12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Kuuawa kwa Huss kuliwasha moto wa hasira na hofu kuu katika Bohemia. Taifa lote<br />

likamtangaza kuwa mwalimu mwaminifu wa ukweli. Baraza likawekewa mzigo wa uuaji wa<br />

mtu kwa makusudi. Mafundisho <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong>kaleta mvuto mkubwa kuliko mbele, na wengi<br />

wakaongozwa kukubali imani <strong>ya</strong> Matengenezo. Papa na mfalme wakaungana kuangamiza<br />

tendo hili la dini, na majeshi <strong>ya</strong> Sigismund <strong>ya</strong>katupwa juu <strong>ya</strong> Bohemia. Kwa kushambulia<br />

wenye imani <strong>ya</strong> matengenezo.<br />

Lakini Mwokozi akainuliwa juu. Ziska, mmojawapo wa wakuu wa waskari wa wakati<br />

wake, alikuwa mwongozi wa watu wa Bohemia. Tumaini katika usaada wa Mungu, watu wale<br />

wakashindana na majeshi <strong>ya</strong> nguvu <strong>ya</strong>le <strong>ya</strong>ngaliweza kuletwa juu <strong>ya</strong>o. Mara nyingi mfalme<br />

alikashambulia Bohemia, ila tu kwa kufukuzwa. Wafuasi wa Huss wakainuliwa juu <strong>ya</strong> hofu<br />

<strong>ya</strong> mauti, na hakukuwa kitu cha. Mshujaa Ziska akafa, lakini pahali pake pakakombolewa na<br />

Procopius, kwa heshima fulani alikuwa mwongozi wa uwezo zaidi.<br />

Papa akatangaza pigano juu <strong>ya</strong> maovu (crusade) juu <strong>ya</strong> wafuasi wa Huss. Majeshi mengi<br />

akatumbukia juu <strong>ya</strong> Bohemia, kwa kuteswa tu na maangamizi. Pigano lingine la maovu<br />

likatangazwa. Katika inchi zote za dini <strong>ya</strong> Roma katika Ula<strong>ya</strong>, mali na vyombo v<strong>ya</strong> vita<br />

vikakusanywa. Watu wengi wakaja kwa bendera <strong>ya</strong> kanisa la Roma. Majeshi makubwa<br />

<strong>ya</strong>kaingia Bohemia. Watu wakakusanyika tena kuwafukuza. Majeshi mawili wakakribiana<br />

hata mto tu ndio uliokuwa katikati <strong>ya</strong>o. “Wapiga vita juu <strong>ya</strong> maovu (crusade) walikuwa katika<br />

jeshi bora kubwa na la nguvu, lakini badala <strong>ya</strong> kuharakisha ngambo <strong>ya</strong> kijito, na kumaliza<br />

vita na wafuasi wa Huss, ambao walikuja toka mbali kukutana nao, wakasimama kutazama<br />

kwa kim<strong>ya</strong> wale wapingaji.”<br />

Kwa gafula hofu kuu <strong>ya</strong> ajabu ikaangukia jeshi. Bila kupiga kishindo jeshi kubwa lile<br />

likatiishwa na likatawanyika kama kwamba lilifukuzwa na nguvu isiyoonekana. Wafuasi wa<br />

Huss wakawafuata wakimbizi, na mateka makubwa <strong>ya</strong>kaanguka mikononi mwa washindi.<br />

Vita badala <strong>ya</strong> kuleta umaskini, ikawaletea wa Bohemia utajiri. Miaka michache baadaye,<br />

chini <strong>ya</strong> Papa mp<strong>ya</strong>, pigano juu <strong>ya</strong> maovu lingine likawekwa. Jeshi kubwa likaingia Bohemia.<br />

Wafuasi wa Huss wakarudi nyuma mbele <strong>ya</strong>o, kuvuta maadui ndani zaidi <strong>ya</strong> inchi,<br />

kuwaongoza kuwaza ushindi ulikwisha kupatikana.<br />

Mwishowe jeshi la askari la Procopius likasogea kuwapiganisha vita. Namna sauti <strong>ya</strong> jeshi<br />

lililo karibia iliposikiwa, hata kabla wafuasi wa Huss kuonekana mbele <strong>ya</strong> macho, hofu kubwa<br />

tena ikaanguka iuu <strong>ya</strong> wapigani wa crusade. Wafalme, wakuu, na waaskari wa kawaida,<br />

wakatupa silaha zao, wakakimbia pande zote. Maangamizo <strong>ya</strong>likuwa kamili, na tena mateka<br />

makubwa <strong>ya</strong>kaanguka mikononi mwa washindi. Kwa hiyo mara <strong>ya</strong> pili jeshi la watu hodari<br />

kwa vita, waliozoea vita, wakakimbia bila shindo mbele <strong>ya</strong> watetezi wa taifa ndogo na zaifu.<br />

Adui waliuawa na hofu kubwa isiyo <strong>ya</strong> kibinadamu. Yule aliyekimbiza majeshi <strong>ya</strong> Wamidiani<br />

mbele <strong>ya</strong> Gideoni na watu miatatu wake, alinyosha tena mkono wake. Tazama Waamuzi<br />

7:1925; Zaburi 53:5.<br />

Kusalitiwa kwa Njia <strong>ya</strong> Upatanishi<br />

44

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!