12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Kila swali la kweli na kosa katika mashindano <strong>ya</strong> siku nyingi limefanywa wazi sasa.<br />

Matokeo <strong>ya</strong> kuweka pembeni sheria za Mungu <strong>ya</strong>mewekwa wazi mbele <strong>ya</strong> macho <strong>ya</strong> viumbe<br />

vyote. Historia <strong>ya</strong> zambi itasimama milele kwa wote kama ushuhuda <strong>ya</strong> kwamba pamoja na<br />

kuwako kwa sheria <strong>ya</strong> Mungu kunafungwa furaha <strong>ya</strong> viumbe vyote alivyoviumba. Viumbe<br />

vyote, v<strong>ya</strong> uaminifu na vyenye uasi, kwa mapatano pamoja vinatangaza, “Haki na kweli njia<br />

zako, wewe Mfalme wa watakatifu”.<br />

Saa imefika wakati Kristo anapashwa kutukuzwa juu <strong>ya</strong> kila jina linalotajwa. Kwa ajili <strong>ya</strong><br />

furaha inayowekwa mbele <strong>ya</strong>ke--<strong>ya</strong> kwamba aliweza kuleta wana wengi katika utukufu--<br />

akavumilia msalaba. Anaangalia kwa waliookolewa, waliofanywa up<strong>ya</strong> kwa mfano wake<br />

mwenyewe. Anatazama ndani <strong>ya</strong>o matokeo <strong>ya</strong> kazi <strong>ya</strong> roho <strong>ya</strong>ke, na anatoshelewa. Isa<strong>ya</strong><br />

53:11. Kwa sauti ambayo inawafikia makutano, wenye haki na waovu, anatangaza: “Tazama<br />

biashara wa damu <strong>ya</strong>ngu! Kwa ajili <strong>ya</strong> hawa niliteseka, kwa ajili <strong>ya</strong> hawa nilikufa”.<br />

Mwisho Mkali Sana wa Waovu<br />

Tabia <strong>ya</strong> Shetani inaendelea bila kubadilika. Uasi kama maji mengi yenye kupita kwa<br />

nguvu tena <strong>ya</strong>mejipenyeza kwa nguvu. Anakusudia kutoacha vita yenye kukata tamaa <strong>ya</strong><br />

mwisho <strong>ya</strong> kupambana na Mfalme wa mbinguni. Lakini kwa mamilioni isiyohesabika yote<br />

ambayo aliyoshawishi katika uasi, hakuna anayekubali sasa mamlaka <strong>ya</strong>ke. Waovu<br />

wamejazwa na uchuki wa namna moja kwa Mungu unaoongozwa na Shetani, lakini wanaona<br />

<strong>ya</strong> kwamba hoja lao halina matumaini. “Kwa sababu umeweka moyo wako kama moyo wa<br />

Mungu, kwa hivi, tazama, nitaleta wageni juu <strong>ya</strong>ko, watu wa mataifa wenye kuogopesha, na<br />

watachomoa panga zao juu <strong>ya</strong> uzuri wa hekima <strong>ya</strong>ko, nao watatia uchafu kungaa kwako.<br />

Watakuleta chini kwa shimo. ... nitakuharibu, Ee kerubi la kufunika, kutoka katikati <strong>ya</strong> mawe<br />

<strong>ya</strong> moto... nitakutupa hata inchi, nitakulaza mbele <strong>ya</strong> wafalme, wapate kukuona ... nitakufan<strong>ya</strong><br />

kuwa majivu juu <strong>ya</strong> inchi mbele <strong>ya</strong> wote wanaokutazama ... utakuwa maogopesho, wala<br />

hutakuwa tena hata milele”. Ezekieli 28:6-8, 16-19.<br />

“Maana kasirani kali <strong>ya</strong> Bwana ni juu <strong>ya</strong> mataifa yote”. “Atanyeshea waovu mitego; Moto<br />

na kiberiti na upepo wa kuchoma zitakuwa fungu la kikombe chao”. Isa<strong>ya</strong> 34:2; Zaburi 11:6.<br />

Moto utashuka kutoka kwa Mungu mbinguni. Dunia itaharibika. Miako <strong>ya</strong> moto unaoteketeza<br />

inatoka kwa nguvu kutoka kwa kila shimo kubwa linalokuwa wazi. Miamba halisi inakuwa<br />

motoni. Na viumbe v<strong>ya</strong> asili vitayeyushwa kwa moto mkali, na inchi na kazi zilizo ndani <strong>ya</strong>ke<br />

zitateketea. 2 Petro 3:10. Uso wa dunia utaonekana kama fungu moja kubwa lililoyeyuka--,<br />

ziwa la moto lililochafuka. Maana ni “siku <strong>ya</strong> kisasi cha Bwana, mwaka wa malipo, kwa<br />

ubishi wa Sayuni”. Isa<strong>ya</strong> 34:8.<br />

Waovu wanaazibiwa “kama ilivyo kazi <strong>ya</strong>o”. Shetani atateswa si kwa ajili <strong>ya</strong> uasi wake<br />

pekee, bali kwa ajili <strong>ya</strong> zambi zote alizozilazimisha watu wa Mungu kuzitenda. Katika ndimi<br />

za moto waovu watakuwa kwa maangamizi <strong>ya</strong> mwisho, shina na matawi-Shetani ni shina<br />

lenyewe na wafuasi wake ni matawi. Azabu kamili <strong>ya</strong> sheria ilijiliwa; matakwa <strong>ya</strong> haki<br />

275

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!