12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Mungu hakunichagua na kuniita na kama hawapashwe kuogopa hiyo, kwa kunizarau,<br />

wanazarau Mungu Mwenyewe? ...<br />

“Mungu hakuchagua kamwe kuhani aokuhani mkuu wala mtu mkubwa yeyote; bali kwa<br />

kawaida huchagua watu wa chini na wenye kuzarauliwa, hata mchungaji kama Amosi. Kwa<br />

kila kizazi, watakatifu walipaswa kukemea wakuu, wafalme, wana wa wafalme, wakuhani,<br />

na wenye hekima, kwa hatari <strong>ya</strong> maisha <strong>ya</strong>o. ... Sisemi kwamba niko nabii; lakini nasema<br />

kwamba wanapashwa kuogopa kabisa kwa sababu niko peke <strong>ya</strong>ngu na wao ni wengi.<br />

Ninakuwa hakika <strong>ya</strong> jambo hili, kwamba neno la Mungu linakuwa pamoja nami, na kwamba<br />

haliko pamoja nao.”<br />

Kwani haikuwa bila vita <strong>ya</strong> kutisha kwamba yeye mwenyewe ambaye Luther aliamua juu<br />

<strong>ya</strong> kutengana kwa mwisho na kanisa: “Ee, uchungu wa namna gani iliniletea, ijapo nilikuwa<br />

na Maandiko kwa upande wangu, kuhakikisha mimi mwenyewe kwamba ningepaswa<br />

kusubutu kusimama pekee <strong>ya</strong>ngu kumpinga Papa, na kumutangaza kuwa kama mpinzani wa<br />

Kristo! Mara ngapi sikujiuliza mwenyewe kwa uchungu swali lile ambalo lilikuwa mara<br />

nyingi midomoni mwa watu wa Papa: ‘Ni wewe peke <strong>ya</strong>ko mwenye hekima? Je, watu wote<br />

wanadanganyika? Itakuwa namna gani, kama, mwishoni wewe mwenyewe ukionekana kuwa<br />

na kosa na ni wewe anayeshawishi katika makosa <strong>ya</strong>ko roho nyingi kama hizo. Ni nani basi<br />

atakayehukumiwa milele? Hivi ndivyo nilipigana na nafsi <strong>ya</strong>ngu na Shetani hata Kristo, kwa<br />

neno lake la hakika, akaimarisha moyo wangu juu <strong>ya</strong> mashaka ha<strong>ya</strong>.”<br />

Amri mp<strong>ya</strong> ikaonekana, kutangaza mtengano wa mwisho wa Mtengenezaji kutoka kwa<br />

kanisa la Roma, kumshitaki kama aliyelaaniwa na Mbingu, na kuweka ndani <strong>ya</strong> hukumu ilete<br />

wale watakaopokea mafundisho <strong>ya</strong>ke. Upinzani ni sehemu <strong>ya</strong> wote wale ambao Mungu<br />

hutumia kwa kuonyesha ukweli zinazofaa hasa kwa wakati wao. Kulikuwa na ukweli wa sasa<br />

katika siku za Luther; kuna ukweli wa sasa kwa ajili <strong>ya</strong> kanisa leo. Lakini ukweli hautakiwe<br />

na watu wengi leo kuliko ilivyokuwa na watu wa Papa waliompinga Luther. Wale<br />

wanaoonyesha ukweli kwa wakati huu hawapaswi kutazamia kupokewa na upendeleo mwingi<br />

zaidi kuliko watengenezaji wa zamani. Vita kuu kati <strong>ya</strong> kweli na uwongo, kati <strong>ya</strong> Kristo na<br />

Shetani, itaongezeka kwa mwisho wa historia <strong>ya</strong> ulimwengu huu. Tazama Yoane 15:19, 20;<br />

Luka 6:26.<br />

55

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!