12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Katika mti Berquin akajitahidi kusema maneno machache kwa watu; lakini watawa<br />

wakaanza kupaza sauti na askari kugonganisha silaha zao, na makelele <strong>ya</strong>o <strong>ya</strong>kazamisha sauti<br />

<strong>ya</strong> mfia dini. Hivi kwa mwaka 1529 mamlaka kubwa sana <strong>ya</strong> kanisa na elimu <strong>ya</strong> Paris “ikatoa<br />

kwa watu wa 1793 mfano wa msingi wa kusongwa juu <strong>ya</strong> jukwaa (mahali pa kunyongwa)<br />

maneno takatifu <strong>ya</strong> wenye kufa.” Berquin akanyongwa na mwili wake ukateketezwa katika<br />

miako <strong>ya</strong> moto.<br />

Waalimu wa imani <strong>ya</strong> matengenezo wakaenda katika mashamba mengine <strong>ya</strong> kazi. Lefévre<br />

akaenda Ujermani. Farel akarudi kwa mji wake wa kuzaliwa upande wenashariki <strong>ya</strong> Ufransa,<br />

kutawan<strong>ya</strong> nuru katika makao <strong>ya</strong> utoto wake. Ukweli aliuofundisha ukapata wasikizaji. Kwa<br />

upesi akafukuzwa mbali <strong>ya</strong> mji. Akapitia vijijini, akifundisha katika makao <strong>ya</strong> upekee na<br />

mashamba <strong>ya</strong> majani <strong>ya</strong> uficho, kutafuta kimbilio katika pori na katika mapango <strong>ya</strong> miamba<br />

<strong>ya</strong>liyokuwa makao <strong>ya</strong>ke katika utoto wake.<br />

Kama katika siku za mitume, mateso “<strong>ya</strong>metokea zaidi kwa kuendesha Habari Njema.”<br />

Wafilipi 1:12. Walipofukuzwa kutoka Paris na Meaux, “Wale waliosambazwa wakaenda<br />

pahali po pote wakihubiri neno.” Matendo 8:4. Ni kwa namna hiyo nuru ilitawanyika mahali<br />

pengi katika majimbo <strong>ya</strong> mbali <strong>ya</strong> Ufransa.<br />

Mwito wa Calvin<br />

Katika mojawapo <strong>ya</strong> mashule <strong>ya</strong> Paris, kulikuwa kijana mmoja mwangalifu, mtulivu,<br />

kijana aliyeonekana na maisha <strong>ya</strong>siyokuwa na kosa, kwa ajili <strong>ya</strong> bidii <strong>ya</strong> elimu na kwa ajili<br />

<strong>ya</strong> ibada <strong>ya</strong> dini. Tabia <strong>ya</strong>ke na matumizi vikamufan<strong>ya</strong> kuwa majivuno <strong>ya</strong> chuo kikubwa, na<br />

ilikuwa ikitumainiwa kwa siri kwamba Jean Calvin angekuwa mmojawapo miongoni mwa<br />

watetezi wenye uwezo sana, wa kanisa. Lakini mshale wa nuru ukaangazia kuta za elimu<br />

nyingi na ibada <strong>ya</strong> sanamu ambayo Calvin amajifungia. Olivetan, binamu mtoto wa ndungu<br />

wa Calvin, alijiunga na Watengenezaji. Ndugu hawa wawili wakazungumza pamoja juu <strong>ya</strong><br />

maneno ambayo <strong>ya</strong>nasumbua jamii la kikristo. “Hapo kuna dini mbili tu ulimwenguni,”<br />

akasema Olivetan, Mprotestanti. “Ile ... ambayo watu wamevumbua, ambamo mtu hujiokoa<br />

mwenyewe kwa sherehe na kazi nzuri; ingine ni ile dini ambayo inayofunuliwa katika Biblia,<br />

na ambayo hufundisha mtu kutumaini wokovu tu kwa neema bila bei kutoka kwa Mungu.”<br />

“Sitaki mafundisho yenu map<strong>ya</strong>,” akajibu Calvin; “Unafikiri kwamba nimeishi katika<br />

kosa siku zangu zote?” Lakini peke <strong>ya</strong>ke chumbani akatafakari maneno <strong>ya</strong> binamu (cousin)<br />

wake. Akajiona mwenyewe kuwa bila mpatanishi mbeie <strong>ya</strong> Mhukumu mtakatifu na wa haki.<br />

Matendo mazuri, sherehe za kanisa, yote <strong>ya</strong>likuwa bila uwezo kwa upatanisho kwa ajili <strong>ya</strong><br />

zambi. Ungamo, kitubio, ha<strong>ya</strong>kuweza kupatanisha roho pamoja na Mungu.<br />

Ushahidi kwa Mchomo<br />

Calvin akapitia siku moja katika uwanja mkubwa, kwa bahati njema akaona mpinga ibada<br />

<strong>ya</strong> dini anapokufa kwa moto. Miongoni mwa mateso <strong>ya</strong> kifo cha kuhofisha na chini <strong>ya</strong><br />

kukatiwa hukumu kwa kanisa, mfia dini akaonyesha imani na uhodari ambao mwanafunzi<br />

85

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!