12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Luther Anaamuriwa Kufika Barazani<br />

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Baraza sasa likaomba kuonekana kwa Mtengenezaji. Mwishowe mfalme akakubali, na<br />

Luther akaalikwa. Mwito ukafwatana na ruhusa <strong>ya</strong> kusafiri salama. Hati hizo mbili<br />

zikapelekwa Wittenberg na mjumbe aliyeagizwa kumusindikiza Worms.<br />

Kujua chuki na uadui juu <strong>ya</strong>ke, rafiki za Luther waliogopa kwamba cheti cha kusafiri<br />

salama hakitaheshimiwa. Akajibu: “Kristo atanipa Roho <strong>ya</strong>ke kwa kushinda wahuduma hawa<br />

wa uongo. Nina wazarau katika maisha <strong>ya</strong>ngu; nitawashinda kwa kifo changu. Huko Worms<br />

wanashugulika sana kwa kunilazimisha; ni kane kukana kwangu kutakuwa huku: Nilisema<br />

zamani kwamba Papa alikuwa kasisi wa Kristo; sasa na tangaza kwamba yeye ni mpinzani<br />

wa Bwana, na mtume wa Shetani.”<br />

Zaidi <strong>ya</strong> mjumbe wa mfalme, rafiki watatu wakakusudia kumsindikiza Luther. Moyo wa<br />

Melanchton ukaambatana kwa moyo wa Luther, na akatamani sana kumfuata. Lakini maombi<br />

<strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong>kakataliwa. Akasema Mtengenezaji: “Kama sitarudi, na adui zangu wakiniua, endelea<br />

kufundisha, na kusimama imara katika ukweli. Utumike kwa nafasi <strong>ya</strong>ngu. ... Kama ukizidi<br />

kuishi, mauti <strong>ya</strong>ngu itakuwa <strong>ya</strong> maana kidogo.” Mioyo <strong>ya</strong> watu ikagandamizwa na maono <strong>ya</strong><br />

huzuni. Waliambiwa kwamba maandiko <strong>ya</strong> Luther <strong>ya</strong>lihukumiwa huko Worms. Mjumbe,<br />

huogopa kwa ajili <strong>ya</strong> usalama wa Luther kwa baraza, akauliza kama alikuwa akiendelea<br />

kutamani kwenda. Akajibu: “ijapokuwa nilikatazwa katika kila mji, nitaendelea.”<br />

Huko Erfurt, Luther akapitia katika njia alizokuwa akipitia kila mara, akazuru kijumba<br />

chake cha nyumba <strong>ya</strong> watawa, na akafikiri juu <strong>ya</strong> mapigano ambamo nuru iliojaa sasa katika<br />

Ujeremani imetawanywa juu <strong>ya</strong> roho <strong>ya</strong>ke. Akalazimishwa kuhubiri. Jambo hili alikatazwa<br />

kulifan<strong>ya</strong>, lakini mjumbe akamtolea ruhusa, na mtu aliyefanywa zamani mtu wa kazi ngumu<br />

za nyumba <strong>ya</strong> watawa, sasa akaingia kwa mimbara.<br />

Watu wakasikiliza kwa kushangaa sana. Mkate wa uzima ulivunjwa kwa roho hizo zenye<br />

njaa. Kristo aliinuliwa mbele <strong>ya</strong>o na juu <strong>ya</strong> wapapa, maaskofu, wafalme (wakuu), na wafalme.<br />

Luther hakusema juu <strong>ya</strong> maisha <strong>ya</strong>ke katika hatari <strong>ya</strong>ke. Katika Kristo alikuwa amejisahau<br />

mwenyewe. Akajificha nyuma <strong>ya</strong> Mtu wa Kalvari, akitafuta tu kuonyesha Yesu kama<br />

Mkombozi wa wenye zambi.<br />

Uhodari wa Mfia Dini<br />

Wakati Mtengenezaji alipoendelea mbele, makundi kwa hamu kubwa kwa kusongana<br />

karibu naye na kwa sauti za upole wakamuon<strong>ya</strong> juu <strong>ya</strong> Waroma. “Watakuchoma”, akasema<br />

mwengine, “na kugeuza mwili wako kuwa majivu, kama walivyomfan<strong>ya</strong> Jean Huss.” Luther<br />

akajibu, “ijapo wangewasha moto njiani mote toka Worms hata Wittenberg, ... ningetembea<br />

kati kati <strong>ya</strong>ke kwa jina la Bwana; ningeonekana mbele <strong>ya</strong>o, ... kushuhudia Bwana Yesu<br />

Kristo.”<br />

58

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!