12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Sura 2. Ubatizo wa Moto<br />

Yesu alifunulia wanafunzi wake maarifa <strong>ya</strong> watu wake tangu wakati ambao alipaswa<br />

kuchukuliwa kutoka kwao, hata kurudi kwake katika uwezo na utukufu. Kuingia ndani sana<br />

<strong>ya</strong> wakati ujao, jicho lake likaona zoruba kali zilipaswa kupiga juu <strong>ya</strong> wafuasi wake kwa<br />

miaka iliyokuwa karibu <strong>ya</strong> mateso. Tazama Matayo 24:9,21,22. Wafuasi wa Kristo<br />

wanapaswa kupitia kwa njia <strong>ya</strong> namna moja <strong>ya</strong> laumu na mateso ambayo Bwana wao alipitia.<br />

Uadui juu <strong>ya</strong> Mkombozi wa ulimwengu ulipaswa kuonekana juu <strong>ya</strong> wote wanaopaswa<br />

kuamini jina lake.<br />

Upagani ulifahamu kwamba injili ikishinda, hekalu na mazabahu zake <strong>ya</strong>lipaswa<br />

kuondolewa; kwa sababu hii mioto <strong>ya</strong> mateso ikawashwa. Wakristo walin<strong>ya</strong>nganywa mali<br />

zao na kufukuzwa nyumbani mwao. Hesabu kubwa <strong>ya</strong> wenye cheo na watumwa, watajiri na<br />

masikini, wenye elimu na wajinga, waliuawa bila huruma.<br />

Ya kianzia chini <strong>ya</strong> utawala wa Nero, mateso <strong>ya</strong>kaendelea kwa karne nyingi. Wakristo<br />

walitangazwa kwa uongo kuwa ni wao walioleta njaa, tauni, na matetemeko <strong>ya</strong> inchi.<br />

Wachongezi wakasimama ta<strong>ya</strong>ri, kwa ajili <strong>ya</strong> faida tu, kwa kusaliti wasio na kosa kama waasi<br />

na tauni kwa jamii. Hesabu kubwa wakatupwa kwa n<strong>ya</strong>ma wa pori ama kuchomwa wahai<br />

katika viwanja v<strong>ya</strong> michezo (amphitheatres). Wengine wakasulubiwa; wengine wakafunikwa<br />

na ngozi za n<strong>ya</strong>ma wa pori na kusukumwa kwa nguvu katika uwanja (arena) wa kuchezea ili<br />

kupasuliwa kwa waimbwa. Kwa siku kuu za wote makutano mengi sana <strong>ya</strong>likusanyika kwa<br />

kufurahisha macho na kusalimia walioumizwa kwa kifo na kuwachekele<strong>ya</strong> na kushangilia.<br />

Wafuasi wa Kristo walilazimishwa kutafuta maficho katika mahali pa ukiwa na pekee.<br />

Chini <strong>ya</strong> milima inje <strong>ya</strong> muji wa Roma, vyumba virefu vilifunuliwa katika inchi na miamba<br />

kwa maelfu ngambo <strong>ya</strong> pili <strong>ya</strong> kuta za mji. Ndani <strong>ya</strong> makimbilio ha<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> chini <strong>ya</strong> udongo<br />

wafuasi wa Kristo wakazika wafu wao, na hapo pia walipaswa kukimbilia, walipozaniwa<br />

maovu na kugombezwa, walipata makao. Wengi wakakumbuka maneno <strong>ya</strong> Bwana wao,<br />

kwamba kama wakiteseka kwa ajili <strong>ya</strong> Kristo, inafaa wafurahi sana. Zawadi <strong>ya</strong>o itakuwa<br />

kubwa mbinguni, kwa maana ndivyo walivyotesa manabii waliokuwa mbele <strong>ya</strong>o. Tazama<br />

Matayo 5:11,12.<br />

Nyimbo za ushindi zikapanda katikati <strong>ya</strong> ndimi za moto zenye kutatarika. Kwa imani<br />

waliona Kristo na malaika wakiwatazama pamoja na usikizi mwingi sana na kutazama<br />

kusimama imara kwao pamoja na kibali. Sauti ikaja kutoka kwa kiti cha enzi cha Mungu:<br />

“Uwe mwaminifu mpaka kufa, nami nitakupa taji <strong>ya</strong> uzima”. Ufunuo 2:10.<br />

Nguvu za Shetani kwa kuharibu kanisa la Kristo kwa mauaji zilikuwa bure. Watumishi<br />

wa Mungu waliuawa, lakini injili iliendelea kutawanyika na wafuasi wake kuongezeka.<br />

Mkristo mmoja akasema: “Tunazidi kuongezeka kwa hesabu namna munavyozidi kutuuwa,<br />

damu <strong>ya</strong> Wakristo ni mbegu”.<br />

12

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!