12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Sasa malaika wa mauti anaenda mbele, anaonyeshwa katika ndoto <strong>ya</strong> Ezekieli kwa watu<br />

wanaokuwa na silaha za kuchinja, kwao agizo limetolewa: “Ueni kabisa mzee na kijana, na<br />

wote wawili wasichana, na watoto wadogo, na wanawake, lakini musikaribie mtu aliye na<br />

alama ile juu <strong>ya</strong>ke; na anzieni kwa pahali pangu patakatifu”, ‘’halafu wakaanza kwa wazee<br />

walio mbele <strong>ya</strong> nyumba, “wale waliojidai kuwa walinzi wa kiroho wa watu. Ezekieli 9:6.<br />

Walinzi wa uwongo wanakuwa wa kwanza kuanguka. “Kwa maana tazama, Bwana<br />

anakuja kutoka pahali pake kuazibu wenye kukaa duniani kwa sababu <strong>ya</strong> uovu wao; na dunia<br />

itafunua damu <strong>ya</strong>ke, na haitafunika tena watu wake waliouawa”. “Na itakuwa siku ile<br />

makelele makubwa toka kwa Bwana <strong>ya</strong>takuwa katikati <strong>ya</strong>o; nao watakamata kila mtu mkono<br />

wa jirani <strong>ya</strong>ke, na mkono wake utan<strong>ya</strong>nyuliwa juu <strong>ya</strong> mkono wa jirani <strong>ya</strong>ke” Isa<strong>ya</strong> 26:21;<br />

Zekarai 14:13.<br />

Katika vita yenye wazimu <strong>ya</strong> tamaa kali zao wenyewe na kwa kumiminika kwa gazabu <strong>ya</strong><br />

Mungu isiyo changanywa, wakuhani waovu wanaanguka, watawala, na watu. “Na waliouawa<br />

wa Bwana siku ile watakuwa toka mwisho wa dunia hata mwisho wa dunia”. Yeremia 25:33.<br />

Kwa kuja kwa Kristo waovu wataangamizwa kwa mwangaza wa utukufu wake. Kristo<br />

atachukua watu wake kwa mji wa Mungu, na dunia itafanyiwa utupu kwa wakaaji wake.<br />

“Tazama Bwana anafan<strong>ya</strong> dunia kuwa utupu, na anaiharibu, na anaipindua, na kuwasambaza<br />

popote wakaaji wake... Inchi itafanywa kuwa utupu kabisa, na kuharibiwa kabisa; kwa maana<br />

Bwana amesema neno hili... kwa sababu wamevunja sheria, wamegeuza amri, wamevunja<br />

agano la milele. Kwa sababu hii laana imekula dunia, na watu wanaokaa ndani <strong>ya</strong>ke<br />

wanaonekana kuwa na laumu: kwa hivi wakaaji wa dunia wamechomwa”. Isa<strong>ya</strong> 24:1,3,5,6.<br />

Dunia inaonekana kama jangwa lenye ukiwa. Miji imeharibiwa na tetemeko, miti<br />

kungolewa, miamba iliyopasuka duniani imetawanyika juu <strong>ya</strong> uso wa dunia. Mapango<br />

makubwa <strong>ya</strong>naonyesha alama mahali milima ilipasuka kutoka kwa misingi <strong>ya</strong>o.<br />

Uhamisho wa Shetani<br />

Sasa matukio <strong>ya</strong>mefanyika <strong>ya</strong>liyoonyesha mbele heshima <strong>ya</strong> kazi <strong>ya</strong> mwisho kwa Siku <strong>ya</strong><br />

upatanisho. Wakati zambi za Israeli zilipoondolewa kutoka Pahali patakatifu kwa uwezo wa<br />

damu <strong>ya</strong> sadaka <strong>ya</strong> zambi, mbuzi wa Azazeli alionyeshwa hai mbele <strong>ya</strong> Bwana. Kuhani mkuu<br />

akaungama juu <strong>ya</strong>ke “maovu yote <strong>ya</strong> wana wa Israeli,... ku<strong>ya</strong>weka juu <strong>ya</strong> kichwa cha mbuzi”.<br />

Walawi 16:21. Vilevile, wakati kazi <strong>ya</strong> upatanisho katika Pahali patakatifu pa mbinguni<br />

itakapotimia, ndipo, mbele <strong>ya</strong> Mungu na malaika wa mbinguni na jeshi la waliookolewa,<br />

zambi za watu wa Mungu zitawekwa juu <strong>ya</strong> Shetani; atatangazwa kuwa na kosa <strong>ya</strong> uovu wote<br />

aliolazimisha wao kuufan<strong>ya</strong>. Kama vile mbuzi wa Azazeli aliochukuliwa katika inchi<br />

isiyokaliwa na watu, vivyo hivyo Shetani atahamishwa kwa dunia yenye ukiwa.<br />

Baada <strong>ya</strong> kuonyesha mambo <strong>ya</strong> ajabu <strong>ya</strong> kuja kwa Bwana, mfunuaji anaendelea: “kisha<br />

nikaona malaika akishuka toka mbingu, mwenye ufunguo wa shimo lisilo na mwisho, na<br />

munyororo mkubwa katika mkono wake. Akamshika yule joka mkubwa, yule nyoka <strong>ya</strong><br />

268

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!