12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Sura 1. Unabii wa Hali <strong>ya</strong> Mwicho wa Ulimwengu<br />

Kutoka kwa kilele cha Mizeituni, Yesu akatazama juu <strong>ya</strong> Yerusalema. Mbele <strong>ya</strong> makutano<br />

kulikuwa na majengo mazuri <strong>ya</strong> hekalu. Kushuka kwa jua kukaangazia weupe wa teluji wa<br />

kuta zake za marimari na kumulikia mnara wa zahabu na mnara mrefu mwembamba<br />

(Pinnacle). Mtoto gani wa Israeli aliweza kutazama juu <strong>ya</strong> maajabu ha<strong>ya</strong> bila kufurahi sana<br />

na kushangaa! Lakini mawazo mengine <strong>ya</strong>likuwa moyoni mwa Yesu. “Naye alipokaribia,<br />

akaona muji, akalia juu <strong>ya</strong>ke”. Luka 19:41.<br />

Machozi <strong>ya</strong> Yesu haikuwa kwa ajili <strong>ya</strong>ke mwenyewe, ingawa mbele <strong>ya</strong>ke kulikuwa<br />

Getesemane, mambo <strong>ya</strong> maumivu makubwa <strong>ya</strong>liyokaribia, na si mbali sana na, Kalvari,<br />

mahali pa kusulubiwa. Lakini haikuwa mambo hayo <strong>ya</strong>liyotia kivuli juu <strong>ya</strong>ke katika saa hii<br />

<strong>ya</strong> furaha. Alilia kwa ajili <strong>ya</strong> maelfu <strong>ya</strong> watu wa Yerusalema watakaoangamizwa.<br />

Historia <strong>ya</strong> zaidi <strong>ya</strong> miaka elfu <strong>ya</strong> upendeleo wa kipekee wa Mungu na ulinzi mkubwa,<br />

ulifunuliwa kwa watu wachaguliwa, ilifunguliwa kwa macho <strong>ya</strong> Yesu. Yerusalema<br />

uliheshimiwa na Mungu juu <strong>ya</strong> dunia yote. Bwana “amechagua Sayuni ... kuwa kao lake”.<br />

Zaburi 132:13. Kwa miaka mingi, manabii watakatifu walikuwa wakitoa ujumbe wa maonyo.<br />

Siku kwa siku damu <strong>ya</strong> wana kondoo ilikuwa ikitolewa, ikionyesha Mwana Kondoo wa<br />

Mungu.<br />

Israeli kama taifa angalilinda utii wake kwa Mungu, Yerusalema ungalisimama milele,<br />

mchaguliwa wa Mungu. Lakini historia <strong>ya</strong> wale watu waliopendelezwa ilikuwa habari <strong>ya</strong><br />

kukufuru na kuasi. Zaidi kuliko upendo wa huruma wa baba, Mungu alikuwa mwenye<br />

“huruma kwa watu wake na makao <strong>ya</strong>ke”. 2 Mambo 36:15. Wakati maombi na makaripio<br />

<strong>ya</strong>liposhindwa, alituma zawadi bora sana <strong>ya</strong> mbinguni, Mwana wa Mungu Mwenyewe, kwa<br />

kutetea pamoja na muji usiotubu wa moyo mgumu.<br />

Kwa miaka mitatu Bwana wa nuru na utukufu alikuwa akiingia na kutoka miongoni mwa<br />

watu wake. “Akifan<strong>ya</strong> kazi njema na kuponyesha wote walioonewa na Shetani”. Kuhubiri<br />

wokovu kwa wafungwa, na vipofu kupata kuona tena, kuwezesha viwete kutembea, na viziwi<br />

kusikia, kutakasa wenye ukoma, kufufua wafu, na kuhubiri Habari Njema kwa masikini.<br />

Tazama Matendo 10:38; Luka 4:18; Matayo 11:5.<br />

Mtembezi asiye na makao, aliishi kwa kusaidia wenye mahitaji na kupunguza misiba <strong>ya</strong><br />

watu, kuwasihi kukubali zawadi <strong>ya</strong> uzima. Mawimbi <strong>ya</strong> huruma <strong>ya</strong>liyopingwa na waie<br />

waliokuwa na mioyo migumu, <strong>ya</strong>karudia na mwendo wa nguvu wa huruma, upendo<br />

usioelezeka. Lakini Israeli akamuacha Rafiki wake mwema na Msaidizi wa pekee. Maombezi<br />

<strong>ya</strong> upendo wake <strong>ya</strong>kazarauliwa.<br />

Saa <strong>ya</strong> tumaini na musamaha ilikuwa ikipita upesi. Wingu lile ambalo lilikuwa<br />

likijikusan<strong>ya</strong> katika miaka <strong>ya</strong> kukufuru na kuasi ilikuwa karibu kupasuka juu <strong>ya</strong> watu wenye<br />

5

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!