12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

mfano wa chui inasemwa: “Naye akapewa kinywa cha kusema maneno makubwa, na<br />

makufuru... Akafungua kinywa chake atukane Mungu , na kutukana jina lake, na hema <strong>ya</strong>ke,<br />

nao wanaokaa mbinguni. Tena akapewa kufan<strong>ya</strong> vita na watakatifu na kuwashinda; akapewa<br />

mamlaka juu <strong>ya</strong> kabila na lugha na taifa.” Ufunuo 13:5-7. Unabii huu, karibu kuwa sawasawa<br />

pamoja na maelezo <strong>ya</strong> pembe ndogo <strong>ya</strong> Danieli 7, unaonyesha bila shaka Kanisa la Kiroma.<br />

“Akapewa mamlaka kufan<strong>ya</strong> kazi <strong>ya</strong>ke miezi makumi ine na miwili”--miaka mitatu na<br />

nusu, ao siku 1260, <strong>ya</strong> Danieli 7--mda ambao nguvu (uwezo) za Papa zilipaswa kugandamiza<br />

watu wa Mungu. Mda huu kama ilivyotajwa katika sura zilizotangulia, ulianza na mamlaka<br />

<strong>ya</strong> kanisa la Roma (Papa), A.D. 538, na kumalizika katika mwaka 1798. Kwa wakati ule<br />

mamlaka <strong>ya</strong> Papa ikapata “kidonda cha kufa,” na unabii ukatimia, “yeye anayepeleka katika<br />

kifungo atachukuliwa katika kifungo.”<br />

Kuinuka kwa Mamlaka Mp<strong>ya</strong><br />

Kwa jambo hili mfano mwingine umetangazwa: “Kisha nikaona mn<strong>ya</strong>ma mwingine<br />

akipanda juu toka dunia, naye alikuwa na pembe mbili, mfano wa Mwana-Kondoo.” Ufunuo<br />

13:11. Taifa hili ni mbalimbali na <strong>ya</strong>le <strong>ya</strong>liyoonyeshwa chini <strong>ya</strong> mifano iliyotangulia. Falme<br />

kubwa zilizotawala dunia zilionyeshwa kwa nabii Danieli kama wan<strong>ya</strong>ma wa mawindo,<br />

waliopanda wakati “pepo ine za mbingu zilivuma kwa nguvu juu <strong>ya</strong> bahari kubwa.” Danieli<br />

7:2. Katika ufunuo 17:15 malaika anaeleza kwamba maji <strong>ya</strong>nafanyishwa na “Watu” na<br />

makutano <strong>ya</strong> mataifa na lugha”. Upepo ni mfano wa mashindano (vita). Pepo ne zinazo<br />

shindana juu <strong>ya</strong> bahari kubwa inaonyesha matendo <strong>ya</strong> hatari <strong>ya</strong> ushindi na wapinduzi ambayo<br />

falme zilifika kwa enzi.<br />

Lakini n<strong>ya</strong>ma aliyekuwa na pembe mfano wa Mwana-kondoo alionekana “akipanda toka<br />

dunia.” Badala <strong>ya</strong> kuangusha mamlaka zingine na kujiimarisha mwenyewe, taifa lililokuwa<br />

mfano wake lilipaswa kupanda katika inchi isiokaliwa kwanza na likasitawi kwa amani.<br />

Linapaswa kutafutwa katika Bara kuu la Magaribi.<br />

Ni taifa gani la Dunia Mp<strong>ya</strong> lilikuwa katika mwaka 1798 likipanda kwa nguvu, kutoa<br />

ahadi <strong>ya</strong> nguvu, na kuvuta uangalifu wa dunia? Taifa moja, na ni moja tu, linalokutana na<br />

unabii huu--mataifa <strong>ya</strong> muungano <strong>ya</strong> Amerika (United States of America). Karibu sana<br />

maneno kabisa kabisa <strong>ya</strong> mwandishi mtakatifu <strong>ya</strong>litumiwa bila kufahamu kwa mwandishi wa<br />

historia katika kueleza kupanda kwa taifa. Mwandishi mashauri anasema juu <strong>ya</strong> “siri <strong>ya</strong><br />

kutokea kwake kwa pahali patupu,” na anasema, “Kama mbegu <strong>ya</strong> kim<strong>ya</strong> tunasitawi katika<br />

mamlaka.” Gazeti la Ula<strong>ya</strong> katika mwaka 1850 linaeleza juu <strong>ya</strong> Amerika “kutokea” na “katika<br />

utulivu wa inchi siku kwa siku kuongeza kwa uwezo wake na kiburi.”<br />

“Naye alikuwa na pembe mbili, mfano wa Mwana-Kondoo.” Pembe mfano wa mwanakondoo<br />

inaonyesha ujana, hali <strong>ya</strong> kuwa bila kosa, upole. Miongoni mwa Wakristo wa kwanza<br />

waliokimbilia Amerika kwa ajili <strong>ya</strong> magandamizo <strong>ya</strong> kifalme na kutovumilia kwa mapadri<br />

kulikuwa wengi waliokusudia kuanzisha uhuru wa kiulimwengu na wa dini. Tangazo la uhuru<br />

180

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!