12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Kwa wakati huu juu <strong>ya</strong> vitu vyote vingine inafaa kila nafsi kusikia onyo la upole la<br />

Mwokozi: “Tazameni, ombeni, maana hamujui wakati ule.” Marko 13:33.<br />

Mwisho wa Wote Umekatwa<br />

Rehema imeisha kwa wakati mfupi kabla <strong>ya</strong> kuonekana kwa Bwana katika mawingu <strong>ya</strong><br />

mbinguni. Kristo akitazama wakati ule, anasema: “Yeye aliye mzalimu azidi kuwa mzalimu;<br />

na mwenye uchafu azidi kuwa mchafu; na mwenye haki azidi kufan<strong>ya</strong> haki; na mtakatifu azidi<br />

kutakaswa. Tazama, ninakuja upesi na mshahara wangu ni pamoja nami, kulipa kila mtu kama<br />

ilivyo kazi <strong>ya</strong>ke.” Ufunuo 22:11,12.<br />

Watu watakuwa wakipanda na kujenga, kula na kunywa, wote pasipokufahamu <strong>ya</strong> kuwa<br />

hukumu <strong>ya</strong> mwisho imetangazwa katika Pahali patakatifu mbinguni. Mbele <strong>ya</strong> Garika, baada<br />

<strong>ya</strong> Noa kuingia katika safina, Mungu akamfungia ndani na kufungia waovu inje; lakini kwa<br />

siku saba watu wakaendelea na maisha <strong>ya</strong>o <strong>ya</strong> kupenda anasa na wakachekelea maonyo <strong>ya</strong><br />

hukumu. “Ndivyo” asema Mwokozi, “kutakavyokuwa kuja kwa Mwana wa watu.” Kwa<br />

kim<strong>ya</strong>, bila kuonwa kama mwizi usiku wa manane, saa itakuja ambayo inaonyesha kukata<br />

shauri la mwisho wa kila mtu. “Basi angalieni: ... asije na kuwasitusha ninyi gafula,<br />

akawakuta mumelala.” Matayo 24:39; Marko 13:35,36.<br />

Hali ni yenye hatari <strong>ya</strong> wale ambao, huendelea kuchoka kwa kukesha kwao, wanageuka<br />

kwa mivuto <strong>ya</strong> dunia. Wakati mtu wa biashara anaposhughulika katika kufuata faida, wakati<br />

mwenye kupenda anasa anapotafuta anasa, wakati binti wa desturi <strong>ya</strong> kuvaa nguo<br />

anapotengeneza mapambo <strong>ya</strong>ke--inaweza kuwa katika saa ile Mwamzi wa dunia yote<br />

atatangaza hukumu, “Umepimwa katika mizani, nawe umeonekana kuwa umepunguka.”<br />

Danieli 5:27.<br />

Sura 29. Asili <strong>ya</strong> Uovu<br />

Wengi wanaona kazi <strong>ya</strong> uovu, na msiba wake na ukiwa, na wanauliza namna gani hii<br />

inaweza kuwa chini <strong>ya</strong> utawala wa Huyu Mmoja asiyekuwa na mwisho katika hekima, uwezo<br />

na upendo. Wale wanaotaka kuwa na mashaka wanashikamana na jambo hili na kutafuta<br />

sababu <strong>ya</strong> kukataa manene <strong>ya</strong> Maandiko matakatifu. Desturi <strong>ya</strong> asili na mafahamu maba<strong>ya</strong> <strong>ya</strong><br />

maandiko <strong>ya</strong>meficha mafundisho <strong>ya</strong> Biblia kuhusu tabia <strong>ya</strong> Mungu, asili <strong>ya</strong> mamlaka <strong>ya</strong>ke,<br />

na kanuni zake kuhusu zambi.<br />

Haiwezekani kueleza mwanzo wa zambi vilevile kama kutoa sababu kwa ajili <strong>ya</strong> kuwako<br />

kwake (zambi). Kwani kuna mambo mengi <strong>ya</strong> kutosha inayoweza kufahamiwa juu <strong>ya</strong><br />

mwanzo na hali <strong>ya</strong> mwisho <strong>ya</strong> zambi kufan<strong>ya</strong> onyesho kamili haki na wema wa Mungu.<br />

Mungu kwa hekima yo yote hakuwa mwenye madaraka kwa zambi; hapakuwa bila sababu<br />

kuondolewa kwa neema <strong>ya</strong> Mungu, hakuna upungufu katika mamlaka <strong>ya</strong> kimungu, iliyotoa<br />

nafasi kwa uasi. Zambi ni mpelelezi (mdukizi) ambaye kuwako kwake hakuna sababu<br />

inayoweza kutolewa. Kuisamehe ni kuitetea. Kama iliweza kusamehewa ingekoma kuwa<br />

201

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!