapigwa, “kura moja ni <strong>ya</strong> Bwana na kura ingine <strong>ya</strong> Azazeli.” Walawi<br />

16:8. Mbuzi wa Bwana akachinjwa kama sadaka <strong>ya</strong> zambi kwa ajili <strong>ya</strong> watu, na kuhani<br />

alipashwa kuleta damu ndani <strong>ya</strong> pazia na kuinyunyiza mbele <strong>ya</strong> kiti cha rehema na pia juu <strong>ya</strong><br />

mazabahu <strong>ya</strong> uvumba mbele <strong>ya</strong> pazia.<br />

“Na Haruni ataweka mikono <strong>ya</strong>ke miwili juu <strong>ya</strong> kichwa cha yule mbuzi aliye hai, na kukiri<br />

juu <strong>ya</strong>ke maovu yote <strong>ya</strong> wana wa Israeli na makosa <strong>ya</strong>o yote, hata zambi zao zote; naye<br />

ataziweka zote juu <strong>ya</strong> kichwa cha yule mbuzi aliye hai na kumutuma jangwani kwa mukono<br />

wa mutu aliye ta<strong>ya</strong>ri, na yule mbuzi atachukua juu <strong>ya</strong>ke maovu <strong>ya</strong>o yote mupaka inchi isiyo<br />

na watu; ataacha mbuzi kwenda zake jangwani.” Walawi 16:21,22. Mbuzi wa Azazeli<br />

hakurudi tena katika kambi la Israeli.<br />

Ibada ilikusudiwa kwa kuvuta Waisraeli kwa utakatifu wa Mungu na machukio <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong><br />

zambi. Kila mutu aliombwa kuhuzunisha roho <strong>ya</strong>ke wakati kazi hii <strong>ya</strong> upatanisho ilipokuwa<br />

ikiendelea. Kazi zote zikawekwa kando, na Israeli alipashwa kutumia siku yenyewe katika<br />

maombi, kufunga, na kuchunguza moyo.<br />

Kiti kingine kilikubaliwa baadala <strong>ya</strong> mwenye zambi, lakini zambi hazikufutwa kwa damu<br />

<strong>ya</strong> kafara (mn<strong>ya</strong>ma); zilihamishwa kwa Pahali patakatifu. Kwa sadaka <strong>ya</strong> damu mwenye<br />

zambi akatambua mamlaka <strong>ya</strong> sheria, akatubu kosa lake, na akaonyesha imani <strong>ya</strong>ke katika<br />

Mukombozi atakaye kuja; lakini hakufunguliwa kabisa kwa hukumu <strong>ya</strong> sheria. Kwa Siku <strong>ya</strong><br />

Upatanisho kuhani mkuu, anapokwisha kupata sadaka kwa makutano, akaenda ndani <strong>ya</strong><br />

Pahali patakatifu pa patakatifu. Akanyunyiza damu <strong>ya</strong> sadaka juu <strong>ya</strong> kiti cha rehema, mara<br />

moja juu <strong>ya</strong> sheria, kufan<strong>ya</strong> malipizi kwa madai <strong>ya</strong>ke. Halafu, kama mwombezi, akachukua<br />

zambi juu <strong>ya</strong>ke mwenyewe na kuzibeba kutoka kwa Pahali patakatifu. Kuweka mukono wake<br />

171

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!